Ahsanteni wadau wote wa jukwaa hili

Ahsanteni wadau wote wa jukwaa hili

mkanet

Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
41
Reaction score
57
Nitoe shukrani zangu zote kwa wadau wote wa jukwaa hili.

Kupitia elimu ya humu nilizingatia maoni ya wadau jinsi kutoboa au kupata kazi serikalin kupitia utumishi.

Hatimae leo naenda kuchukua barua utumishi Dodoma nikaripoti kazini mungu awabariki sana.
 
Nitoe shukrani zangu zote kwa wadau wote wa jukwaa hili.

Kupitia elimu ya humu nilizingatia maoni ya wadau jinsi kutoboa au kupata kazi serikalin kupitia utumishi.

Hatimae leo naenda kuchukua barua utumishi Dodoma nikaripoti kazini mungu awabariki sana.
Hongera nami ngoja nikomae

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Unashukuru mshahara wa laki mbili 200k.
 
Nitoe shukrani zangu zote kwa wadau wote wa jukwaa hili.

Kupitia elimu ya humu nilizingatia maoni ya wadau jinsi kutoboa au kupata kazi serikalin kupitia utumishi.

Hatimae leo naenda kuchukua barua utumishi Dodoma nikaripoti kazini mungu awabariki sana.
[emoji3516]
Kada gani mkuu?
 
Back
Top Bottom