fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Sawa bana, nikukumbushe tu ndugu yangu unayesubiria NMB.Pole TAGA kwa msiba wa BABA.
Ndio hivyo mama kaonyesha yeye sio marehemu mnyima haki za watu.
Ngoja sisi 24/July tukimbilie NMB, We endelea na matanga.
Ila baba ako mnyima haki za watu hawezi kuwa kiongozi wa malaika Hawa naowajua Mimi labda malaika wale wa Ufunuo wa Yohana (666).
CGA alitudhihirishia baba ako alikuwa mwizi balaaa.
#YNWA
Mna shida sana .... Subiri uone ...... Kaa kwa utulivu. Ndio uje uhadithie .... Shida yenu mnaingiza siasa kwenye utaalamu. Mshahara utabadilika lakini mtangoja sana . Ukibadilika tarehe ya kwenye barua njoo hapa.. Kama ndio unasubiri kupanda Mara ya kwanza wenzako tushapanda mara3. KaribuPole sanaa TAGA.
Na pole kwa msiba wa kufiwa na baba.
Katibu mkuu utumishi (Ndumbaro) na waziri wa TAMISEMI (Ummy) walielekeza na kusisitiza kutochelewa kwa madaraja ili kutozalisha deni (arrears).
Huu ni utawala mwengine yule mnyima haki mwache ale vitasa za uzurimishi huko..!!!
#YNWA
Naunga mkono hoja Mungu katutoa kwny mikono ya dhwalimuMimi ni mkiristo ,natarajia kumpa mtoto wangu wa kike jina SAMIA kama kumbukumbu baada ya mateso makali Watz waliyoyapitia
Karibu... Kwa hiyo mshahara wa juni utabadirika!! Kisa payroll zinafanyiwa kazi before 15th ya mwezi!!?? Ngoja muone ... Nawaambia kwa uzoefu ... Na mpaka sasa ni walimu tena baadhi waliopewa barua za madaraja... Yaaani mkiwahi ni mwezi wa 11-12 huko.Unaongelea historia Mkuu..tarehe ya mwisho ya kupandishia watumishi wa umma ilikuwa 12 Juni..unajua kwanini..mtiririko wa maandalizi ya mshahara ndio unaanza hapo hivyo hata hawa walipewa barua mwezi huu ongezeko litakuwepo. Hii imefanyika ili kuondoa mlundikano wa hayo madai kama miaka ya nyuma.
Yaa huwa inachelewa ndo maana watu huwa wanadai arreas....Karibu... Kwa hiyo mshahara wa juni utabadirika!! Kisa payroll zinafanyiwa kazi before 15th ya mwezi!!?? Ngoja muone ... Nawaambia kwa uzoefu ... Na mpaka sasa ni walimu tena baadhi waliopewa barua za madaraja... Yaaani mkiwahi ni mwezi wa 11-12 huko.
Nilitakiwa kupanda mara 2 ila baba ako alininyima kupanda mara mbili.Mna shida sana .... Subiri uone ...... Kaa kwa utulivu. Ndio uje uhadithie .... Shida yenu mnaingiza siasa kwenye utaalamu. Mshahara utabadilika lakini mtangoja sana . Ukibadilika tarehe ya kwenye barua njoo hapa.. Kama ndio unasubiri kupanda Mara ya kwanza wenzako tushapanda mara3. Karibu
Mkuu umeongea vema sana tena hisia kali. Ila nitajibu kistaarabu kabisa.Hapo unadhani unamkomoa mwanasiasa au unamkomoa mwananchi ambaye ni mhanga kama wewe?
Mimi nilidhani utafute kazi nyingine! Chukulia mwalimu akifundisha chini ya kiwango wanaoathirika ni wanafunzi ambao mtoto wa mwanasiasa wala hasomi shule za umma. lakini pia mtaani kuna waalimu wengi wanaolilia hiyo ajira ambayo wewe huitendei haki.
Wakristo wanakumbuka kuna neno linasema kati Warumi 10:17 limerudiwa katika kitabu cha Nahumu kusema " Mwenye haki wangu ataishi kwa imani yake" Dhuruma haijawahi kuwa jibu la dhuruma,unapomdhurumu mnyonge kwa kisingizio cha kwamba wewe unadhurumiwa,
ujiandae kukutana na mkono wa Mungu ukipingana nawe.
Ne heri kutoa huduma stahiki huku ukimuomba Mungu azibariki kazi zako nyingine za mikono
unazojishughulisha nazo baada ya kazi na Mungu atakubariki kupitia huko maana hilo ni zao la haki.
Wewe ni **** unanijua?Sawa bana, nikukumbushe tu ndugu yangu unayesubiria NMB.
week hii mambo hayakua sawa nimeingiza 1980000 tu.
Mambo yamebana kidogo
Potelea mbali itajulikanaga mbele kwa mbele.Ndugu.
Pamoja na kumuelewa lakini pia tafakari na hii. PAYE imeshushwa kutoka 9% hadi 8% ni jambo jema lakini inawezekana isiwe na maana kushuka kwa sababu kama hizi.
1. Kodi ya laini za simu imeanzishwa jambo ambalo litahitaji ile hela ya punguzo kwenye PAYE.
2. Kodi ya majengo kupitia kununua LUKU ambapo utalazimika kulipa pale unapolipa bill ya umeme ukiwa kwenye nyumba ya kupanga au ya kwako.
3. Kuwepo kwa kodi mpya kwenye miamala ya simu kila unapotuma na kutoa hela.
4.Ongezeko la kodi kwenye bidhaa za mafuta ya dizeli na petrol ambapo gharama za usafiri na usafirishaji zinatarajiwa kupanda.
Kwa hizi baadhi ya kodi mpya ni vigumu kumuelewa mama kwani ni kama mtu amekukupunguzia shs. Mia kwenye hela unayopata ila atachukua elfu moja kwako.
Nenda taratibu Mkuu,mambo mazuri hayataki haraka.Hivi ni lini mwalimu wa Tanzania naye ataanza kulipwa posho?
Kumkubali huyo mama ambaye ni zao la udhalimu wa mwendazake mimi wala siungani naye. Kipindi nateseka alikuwa VP na hakuwahi hata kutoa tamko.
Watumishi tuna madai mengi sana kuanza kusifia mapema namna hii wakati hadi muda hakuna kilichobadilika mfukoni inaonesha ni jinsi gani watumishi wa umma hatujielewi.
CCM ni ileile na viongozi ni walewale. Watumishi wa umma ni muda kutafuta malisho mengine huku tukifanya kazi zao kadiri tunavyolipwa.
Mtumishi wa umma kumsubiri mwanasiasa akupe mishahara minono ni sawa kumtegemea shetani akupeleke mbinguni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kuongezewa TZS 30,000/= unashangilia kama zuzu mkuu? Kupandishwa daraja haina maana kabisa.Pole TAGA kwa msiba wa BABA.
Ndio hivyo mama kaonyesha yeye sio marehemu mnyima haki za watu.
Ngoja sisi 24/July tukimbilie NMB, We endelea na matanga.
Ila baba ako mnyima haki za watu hawezi kuwa kiongozi wa malaika Hawa naowajua Mimi labda malaika wale wa Ufunuo wa Yohana (666).
CGA alitudhihirishia baba ako alikuwa mwizi balaaa.
#YNWA
Weka K mwisho sema 300k au 400kYaani kuongezewa TZS 30,000/= unashangilia kama zuzu mkuu? Kupandishwa daraja haina maana kabisa.
Angetamka nn mama wa watu ingali alikuwa anashuhudia wenzake wakishushwa wazimawazima wakileta kiheleheleHivi ni lini mwalimu wa Tanzania naye ataanza kulipwa posho?
Kumkubali huyo mama ambaye ni zao la udhalimu wa mwendazake mimi wala siungani naye. Kipindi nateseka alikuwa VP na hakuwahi hata kutoa tamko.
Watumishi tuna madai mengi sana kuanza kusifia mapema namna hii wakati hadi muda hakuna kilichobadilika mfukoni inaonesha ni jinsi gani watumishi wa umma hatujielewi.
CCM ni ileile na viongozi ni walewale. Watumishi wa umma ni muda kutafuta malisho mengine huku tukifanya kazi zao kadiri tunavyolipwa.
Mtumishi wa umma kumsubiri mwanasiasa akupe mishahara minono ni sawa kumtegemea shetani akupeleke mbinguni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo yaani daraja upandishwe 300K serikalini? Hata private ni watumishi wachache sana wanaopandishwa kwa kiasi hicho.Weka K mwisho sema 300k au 400k
Zuzu ni MATAGA wanaoshangilia kila kitu ili wapate kitu.
#YNWA
TGS C = 535,000Acha uongo yaani daraja upandishwe 300K serikalini? Hata private ni watumishi wachache sana wanaopandishwa kwa kiasi hicho.
Kwani wewe unajua nini maana ya Daraja la Mshahara??Acha uongo yaani daraja upandishwe 300K serikalini? Hata private ni watumishi wachache sana wanaopandishwa kwa kiasi hicho.
Unajua watumishi ni walipa kodi waaminifu? Kila mwezi wanakatwa kodi unapo sema wanatafuna kodi zenu.. Ukimaanisha wenyewe sio wachangiaji?Pelekeni ujinga wenu wa ubinafsi huko, mnafikiri kila mtu kaajiriwa na serikali.
Nyinyi Mwendazake alikataa kuwapandisha madaraja na marupurupu kwasababu wengi ni majizi ya nchi hii,mnajitungia semina za ajabu ajabu kisha mnakula hela yetu ya kodi.
Watumishi wenyewe wavivu,wezi na wala rushwa wakubwa
Yap umenipa sence, huyo anafananisha increment na daraja.Kwani wewe unajua nini maana ya Daraja la Mshahara??
Wakisema Daraja unajua ni nini? Mtu anabadilikaje daraja?
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Jamaa kazingua.Yap umenipa sence, huyo anafananisha increment na daraja.
#YNWA
KumbeKwa hili hata mimi nimemkubali..