Uchaguzi 2020 Ahsanteni Watanzania kwa kutuchagua ila tusisahau CCM bila Upinzani ni sawa na Dini bila Shetani, hakuna visingizio!

Uchaguzi 2020 Ahsanteni Watanzania kwa kutuchagua ila tusisahau CCM bila Upinzani ni sawa na Dini bila Shetani, hakuna visingizio!

Msema Kweli Ni Mpenzi Wa Mungu
Baadaye Utarudi Hapa Kufanya Masahihisho
Enzi za Nyerere alikuwepo mbunge Masoud pale Temeke moto wake sijawahi kuuona hadi leo hakuna cha Lissu, Dr Slaa wala Zitto hawamfikii.

Pale Tandahimba alikuwepo Stephen Nandonde ukirudi Dodoma unamkuta Kuwayawaya S Kuwayawaya serikali ilikuwa inasimama dede hadi mawaziri wanatoa lugha chafu bungeni!
 
Na mkifika bungeni, napendekeza.

1. Upitishwe mswaada wa kufutwa vyama vya Upinzani,kibaki chama kimoja.

2. Rais Magufuli apewe uRais wa maisha. Yaani atawale mpaka siku atakapoingia kaburini.

Sababu.
Kufanya uchaguzi huku kukiwa na matokeo tayari, ni upotevu wa rasilimali. Pesa zilizotumika kwa uchaguzi huu, bora zingejenga hata barabara, na wabunge walivyopita tu CCM ingeishia hapo.

Au wadau mnasemaje!
Naunga mkono hoja. Watoto wa maskini wanakaa chini shuleni huko kwa kukosa madawati, wanabanana wanafunzi hadi 100 kwa ukosefu wa madarasa halafu Kodi za wazazi wao zinatumika kipuuzi namna hii!!?

Bora tufute uchaguzi pesa zielekezwe kwenye miradi ya maendeleo

"Hakuna dini bila shetani"
 
Na mkifika bungeni, napendekeza.

1. Upitishwe mswaada wa kufutwa vyama vya Upinzani, kibaki chama kimoja.

2. Rais Magufuli apewe Urais wa maisha. Yaani atawale mpaka siku atakapoingia kaburini.

Sababu
Kufanya uchaguzi huku kukiwa na matokeo tayari, ni upotevu wa rasilimali. Pesa zilizotumika kwa uchaguzi huu, bora zingejenga hata barabara, na wabunge walivyopita tu CCM ingeishia hapo.

Au wadau mnasemaje!
Kabisa ,nimehuzunika sana kupoteza bando nafuatilia uchaguzi ambao hauna hata fair condition.Mimi nasema wazi tulipoteza muda bure kuwasikiliza wagombea.
 
Tutateua wabunge wa upinzani ili waunde kambi ya upinzani bungeni. Tutamteua Zito, Mbowe, Esther Matiko, Msigwa na Lisu.
 
Kwa upande wa udiwani matokeo yaliyokwishatoka yanaonyesha CCM ikiwa mbele kwa kuzoa kata nyingi.

Hata ubunge hakuna Mgombea wa Upinzani aliyetangazwa kushinda hadi sasa na tayari kiongozi mkuu wa CHADEMA ameshapoteza kiti chake cha ubunge kule Machame.

CCM tunawashukuru sana Watanzania kwa kutuchagua.

Angalizo kwa viongozi wa CCM waliochaguliwa ni moja tu kwamba CCM bila Upinzani ni sawa na Dini bila Shetani.

Hebu fikiria kidogo maisha bila shetani nani wa kumsingizia dhambi?

Maendeleo hayana vyama!

cc: Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto
Wapinzani kukosa wabunge wengi bungeni ndio kusema nchi haina wapinzani? Mch Mtikila (RIP) hakuwahi kuwa mbunge ila alikuwa mpinzani makini na shupavu.
 
Mzee Mbaya umenena..haiwezekani kutoa hela zetu wenyewe CCM kwà ajili ya uchaguzi kisha ashinde mpinzani hata mmoja..ila jamani tumetenda dhambi Sana Basi tuu..😀😀😀. CCM mpya ni nyooko aisee
 
Kwa upande wa udiwani matokeo yaliyokwishatoka yanaonyesha CCM ikiwa mbele kwa kuzoa kata nyingi.

Hata ubunge hakuna Mgombea wa Upinzani aliyetangazwa kushinda hadi sasa na tayari kiongozi mkuu wa CHADEMA ameshapoteza kiti chake cha ubunge kule Machame.

CCM tunawashukuru sana Watanzania kwa kutuchagua.

Angalizo kwa viongozi wa CCM waliochaguliwa ni moja tu kwamba CCM bila Upinzani ni sawa na Dini bila Shetani.

Hebu fikiria kidogo maisha bila shetani nani wa kumsingizia dhambi?

Maendeleo hayana vyama!

cc: Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto
Demokrasia ndio basi tena tunabaki na Kibajaji na musukuma
Magufuli anakotupeleka anajua mwenyewe
 
Mimi nlishauri siku za nyuma tukiwa kwenye kampeni kwamba wabunge hawa tume na Magu wahakikishe wanarudi bungeni hata kama watapata kura kidogo

1. Mbowe
2. Lema
3. Sugu
4. Mdee
5. Msigwa
6. Bulaya
7. Upendo peneza
8. Pr.j

Lakini BAVICHA kama kawaida yao wakanitukana. Ngoja tuwe na chama kimoja tu sasa maana hawajielewi hawa CHADEMA
Warudi bungeni ili muwasingizie kuwa wamechelewesha Maendeleo?
 
Kwa upande wa udiwani matokeo yaliyokwishatoka yanaonyesha CCM ikiwa mbele kwa kuzoa kata nyingi.

Hata ubunge hakuna Mgombea wa Upinzani aliyetangazwa kushinda hadi sasa na tayari kiongozi mkuu wa CHADEMA ameshapoteza kiti chake cha ubunge kule Machame.

CCM tunawashukuru sana Watanzania kwa kutuchagua.

Angalizo kwa viongozi wa CCM waliochaguliwa ni moja tu kwamba CCM bila Upinzani ni sawa na Dini bila Shetani.

Hebu fikiria kidogo maisha bila shetani nani wa kumsingizia dhambi?

Maendeleo hayana vyama!

cc: Mzee Mgaya, Mchungaji Erasto
Ahahahh
 
Enzi za Nyerere alikuwepo mbunge Masoud pale Temeke moto wake sijawahi kuuona hadi leo hakuna cha Lissu, Dr Slaa wala Zitto hawamfikii.

Pale Tandahimba alikuwepo Stephen Nandonde ukirudi Dodoma unamkuta Kuwayawaya S Kuwayawaya serikali ilikuwa inasimama dede hadi mawaziri wanatoa lugha chafu bungeni!
Kilikuwa.chama kimoja tu,ukitaka iwe hivyo sharti ufute Kwanza vyama vingine
 
Back
Top Bottom