Ahsante MwanaJF wewe kwa mapokezi yako mazuri

Barikiwa sana mkuu
 
Hahahaaa. Lol.

Ila niwe mkweli Mdogo wangu ,Da NAHUJA ana akili sana yaani Sanaaaa narudia tena sanaaa.

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahahahaaaa, nimefurahi maana hajanitaja pekee yangu.

Hapa katuwekea probability sisi tupick randomly na kila mmoja abaki na jibu lake.
 
Hahahaaaa. Umeonaeee.

Umesahau mdogo wangu pia imebaki kazi ya mliotajwa kila mmoja ajigeuze ndio alikuwa mwenyeji wake ili kuzidi kutuchanganya. Hahahaaaaa.

Nimeipenda hii kwa kweli. Hongera kwake.
Mimi nishajiweka wazi nasubiri wapinzani wangu waje hapa na wao watoe ya moyoni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaa. Lol.

Ila niwe mkweli Mdogo wangu ,Da NAHUJA ana akili sana yaani Sanaaaa narudia tena sanaaa.

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahahahaaaa, nimefurahi maana hajanitaja pekee yangu.

Hapa katuwekea probability sisi tupick randomly na kila mmoja abaki na jibu lake.
hahaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…