Ahmedy Ally: Yanga huwa wanatufunga kwa kubahatisha hawajawahi kuwa 'level' zetu

Ahmedy Ally: Yanga huwa wanatufunga kwa kubahatisha hawajawahi kuwa 'level' zetu

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1681286277427.png
" Sisi Simba tunaamini mara zote ambazo Yanga ameshinda dhidi yetu huwa wanabahatisha bahatisha tu.

Hii ni kwasababu Yanga hajawahi kuwa na ubora kama wa Simba, Yanga hawajawahi kufika Level na Standard yetu Simba.

Safari hii hatutakubali wapate ushindi wa dusko dusko ".

"Tunao watu wa kutuvusha salama kwenye mchezo huu. Ni wakati wao wachezaji kuandika historia kubwa kwenye Kariakoo Derby."

"Sisi kama menejimenti tunafanya kila kitu kwa upande wetu kuhakikisha tunapata ushindi, na nyie kama mashabiki fanyeni jukumu lenu kwa kununua tiketi na kuja uwanjani kushangilia timu yenu."- Ahmed Ally.

- Ahmed Ally, Afisa Habari wa Simba SC.
 

" Sisi Simba tunaamini mara zote ambazo Yanga ameshinda dhidi yetu huwa wanabahatisha bahatisha tu.

Hii ni kwasababu Yanga hajawahi kuwa na ubora kama wa Simba, Yanga hawajawahi kufika Level na Standard yetu Simba.

Safari hii hatutakubali wapate ushindi wa dusko dusko "

- Ahmed Ally, Afisa Habari wa Simba SC.​

Ndugu Mbumbumbu kiongozi, Sio kama Izo siku zote Simba anafungwa kwakua hajafanya juhudi yoyote dhidi ya Yanga.

Linapokuja swala la Simba na Yanga, Yanga hai hitaji matokeo mengine zaidi ya ushindi, Bahati mbaya kwenu hii mechi tunaitaka Ili tutangaze ubingwa.

Tarehe 16/04/2023 mtafungwa zaidi ya goli Moja Ili limesha kwisha tukutane kwenye kombe la shirikisho la Tff Kama mtafanikiwa kufika fainali.
 
Kama Yanga anashinda kibahati wakati wote basi timu ijitafakari kwa nini inakua hivyo migundu imejaa hapo wakajiloweke baharini usiku kucha. Kwa sababu haiwezeoani mwenzako tu ndio awe na bahati wewe ukose
 
Ndugu Mbumbumbu kiongozi, Sio kama Izo siku zote Simba anafungwa kwakua hajafanya juhudi yoyote dhidi ya Yanga.

Linapokuja swala la Simba na Yanga, Yanga hai hitaji matokeo mengine zaidi ya ushindi, Bahati mbaya kwenu hii mechi tunaitaka Ili tutangaze ubingwa.

Tarehe 16/04/2023 mtafungwa zaidi ya goli Moja Ili limesha kwisha tukutane kwenye kombe la shirikisho la Tff Kama mtafanikiwa kufika fainali.
Wewe huna tofauti na huyo Ahmed Ally
 
Toka simba waache kwenda kwa yule mtaalam wa zanzibar wanapata tabu sana kwenye derby.
 
" Sisi Simba tunaamini mara zote ambazo Yanga ameshinda dhidi yetu huwa wanabahatisha bahatisha tu.

Hii ni kwasababu Yanga hajawahi kuwa na ubora kama wa Simba, Yanga hawajawahi kufika Level na Standard yetu Simba.

Safari hii hatutakubali wapate ushindi wa dusko dusko ".

"Tunao watu wa kutuvusha salama kwenye mchezo huu. Ni wakati wao wachezaji kuandika historia kubwa kwenye Kariakoo Derby."

"Sisi kama menejimenti tunafanya kila kitu kwa upande wetu kuhakikisha tunapata ushindi, na nyie kama mashabiki fanyeni jukumu lenu kwa kununua tiketi na kuja uwanjani kushangilia timu yenu."- Ahmed Ally.

- Ahmed Ally, Afisa Habari wa Simba SC.
mpaka sasa ukiangalia jinsi viongozi wa pande zote mbili wanavyoiongelea derby,inaonesha kabisa Simba ako kwa hali ngumu sasa...wanaweweseka,wanaongea kwa kulalama,wanatia huruma huruma kuelekea kwenye mchezo...yani mashabiki wa Simba kisaikolojia hawako vizuri kabisa wanapoizumngumzia hii game,WAKIFUNGWA HAWA WATAJIUA WENGI.
 
Sitaangalia popote mechi hii nje na kusikiliza ,mana kila nikitazama Chama langu lazima lifungwe
 
Back
Top Bottom