Ahsante Kikwete, utajiri mpya Tanzania

Ahsante Kikwete, utajiri mpya Tanzania

Wengi hawajafurahishwa na hii habari au hawajafurahishwa na kichwa cha hii habari?
 
TATIZO LA MIKATABA NILILIZINGUMZA KWENYE UZI MMOJA HIVI

Nchi nyingi zilizoendelea zinatumia udhaifu wa teknolojia kwa nchi zinazoendelea Kama silaha ya kupata umiliki wa rasilimali wanazochimba kwa kuweka vipengele vinavyowanufaisha Wao kwenye mikataba mingi.

Ilitakiwa nchi zinazoendelea ziwe Na msimamo mmoja wa kuzitaka nchi zilizoendelea kutoa huduma ya kuchimba Tu, suala la kuuza liwe Ni la nchi inayotoa malighafi husika kwa kuwa Na Wao wanahutaji hiyo malighafi.

Ikishindikana basi tukose wote, jambo ambalo haliwezekani kwa kuwa nchi nyingi za ulaya, Asia Na amerika zinategemea nchi za Afrika kwa malighafi ambayo ndiyo nguzo ya maendeleo yao.

Tatizo sisi tuna tamaa Sana, hayati baba wa taifa aliweza kusimamia hili
 
Unaonesha hata article hujaisoma au hujaelewa ulichokisoma.

Pia Unaonesha hata vijana wanaoifanikisha Tesla huwaelewi.

Nyie ndiyo walewale walemavu wa uelewa na kila kizuri akifanyacho fulani basi kwenu donge.

Hayo ni maradhi yaliyopo mioyoni, hatuwashangai.
...Weye ndio hujanisoma wala kunielewa.

...Sometimes you are full of BS.
 
Hapana siamini. Pamoja na kuwa kujengwa kiwanda hutegemea sana ukaribu wa malighafi ila pia kuna sababu nyingine. Ambazo nadhani kwa Tanzania hatuna kwa sasa. kwahiyo atakapopiga hesabu zake akaona ni nafuu zaid kusafirisha malighafi ifuate hizo sababu nyingine(utaalam,teknolojia,umeme wa uhakika na hata pengine tax incentives).

Basi atafanya kile chenye unafuu kibiashara
...This is my point. Tuko pamoja.

Unaonesha hata article hujaisoma au hujaelewa ulichokisoma.

Pia Unaonesha hata vijana wanaoifanikisha Tesla huwaelewi.

Nyie ndiyo walewale walemavu wa uelewa na kila kizuri akifanyacho fulani basi kwenu donge.

Hayo ni maradhi yaliyopo mioyoni, hatuwashangai.
...Alivyojibu ambaye hakuulizwa swali.

...Yeye anaye "waelewa" anaamini watakujajenga auto plant, Tanzania. Ningeweza mwelewesha jinsi gani that is a far-fetched idea, lakini najua anajua kuwa najua anajua.
 
Sasa tunaiomba Serikali ya Mheshimiwa Magufuli isikubali utajiri huu wa nishati mpya kuhamishwa na badala yake wawekezaji waje kufungua viwanda vya betri zenye ubora duniani hapa hapa Tanzania.
...Ni ngumu wawekezaji kuja kufungua viwanda vya betri, hapa hapa. Sababu ziko nyingi. Moja na ya muhimu, ni masoko ya bidhaa yalipo.

...Leo hii Tesla -ambayo umeitaja huko nyuma, na ku imply "unawafahamu" "vijana" waliyoianzisha- inazalisha na kuuza magari yenye kutumia umeme wa betri, Marekani. Inaingia kwenye kuzalisha betri za kutoa umeme majumbani, na tayari imeshapata order za zaidi ya USD 800mn.

...Imejenga kiwanda Reno, Nevada cha kuzalisha betri hizo na za aina nyingine -hata ikiwezekana kutoa umeme kwa miji- kitakachokuwa na thamani ya USD 5bn. Simply, kinaitwa Gigafactory.

...This is reality.

Volt Resources is targeting to become a preferred supplier of high quality large flake graphite to the emerging high technology industry.
...Haya maneno umeyaelewa? Yanamaanisha, mzigo utasafirishwa kwenda ng'ambo.

...Kwanini mzigo utatoka nje, imeshaelezwa hapo juu.


NB: Tulia, soma na uelewe. Usikimbilie ku copy na kuja paste vitu hapa, halafu unajaza BS.
 
Kwa Mara ya kwanza katika post yako sijaona neno Ccm au neno Dini..hongera sana ila hiyo post yako Ingekua kwa kiswahili ingeongeza radha zaidi...
True that......hata mimi sijawahi kuona.....ila kiswahili please...halafu haya mambo siyo ishu kwani tunaendelea kuwa masikini....hata kila mtu akiwa na mgodi wake wa madini
 
Swali zuri sana.

Kumbuka kuwa zile safari za Kikwete bila kuchoka ndiyo zilizozaa matunda kwa kuwakinaisha wawekezaji kuwa Tanzania ni salama na waje kuwekeza katika utafiti.

Mali za chini ya ardhi bila kutafutwa hazionekani. Na hao watafutaji inabidi wakinai kwa kuwa convince usalama wao kwanza. Si rahisi kumuingiza mtu na fedha zake kwenye mapori yenye Black Mambas kufanya utafiti tena kwa fedha zake mwenyewe. Hapo uelewe kuwa ile smile ya Kikwete ilifanya kazi kubwa sana unless uwe huwezi kufikiri.

kukinai hapa inahusikaje?
 
Back
Top Bottom