Ahsante Simba kwa kushiriki ligi ya Mabingwa

Ahsante Simba kwa kushiriki ligi ya Mabingwa

Mechi za ushindi Kwa timu ya Simba zimemalizika rasmi Leo Kwa ushindi mnono dhidi ya vipers. Mechi hivyo imeifanya Simba kuwa nafasi ya pili Kwa alama sita nyuma ya vinara Raja club athletic. Timu ya Simba inachuana vikali na Horoya katika nafasi ya pili hivyo yeyote kati Yao atafuzu.

Kwa namna Simba ilivyocheza dhidi ya vipers ni dhahiri kuwa mwendo wameumaliza yaani horoya watamuua nyumbani Kisha kule Kwa Raja ataenda kukamilisha ratiba. Licha ya kushindwa dhidi ya Raja, Horoya wanaubora na ari kuliko Simba.

Ahsante Simba Kwa kushiriki, karibu super league Kwa hapa mwendo umeumaliza.
Watanzania wengi hatujui mpira tunafuata upepo tu mechi simba alicheza na kaizer chief simba walikuwa na ball possession ya 80 kwa 20 lakini kaizer alishinda na akafuzu next stage licha ya kucheza pira biriani huo mpira wa kupaka rangi Caf champions league sio sehemu yake.
 
Mechi za ushindi Kwa timu ya Simba zimemalizika rasmi Leo Kwa ushindi mnono dhidi ya vipers. Mechi hivyo imeifanya Simba kuwa nafasi ya pili Kwa alama sita nyuma ya vinara Raja club athletic. Timu ya Simba inachuana vikali na Horoya katika nafasi ya pili hivyo yeyote kati Yao atafuzu.

Kwa namna Simba ilivyocheza dhidi ya vipers ni dhahiri kuwa mwendo wameumaliza yaani horoya watamuua nyumbani Kisha kule Kwa Raja ataenda kukamilisha ratiba. Licha ya kushindwa dhidi ya Raja, Horoya wanaubora na ari kuliko Simba.

Ahsante Simba Kwa kushiriki, karibu super league Kwa hapa mwendo umeumaliza.

Sawa mnafki, ila kumbuka licha ya kushinda amemiliki mpira over 63%. Sasa sielewi unakuna na twakwimu gani zinakufanya uzungumze haya.
 
umeanza kufatilia mpira jana? Au unajichetua akili?
Babu eeeh mpira unachezwa hadharani na kuna timu unaweza ukaipa imani ya kushinda ugenini kwamba mpira ni dk 90 lakini sio simba hii ya kwako, ukubali ndiyo ivyo ukatae ndiyo ivyo, akuna wachezaji pale aisee
 
Watanzania wengi hatujui mpira tunafuata upepo tu mechi simba alicheza na kaizer chief simba walikuwa na ball possession ya 80 kwa 20 lakini kaizer alishinda na akafuzu next stage licha ya kucheza pira biriani huo mpira wa kupaka rangi Caf champions league sio sehemu yake.
Ball possesion inaweza ikawa chini lakini ukacheza mpira unaoeleweka kiufundi usitake kujificha kwenye kichaka icho cha point 3 muhimu wakati mpira wako ni mbovu vile vile, mmekula maharage ya wapi nyie mashabiki vipofu,
 
V alieamini Man u angefungwa 7-0 kabla ya mechi kwa kuangalia viwango na msimamo. Mpira hauko kama mnavyofikiri nyinyi..Horoya na Simba hawajapishana sana viwango kama zile timu za Afrika kaskazini, kwa hiyo kuamini kuwa Horoya atakuwa na mechi rahisi kwa Mkapa ni kujidanganya.
Vipers kiliwashinda kumalizia tu,bobosi kawakosti,lakini walikua wakifika kirahisi tu,man u si timu nzuri,haifai kuitolea mfano,ni pakacha lile
 
Mechi za ushindi Kwa timu ya Simba zimemalizika rasmi Leo Kwa ushindi mnono dhidi ya vipers. Mechi hivyo imeifanya Simba kuwa nafasi ya pili Kwa alama sita nyuma ya vinara Raja club athletic. Timu ya Simba inachuana vikali na Horoya katika nafasi ya pili hivyo yeyote kati Yao atafuzu.

Kwa namna Simba ilivyocheza dhidi ya vipers ni dhahiri kuwa mwendo wameumaliza yaani horoya watamuua nyumbani Kisha kule Kwa Raja ataenda kukamilisha ratiba. Licha ya kushindwa dhidi ya Raja, Horoya wanaubora na ari kuliko Simba.

Ahsante Simba Kwa kushiriki, karibu super league Kwa hapa mwendo umeumaliza.
Ni wivu umekufanya uandike upupu.
 
Vijana wa mangungu uwa mnapenda kujipa matumaini hewa kweli yani, mkiambiwa ukweli mnapanic kiboya, Kwa mpira huu unaona kabisa uko kwenye right way? Uyo horoya unayemsema kwa sasa hivi sio horoya yule uliyekutana nae akakuzaba bao moja bila, horoya uyu kaboresha kiwango chake tofauti na timu yako kila uchwao inazidi kuporomoka kiwango, kwa maana iyo horoya kwa mkapa kama atapata matokeo mabaya basi ni sare na sio kumfunga, na yeye anakwenda kuchukua point za vipers nyumbani kwao kama na wewe ulivyozichukua uku ukienda moroco kukamilisha ratiba
Hata haya pia ni matumaini hewa maana inaweza isiwe kama ulivyoandika.
 
Vijana wa mangungu uwa mnapenda kujipa matumaini hewa kweli yani, mkiambiwa ukweli mnapanic kiboya, Kwa mpira huu unaona kabisa uko kwenye right way? Uyo horoya unayemsema kwa sasa hivi sio horoya yule uliyekutana nae akakuzaba bao moja bila, horoya uyu kaboresha kiwango chake tofauti na timu yako kila uchwao inazidi kuporomoka kiwango, kwa maana iyo horoya kwa mkapa kama atapata matokeo mabaya basi ni sare na sio kumfunga, na yeye anakwenda kuchukua point za vipers nyumbani kwao kama na wewe ulivyozichukua uku ukienda moroco kukamilisha ratiba
Sio tu hilo .....unaambiwa horoya waliahidiwa 100milion wakimfunga laja......ebu fikiria mechi Moja .....mkwanja wote huo
 
Ahsante Simba Kwa kushiriki, karibu super league Kwa hapa mwendo umeumaliza.
Unaikaribisha Simba kwenye Super League wakati wewe haupo huko? Hata Feisal anakucheka!

1678249521732.png
 
Leo wala mihogo/vyura/utopololo mna mechi.Mngetoa ushauri huko msifungwe nyingi kuliko kuhangaika na yasiyowahusu.
 
hao horoya ni wakawaida tu wanatumia xana nguvu kuliko akili, leo kama raja wasingekosa penati wangekula 4-1, halafu kusema horoya atamfunga vipers ni ushamba wa mpira, huu ni mpira sio maandazi, hata raja anaweza kufungwa nyumbani na simba,
Mzee kwa nini unasema horoya kumfunga vipers ni ushamba! Unamaliza kwa kusema hata raja anaweza kufungwa na Simba, hiyo nayo ni ushamba?
 
Mechi za ushindi Kwa timu ya Simba zimemalizika rasmi Leo Kwa ushindi mnono dhidi ya vipers. Mechi hivyo imeifanya Simba kuwa nafasi ya pili Kwa alama sita nyuma ya vinara Raja club athletic. Timu ya Simba inachuana vikali na Horoya katika nafasi ya pili hivyo yeyote kati Yao atafuzu.

Kwa namna Simba ilivyocheza dhidi ya vipers ni dhahiri kuwa mwendo wameumaliza yaani horoya watamuua nyumbani Kisha kule Kwa Raja ataenda kukamilisha ratiba. Licha ya kushindwa dhidi ya Raja, Horoya wanaubora na ari kuliko Simba.

Ahsante Simba Kwa kushiriki, karibu super league Kwa hapa mwendo umeumaliza.
Yaani na akili yako ya kiutopolo unaamini Horoya atakuja kushinda hapa 🤣🤣🤣 wakati kule kwao tu waliomba mpira uishe, na kama sio makosa ya Boko na chama tungetoka na ushindi hata wa goli 3!
 
Back
Top Bottom