Manara huko Yanga amezibua pengo?Duh, pengo la Manara limekuwa gumu kuzibika. Wangemchukua GENTAMYCINE angewasaidia sana
Ili apeleke mogogoro kwa kumpangia kocha kikosi ?Wangemchukua GENTAMYCINE
Ni kweli huyo ndio haswaaaaa angewafaaaaaaDuh, pengo la Manara limekuwa gumu kuzibika. Wangemchukua GENTAMYCINE angewasaidia sana
Manara hana pengo.Duh, pengo la Manara limekuwa gumu kuzibika. Wangemchukua GENTAMYCINE angewasaidia sana
Mmh yule anachojua ni kuongea tu kazi ambayo hâta wauza mitumba wa minadani wanaiweza, hana ethics zozote za idara ya habari.Duh, pengo la Manara limekuwa gumu kuzibika. Wangemchukua GENTAMYCINE angewasaidia sana
Mmmhh hivi wewe ungekubali huo ujinga, yani utoe Manara mropokaji ili umajiri Mwijaku?Mwijaku chali
Genta atapewa "Writting Social Media Forum Officer"Duh, pengo la Manara limekuwa gumu kuzibika. Wangemchukua GENTAMYCINE angewasaidia sana