Vijana wa mangungu uwa mnapenda kujipa matumaini hewa kweli yani, mkiambiwa ukweli mnapanic kiboya, Kwa mpira huu unaona kabisa uko kwenye right way? Uyo horoya unayemsema kwa sasa hivi sio horoya yule uliyekutana nae akakuzaba bao moja bila, horoya uyu kaboresha kiwango chake tofauti na timu yako kila uchwao inazidi kuporomoka kiwango, kwa maana iyo horoya kwa mkapa kama atapata matokeo mabaya basi ni sare na sio kumfunga, na yeye anakwenda kuchukua point za vipers nyumbani kwao kama na wewe ulivyozichukua uku ukienda moroco kukamilisha ratiba