AI (akili bandia) haiwezi kuchukua nafasi ya utashi wa binadamu

AI (akili bandia) haiwezi kuchukua nafasi ya utashi wa binadamu

Mkuu sio kweli kuwa kama daraja limekatika eti gari litaendelea sio kweli litasimama. Ndio maana likikutana mtu mbele linasimama. Lina camera za kudetect vitu.
Halafu kuhusu AI, policy zake kwa wote zinasema wazi kuwa AI haiwezi kuwa binadamu na AI haitakiwi kuonyesha persona characters.
Hakuna cha ajabu kwasabu ni sensor ndio zinazofanya kazi.Na hayo mavitu yote binadamu ndiye kayatengeneza ili kurahisisha kazi.hakuna tofauti na binadamu akivyojitengenezea calculator,magar,ndege,meli,computerna machine zingine nyingi ambazo ziko programmed nazinafanya vitu automatic.Yote hayo ni akili ya binadamu.
 
sawa binadamu ndio mtoa command, lakini kulizidi ufanisi wa kazi ni haiwezekani.

Ni sawa leo hii wewe utengeneze gari alafu useme naweza kukimbia speed kali zaidi ya gari.
hutoboi ndugu
Hiyo speed ya gari nani aliiweka kwenye gari?.Akili ya mtengenezaji wa gari ndio speed ya gari.ndo maana kuna kikomo cha kila kilichotengenezwa.Gari likitembea speed 50 maana yake mtengenezaji akilini kwake alikimbia speed 50 kisha akatengeneza kifaa chenye speed 50.Machine inatengenezwa ili ifanye kazi phisical ambayo mtengenezaji ameifikiria akilini mwake.
 
Wazungu wamekuwa wakipambana kuwezeshwa AI (akili bandia) itawale sehemu mbalimbali na kuondoa uhitaji wa akili au maamuzi ya binadamu katika kufanikisha au kufanya kazi mbalimbali.

Kuna maeneo watafanikiwa ila sio kote, mfano haya magari ya kujiendesha yenyewe sio salama kabisa maana yapo programmed let's say ume li command gari kwenda point B halafu itokee mbele kuna daraja limekatika, lenyewe halina utashi wa kujizuia litaendelea tu mpaka kutumbukia haliwezi kujizuia, kamwe Nature hakuna binadamu ambaye anaweza kushindana nayo.
Mkuu badili mfano gari la ai linatumia camera na sensor kwenye shimo kutumbukia ni uongo hata kugonga ukuta ni ngumu
binadam itafika hatua kazi yeyote hafanyi
 
kuna maeneo AI itamzidi binadamu na tutafika mahali tutakua 50/50, mfano kumbu kumbu 100% hatuiwezi AI, na kuchanganua mambo itategemea taarifa zipi ai imelishwa, kama ambavyo binadamu tunajifunza itakua vile vile, haya yote ni kwenye eneo la pafomansi na kumbukumbu, kusema eti AI haiwezi mzidi binadamu labda utoe mfano kwenye kitu gani?
Kwamba kifaa kilichotengenezwa na binadam kimzid binadam kumbukumbu.Hizi akili mnazitoa wapi?.Unaufaham ubongo kweli wewe?.Hayo yote ni matakataka ya akili ya binadamu.Maarifa ya binadamu yanapoongezeka ndivyo yanavyotengeneza hayo maprogram.Hakuna kifaa kitakachoweza kufanya kazi zaidi yaubongo wa binadamu.Ikitokea hivyo maana yake huyo ni binadamu mwingine duniani na itakua mwisho wa dunia.
 
hatuelewani kitu kimoja hapa, hasa kuhusu uelewa wa jumla wa AI, yaani kama binadamu anaenda shule na kufundishwa ujuzi a,b na c basi na mashine yoyote inaweza kufundishwa huo ujuzi a,b na c, kwaio sio binadamu anaekomand hapa, kuna aina moja ya AI ni reinforcement Ai ambayo binadamu anahusika, na kitu muhimu hapa ni haijalishi hii tecknolojia imetengenezwa na binadamu sababu ikishatengenezwa inaweza kua kwa namna ambayo binadamu anakua hana mamlaka nayo tena, yaani mfano atengenezwe bot alishwe taarifa za namna ya kumtengeneza bot mwingine na namna ya kulinda utawala wao hapatakalika duniani.
Ai robot hii movie alicheza will smith miaka hio alafu ndio masuala ya Ai yanaibuka na kushika kasi kipindi hiki
 
mfano niambie wewe binadamu gani anaweza akaproccess kumbukumbu kama AI, tuanzie hapo tuache ngonjera na vioja ili tuendelee mbele
Aliyetengeneza hiyo anajua alivyotengeneza.mfano wako ni sawa useme kuna binadamu gani anaweza kupaa angani kama ndege hizi za abiria.Kwahiyo ndege (aeroplane) ina akili kuliko binadamu.
 
Kwamba kifaa kilichotengenezwa na binadam kimzid binadam kumbukumbu.Hizi akili mnazitoa wapi?.Unaufaham ubongo kweli wewe?.Hayo yote ni matakataka ya akili ya binadamu.Maarifa ya binadamu yanapoongezeka ndivyo yanavyotengeneza hayo maprogram.Hakuna kifaa kitakachoweza kufanya kazi zaidi yaubongo wa binadamu.Ikitokea hivyo maana yake huyo ni binadamu mwingine duniani na itakua mwisho wa dunia.
umejaribu lakini nakupa sufuri kama mwalimu, kasome notes tena.
 
Utashi unajua ni kitu gani?.Kitu kiwe programed ndo uite utashi.Hizo ni computer tu usifikir ni jambo kubwa kwavile.
wewe unaejua utashi ni nini, elezea kwa kifupi utashi ni nini? tuanzie hapo kukupa darasa andaa daftari la notes
 
Ajielewi huyo.Anafikiri Ai ni kiumbe tofauti na binadamu.kumbe ni machine tu yanayowekewa computer maprogram yakufanya shughuli fulani.Na anayeweka hayo machapicho kwenye icho kifaa ni binadamu.
binadamu anaweka machapisho gani we mwalubadu, mbona we chenga sana, AI ni tech ikishatengenezwa inakua na uwezo wa kujifunza na kujiboresha kadri inavyozidi kukutana na taarifa, lakini hata mada yenyewe umeielewa kweli mwalubadu? facken kabisa
 
Back
Top Bottom