Ahsante Rais Samia, kwa hili Watumishi wa Umma tumekuelewa sana

Ahsante Rais Samia, kwa hili Watumishi wa Umma tumekuelewa sana

Mkuu mkuu, wacha sisi tuendelee kumshukuru kwa ajili ya Watumishi. Wacha tumshukuru sisi, ni muda mrefu sana stahiki zilikuwa kizungumkuti.

Hayo mengine tuache kwanza.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Mataga wa kipindi Cha mama samia[emoji1787][emoji1787]
IMG_20210320_202350.jpg
 
Ila kiukweli ukisomaa sheria za utumishi, kwasasa nilistahili kuwa juu ya daraja hili nililopandishwa sasa, ila yule msukuma yule sijui anaenda kuongoza malaika gani wanaozuia haki za watu tena za kisheria.


Yule ni shetani,ibilisi na afe tena huko
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kwani maafisa wa kata na tarafa hawakuwa wanalipwa? hata hivyo bila kuwafikiria wenyeviti wa serikali wa mitaa bado hajatibu tatizo la rushwa za mihuri
Hawa niliowataja ni WATUMISHI WA UMMA.
Huwa wanapewaga pikipiki kurahisisha Kazi zao.
Then hizi 100k zitatumika kwenye maintenance za hizo pikipiki.

#YNWA
 
Pelekeni ujinga wenu wa ubinafsi huko, mnafikiri kila mtu kaajiriwa na serikali.
Nyinyi Mwendazake alikataa kuwapandisha madaraja na marupurupu kwasababu wengi ni majizi ya nchi hii,mnajitungia semina za ajabu ajabu kisha mnakula hela yetu ya kodi.

Watumishi wenyewe wavivu,wezi na wala rushwa wakubwa
Pole TAGA kwa msiba wa BABA.

Ndio hivyo mama kaonyesha yeye sio marehemu mnyima haki za watu.

Ngoja sisi 24/July tukimbilie NMB, We endelea na matanga.

Ila baba ako mnyima haki za watu hawezi kuwa kiongozi wa malaika Hawa naowajua Mimi labda malaika wale wa Ufunuo wa Yohana (666).

CGA alitudhihirishia baba ako alikuwa mwizi balaaa.

#YNWA
 
Wanasiasa wetu hawajawahi kuona umuhimu wa walimu wa nchi hii Ila watashinda majukwaani wanahubiri umuhimu wa elimu
Ashakum si matusi ""Walimu hawajawahi kujielewa""

Walimu wanao lalamika maslahi mabovu ndio walimu wale wale waliompitisha jiwe uchaguzi.

Acha wanyooke mpaka akili ziwakae.

#YNWA
 
Screenshot_20210310-220508.png
Kazi kubwa amefanya na Mama Samia anaendelea, pumzika kwa amani Magufuli.
 
View attachment 1817573Kazi kubwa amefanya na Mama Samia anaendelea, pumzika kwa amani Magufuli.
Huyu ataongoza malaika wa 666 ila sio Hawa weupe.

Aliminya sanaa HAKI za watumishi, Tena aliminya sanaaa.
Kwakuwa yeye mpaka kojoa yake ni kodi zetu akajisahau kabisaaa

TAGA pole kwa kufiwa na baba.

#YNWA
 
Utangoja sana .. Haipungui miezi 6 mpaka mshahara kueffect cheo kipya. Vumilia tu
Unaongelea historia Mkuu..tarehe ya mwisho ya kupandishia watumishi wa umma ilikuwa 12 Juni..unajua kwanini..mtiririko wa maandalizi ya mshahara ndio unaanza hapo hivyo hata hawa walipewa barua mwezi huu ongezeko litakuwepo. Hii imefanyika ili kuondoa mlundikano wa hayo madai kama miaka ya nyuma.
 
Mimi nimekuwa na shka nae fulani fulani.ila kwa hili [emoji109][emoji123],tupo mapoja ,hapa ameanza kunishawishi .Safi Sana.
 
Watumishi wa umma ni muda kutafuta malisho mengine huku tukifanya kazi zao kadiri tunavyolipwa.
Hapo unadhani unamkomoa mwanasiasa au unamkomoa mwananchi ambaye ni mhanga kama wewe?
Mimi nilidhani utafute kazi nyingine! Chukulia mwalimu akifundisha chini ya kiwango wanaoathirika ni wanafunzi ambao mtoto wa mwanasiasa wala hasomi shule za umma. lakini pia mtaani kuna waalimu wengi wanaolilia hiyo ajira ambayo wewe huitendei haki.

Wakristo wanakumbuka kuna neno linasema kati Warumi 10:17 limerudiwa katika kitabu cha Nahumu kusema " Mwenye haki wangu ataishi kwa imani yake" Dhuruma haijawahi kuwa jibu la dhuruma,unapomdhurumu mnyonge kwa kisingizio cha kwamba wewe unadhurumiwa,
ujiandae kukutana na mkono wa Mungu ukipingana nawe.

Ne heri kutoa huduma stahiki huku ukimuomba Mungu azibariki kazi zako nyingine za mikono
unazojishughulisha nazo baada ya kazi na Mungu atakubariki kupitia huko maana hilo ni zao la haki.
 
Back
Top Bottom