Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Imekuaje tena Semaji anatoa siri za Chama 😂
Juzi tu hapa tumesemwa na Prof. Tibaijuka eti asema ukiwa na miaka 30, unasema bado nini?
Sikiliza majibu ya Msemaji wa Simba Ahmed Ally kuhusu kufunga ndoa pia amejibu watu ambao wanauliza huyu atakuwa mke wa ngapi kwake kumuoa.
Juzi tu hapa tumesemwa na Prof. Tibaijuka eti asema ukiwa na miaka 30, unasema bado nini?
Sikiliza majibu ya Msemaji wa Simba Ahmed Ally kuhusu kufunga ndoa pia amejibu watu ambao wanauliza huyu atakuwa mke wa ngapi kwake kumuoa.