Ahsante MwanaJF wewe kwa mapokezi yako mazuri

Maana kama yote hayo hamkuyafanya basi hilo limjamaa li lijanaume zembe haijawahi kutokea katika mkoa wa Kilimanjaro na Afrika Mashariki na Kati.
Mkoa wa Kilimanjaro umetoa mtu wa ajabu sana[emoji16][emoji16][emoji16]yani hata mate tu hawakulana...teh teh! Huyo atakuwa mchagga, wapare wanapenda sana chini, hawezi kumuacha hivi hivi[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mkoa wa Kilimanjaro umetoa mtu wa ajabu sana[emoji16][emoji16][emoji16]yani hata mate tu hawakulana...teh teh! Huyo atakuwa mchagga, wapare wanapenda sana chini, hawezi kumuacha hivi hivi[emoji16][emoji16][emoji16]
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Wadau wa probability / ramli hapo washamjua![emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…