Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawishi ndani ya Simba Sc ataupata akiifanya kazi yake kwa weredi, kitu msichokijua ni kwamba kutokana na ongezeko la watu wanaotumia mitandao ya kijamii Tanzania (Facebook, Instagram, Twitter & WhatsApp) swala la kupata popularity limekuwa ni kitu kidogo sana.Tatzo hana ushawishi wowote ndani ya Simba ni MROPOKAJI mno,POPOMA.
Mlopokaji yule, anaongea kwasababu ana mdomo sio kwasababu ana hoja.Mwijaku chali
Akikujibu nitamnunuli mirindaManara huko Yanga amezibua pengo?
Nugaz daah!!! Vimbaa mwanachi vimbaaaUshawishi ndani ya Simba Sc ataupata akiifanya kazi yake kwa weredi, kitu msichokijua ni kwamba kutokana na ongezeko la watu wanaotumia mitandao ya kijamii Tanzania (Facebook, Instagram, Twitter & WhatsApp) swala la kupata popularity limekuwa ni kitu kidogo sana...
Huyu ni swala la muda tu anakuwa maarufu, na ni aina ya watu wanaouweza sana utani plus ethics za kazi ya uanahabari.Manara kabla ta kuja simba alijulikana kwa udalali wa magari na kashfa ya usho...hakuwa maarufu,simba ndio ikimpa umaarufu .kijana apewe muda
KazibuaManara huko Yanga amezibua pengo?
Na umaarufu kupitia simba ni rahisi sana, huwezi amini huyo mwinyaku sikuwa kumjua mpaka pale alipojihusisha kwenye maswala ya simbaUshawishi ndani ya Simba Sc ataupata akiifanya kazi yake kwa weredi, kitu msichokijua ni kwamba kutokana na ongezeko la watu wanaotumia mitandao ya kijamii Tanzania (Facebook, Instagram, Twitter & WhatsApp) swala la kupata popularity limekuwa ni kitu kidogo sana...
Hahahaha kuna kitu watu hawakijui, Simba ni club ambayo inafatiliwa sana na Platforms mbalimbali na habari za Simba huwa zinatrend kuliko za wale wenzetu, ndomaana blogs nyingi, waandishi wengi na wachambuzi wengi hupenda kuisema vibaya au vuziri ili kuamsha mijadala mbalimbali mitandaoni kisha wapate kutrend.Nugaz daah!!! Vimbaa mwanachi vimbaaa
Manara alikuwa afisa majungu na uhamasishaji. Simba haihitaji tena mtu wa hamasa na majungu. Kazi hiyo ilishaishaDuh, pengo la Manara limekuwa gumu kuzibika. Wangemchukua GENTAMYCINE angewasaidia sana
Ndani ya masaa 24.Huyu jamaa kaondoka lini pale Azam wakuu,
Exatly kabisa, kile kijamaa kilikua kina uchawa fulani hivi wenye kuboa sana yani kilikua kama kakakuona vileHuyu ni swala la muda tu anakuwa maarufu, na ni aina ya watu wanaouweza sana utani plus ethics za kazi ya uanahabari.
Yule mwingine alijua kuropoka ila hakuwa na ethics za kazi yake.
Manara hawezi ziba pengo Yanga kwakuwaManara huko Yanga amezibua pengo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Genta atapewa "Writting Social Media Forum Officer"