AI (Artificial Intelligence) inaupeleka ulimwengu kwenye uharibifu mkuu, kwanini nawaza hivi?

AI (Artificial Intelligence) inaupeleka ulimwengu kwenye uharibifu mkuu, kwanini nawaza hivi?

MUWHWELA

Senior Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
167
Reaction score
238
TWIME TUBITE
Napenda kuufahamisha umaa na mhariri mkuu kwamba mjadala huu ulifaa uwe kwenye technology,Lakini mantiki yake inafaa kujadiliwa na kusomwa na watu wenye maulizo yasiyo ya kawaida.

-------------
Akili bandia, Kuna binadamu wenzetu wanawaza na kutenda kwa namna ya kipekee sana, ama kwa kuwa wanapenda vitu rahisi au wanataka kutafuta maana ya maisha ya mwanadamu hapa duniani. Yote mawili yanafikirisha.

Akili bandia Mimi naipa jina kama "silaha ya mwisho ya maangamizi kwa mwanadamu" hatuna muda mrefu sana ulimwengu huu utaingia kwenye shida kubwa ambayo itakuja kuichukua Dunia miaka 100 kuziba demage iliyotokea within 10-20yrs ya matumizi ya hii akili bandia.

Wataalam wa sayansi hii ya TEKINOLOJIA wanasema, mashine zinazozalishwa Sasa zinaenda kuwa na akili kubwa maradufu ya mwanadamu mwenye UHAI, hayo yapo na yanaendelea kuwepo Katika sekta nyingi za kiuchumi.

JIULIZE KAMA MIMI
Wamiliki wa TEKINOLOJIA hizi ni wafanyabiashara wakubwa duniani ambao hawana mfumo rafiki na MTU, serikali, au kikundi Cha watu, wao rafiki Yao ni faida, mahala penye faida UHAI wako Hauna thamani kwao. Je serikali za Afrika zimejiandaa kupeleka watu wao kwenye mfumo huu mpya wa lazima?

Akili bandia- mashine kama robot ikiwa na akili kubwa / uwezo mkubwa wa kufikiri na kutenda, Hawa wanadamu watafanya kazi Gani Ili kuendesha maisha yao? Maana msingi wa maisha yetu ni matumizi sahihi ya muda na nguvu Ili kujipatia mahitaji muhimu kwa wakati huo ambao UHAI upo upande wako. (Hili ni tatizo la kwanza)

Akili bandia - Katika ulinzi hapa ndipo unaweza kuona kwamba kwasababu hatuaminiani tutauana kama wadudu, maana kutakuwa na mashine ambayo inajua unachowaza, wapi ulipo, unafanya nini kwa lengo Gani ,pia mashine hizo zitatumwa popote bila MTU halisi kuwepo, are we good enough?? Ku-challange hii kitu, vikosi vyetu vya usalama vina developer's wetu, ambao siku za usoni wao ndiyo watakuwa bunduki wakiwa nyuma ya computer na keyboard zao.(Hili ni tatizo la pili)

Akili bandia-Katika kamari na michezo, kwa miaka ya hivi karibuni kamari na wamiliki wa mifumo ya kamari ndiyo watu wenye fedha nyingi kuliko mkulima. Takwimu zinasema nguvu nyingi ya akili bandia na wamiliki wao wameelekeza pia Katika kamari na michezo. Jamii kubwa imeachia kundi dogo la wazalishaji na kujiingiza Katika dimbwi la kusubili mashine zikosee Ili wao wapate utajiri..kizazi kimelemaa na kwa ulemavu huo ipo siku wahuni wataisimamisha Dunia na kutoa amri wanayotaka (Hili ni tatizo la Tatu)

Akili bandia- Elimu na utafiti, Leo Kuna chart GBT ambayo inafanya Kila kinachoitwa swali kwa ufanisi wa 60-90% hii ni hatari sana, mwalimu ana - anatumia mashine na mwanafunzi anatumia mashine..kamwe mashine haziwezi kuushinda UBONGO wa mwanadamu, Lakini kwakuwa tumeruhusu Elimu ya kizungu, tumeruhusu media ndiyo iamue aina ya Elimu tunayoitaka basi. Tukubaliane kwamba hakuna ugunduzi mpya utakuja kwa kizazi hiki, maana sote tunaamini mashine kuliko akili na Fikra za watu wetu...hatutaki kujiuliza kama robot inaenda kufanya kazi hiyo wewe ilipaswa ufanye..wewe unaenda kufanya nini?(Hili ni tatizo la nne)

Akili bandia- Usalama wa mataifa ya Afrika, Kuna kampuni kama tano hivi hizo ndizo maarufa kwa uzalishaji wa vihifadhi data (chip) makapuni hayo yote yapo Ulaya na Asia. Ili akili bandia ifanye kazi vema inahitaji vifaa hivyo kuwa imara na vyenye ufanisi mkubwa. JIULIZE huyo anayekuuzia saver Ulaya au Asia atakosa kujua taarifa zako? Usalama wako utakuwa wapi? Tupo prepared kushiriki hata kwenye mchakato wenyewe? (Hili ni tatizo la tano)

MWISHO- Binadamu anahitajika kuwa active ,atumike kwa faida ya wengine, ipo Radha ya maisha kama tunaruhusu akili zetu zitatue matatizo yetu kwa umoja na ushirikiano bila kuwa na haraka hivyooo. Maana end product ya mwanadamu in every second ni furaha.

Sipingi Wala sipo kinyume na technology,Lakini technology ambayo inataka kuondoa maana ya maisha na Radha yake, inapaswa kutazamwa upya na kuweka shinikizo Ili UTU wa MTU ubaki Katika HESHIMA yake ya awali.

Nafahamu, JUHUDI za kurahisisha maisha zinahitaji matakwa ya wengi na muunganiko wa mawazo wa jamii iliyokubwa, maana kiasi sote ni wamoja kwa mantiki ya sheria za Asili ambazo zinatuongoza sote kama viumbe hai tunao onekana na wale wasioonekana, hizo sheria ziko fear.

------+-++

IPE AKILI KAZI
shutterstock_529299211.jpg
 
TWIME TUBITE
Napenda kuufahamisha umaa na mhariri mkuu kwamba mjadala huu ulifaa uwe kwenye technology,Lakini mantiki yake inafaa kujadiliwa na kusomwa na watu wenye maulizo yasiyo ya kawaida.

-------------
Akili bandia, Kuna binadamu wenzetu wanawaza na kutenda kwa namna ya kipekee sana, ama kwa kuwa wanapenda vitu rahisi au wanataka kutafuta maana ya maisha ya mwanadamu hapa duniani. Yote mawili yanafikirisha.

Akili bandia Mimi naipa jina kama "silaha ya mwisho ya maangamizi kwa mwanadamu" hatuna muda mrefu sana ulimwengu huu utaingia kwenye shida kubwa ambayo itakuja kuichukua Dunia miaka 100 kuziba demage iliyotokea within 10-20yrs ya matumizi ya hii akili bandia.

Wataalam wa sayansi hii ya TEKINOLOJIA wanasema, mashine zinazozalishwa Sasa zinaenda kuwa na akili kubwa maradufu ya mwanadamu mwenye UHAI, hayo yapo na yanaendelea kuwepo Katika sekta nyingi za kiuchumi.

JIULIZE KAMA MIMI
Wamiliki wa TEKINOLOJIA hizi ni wafanyabiashara wakubwa duniani ambao hawana mfumo rafiki na MTU, serikali, au kikundi Cha watu, wao rafiki Yao ni faida, mahala penye faida UHAI wako Hauna thamani kwao. Je serikali za Afrika zimejiandaa kupeleka watu wao kwenye mfumo huu mpya wa lazima?

Akili bandia- mashine kama robot ikiwa na akili kubwa / uwezo mkubwa wa kufikiri na kutenda, Hawa wanadamu watafanya kazi Gani Ili kuendesha maisha yao? Maana msingi wa maisha yetu ni matumizi sahihi ya muda na nguvu Ili kujipatia mahitaji muhimu kwa wakati huo ambao UHAI upo upande wako. (Hili ni tatizo la kwanza)

Akili bandia - Katika ulinzi hapa ndipo unaweza kuona kwamba kwasababu hatuaminiani tutauana kama wadudu, maana kutakuwa na mashine ambayo inajua unachowaza, wapi ulipo, unafanya nini kwa lengo Gani ,pia mashine hizo zitatumwa popote bila MTU halisi kuwepo, are we good enough?? Ku-challange hii kitu, vikosi vyetu vya usalama vina developer's wetu, ambao siku za usoni wao ndiyo watakuwa bunduki wakiwa nyuma ya computer na keyboard zao.(Hili ni tatizo la pili)

Akili bandia-Katika kamari na michezo, kwa miaka ya hivi karibuni kamari na wamiliki wa mifumo ya kamari ndiyo watu wenye fedha nyingi kuliko mkulima. Takwimu zinasema nguvu nyingi ya akili bandia na wamiliki wao wameelekeza pia Katika kamari na michezo. Jamii kubwa imeachia kundi dogo la wazalishaji na kujiingiza Katika dimbwi la kusubili mashine zikosee Ili wao wapate utajiri..kizazi kimelemaa na kwa ulemavu huo ipo siku wahuni wataisimamisha Dunia na kutoa amri wanayotaka (Hili ni tatizo la Tatu)

Akili bandia- Elimu na utafiti, Leo Kuna chart GBT ambayo inafanya Kila kinachoitwa swali kwa ufanisi wa 60-90% hii ni hatari sana, mwalimu ana - anatumia mashine na mwanafunzi anatumia mashine..kamwe mashine haziwezi kuushinda UBONGO wa mwanadamu, Lakini kwakuwa tumeruhusu Elimu ya kizungu, tumeruhusu media ndiyo iamue aina ya Elimu tunayoitaka basi. Tukubaliane kwamba hakuna ugunduzi mpya utakuja kwa kizazi hiki, maana sote tunaamini mashine kuliko akili na Fikra za watu wetu...hatutaki kujiuliza kama robot inaenda kufanya kazi hiyo wewe ilipaswa ufanye..wewe unaenda kufanya nini?(Hili ni tatizo la nne)

Akili bandia- Usalama wa mataifa ya Afrika, Kuna kampuni kama tano hivi hizo ndizo maarufa kwa uzalishaji wa vihifadhi data (chip) makapuni hayo yote yapo Ulaya na Asia. Ili akili bandia ifanye kazi vema inahitaji vifaa hivyo kuwa imara na vyenye ufanisi mkubwa. JIULIZE huyo anayekuuzia saver Ulaya au Asia atakosa kujua taarifa zako? Usalama wako utakuwa wapi? Tupo prepared kushiriki hata kwenye mchakato wenyewe? (Hili ni tatizo la tano)

MWISHO- Binadamu anahitajika kuwa active ,atumike kwa faida ya wengine, ipo Radha ya maisha kama tunaruhusu akili zetu zitatue matatizo yetu kwa umoja na ushirikiano bila kuwa na haraka hivyooo. Maana end product ya mwanadamu in every second ni furaha.

Sipingi Wala sipo kinyume na technology,Lakini technology ambayo inataka kuondoa maana ya maisha na Radha yake, inapaswa kutazamwa upya na kuweka shinikizo Ili UTU wa MTU ubaki Katika HESHIMA yake ya awali.

Nafahamu, JUHUDI za kurahisisha maisha zinahitaji matakwa ya wengi na muunganiko wa mawazo wa jamii iliyokubwa, maana kiasi sote ni wamoja kwa mantiki ya sheria za Asili ambazo zinatuongoza sote kama viumbe hai tunao onekana na wale wasioonekana, hizo sheria ziko fear.

------+-++

IPE AKILI KAZIView attachment 3023206
Shida ipo kwenye elimu AI is about the future,na elimu yetu is about the past try to configure this utaelewa huu mtego ulishakunasa na tutaishi kulingana na prediction zilizowekwa na futurologist
 
Machines mimicking human behaviour!!!!
Huko mbele ya safari wanao mpango wa kutengeneza Kompyuta inaykua kiakili mithili ya ambavyo binadamu huwa anakua. Hii ndiy challenge yao waliyojiwekea kwenye karne hii ya 21
 
Walitufanya kuacha kufikiri muda tu tukawa kila kitu tunakimbilia Google na tunaamini kila kilichoandikwa utasikia nime Google sasa wameona hii haitoshi wanaleta maangamizi mengine tuache kabisa kutumia akili wala kufikiri tutegemee AI wao nadhani karibu sana hata wachumba wa kuowa tutauliza AI.
 
Walitufanya kuacha kufikiri muda tu tukawa kila kitu tunakimbilia Google na tunaamini kila kilichoandikwa utasikia nime Google sasa wameona hii haitoshi wanaleta maangamizi mengine tuache kabisa kutumia akili wala kufikiri tutegemee AI wao nadhani karibu sana hata wachumba wa kuowa tutauliza AI.
Akili ndo imetengeneza Ai, ndo imetengeneza google, ndo imetengeneza simu. Kabla hazijaja hizi zote akili unazozizungumzia zilifanya nini?
 
Em nimuulize chatgpt kama Kuna ukweli wowote juu ya hili swala!.
Haiwezi kukujibu ndiyo maana zimekuwa programmed kusema hapana na pia zimekuwa programmed kutoclaim kuwa ni better kuliko human, au zinaweza kumreplace mwanadamu. Ni kati ya mambo ya mwanzo kabisa tulikuwa tunafanya kuicheat mfano Bardi kuona kama itaclaim kuwa better kama human kama ingefanya hivyo ilikuwa tunareport kwa Google waweze kurekebisha hiyo error.
 
huu mtaala uwekwe kwenye elimu yetu kuanzia sekondary
 
Ndio mana kina elun mask wanajiandalia pakukimbilia huku wakikukumbusha utafute hela ili usije ukakosa nauli siku hiyo
 
elon Kila siku anatoa angalizo serikari zetu zijiandae na ujio wa artifical intellingece hasa hizo super artificial intelligence ambazo bado hazijaaza kutumika maana hizo chaptgpt ni machine learning sio artificial intelligence is future not now
 
Weww huna tofauti na wale wazee wa Chattizim na Luddite kipind cha rise of mashine and industrialization na wao waliamini kama unavyoamini wewe leo tena wao wakaenda mbali zaidi kwa kuharibu hizo machines

Lakini ni miaka zaidi ya mia tano sasa kama sijakosea walichokihofia wala hata hakijatokea

We suffer a lot from imagination than from reality.
 
TWIME TUBITE
Napenda kuufahamisha umaa na mhariri mkuu kwamba mjadala huu ulifaa uwe kwenye technology,Lakini mantiki yake inafaa kujadiliwa na kusomwa na watu wenye maulizo yasiyo ya kawaida.

-------------
Akili bandia, Kuna binadamu wenzetu wanawaza na kutenda kwa namna ya kipekee sana, ama kwa kuwa wanapenda vitu rahisi au wanataka kutafuta maana ya maisha ya mwanadamu hapa duniani. Yote mawili yanafikirisha.

Akili bandia Mimi naipa jina kama "silaha ya mwisho ya maangamizi kwa mwanadamu" hatuna muda mrefu sana ulimwengu huu utaingia kwenye shida kubwa ambayo itakuja kuichukua Dunia miaka 100 kuziba demage iliyotokea within 10-20yrs ya matumizi ya hii akili bandia.

Wataalam wa sayansi hii ya TEKINOLOJIA wanasema, mashine zinazozalishwa Sasa zinaenda kuwa na akili kubwa maradufu ya mwanadamu mwenye UHAI, hayo yapo na yanaendelea kuwepo Katika sekta nyingi za kiuchumi.

JIULIZE KAMA MIMI
Wamiliki wa TEKINOLOJIA hizi ni wafanyabiashara wakubwa duniani ambao hawana mfumo rafiki na MTU, serikali, au kikundi Cha watu, wao rafiki Yao ni faida, mahala penye faida UHAI wako Hauna thamani kwao. Je serikali za Afrika zimejiandaa kupeleka watu wao kwenye mfumo huu mpya wa lazima?

Akili bandia- mashine kama robot ikiwa na akili kubwa / uwezo mkubwa wa kufikiri na kutenda, Hawa wanadamu watafanya kazi Gani Ili kuendesha maisha yao? Maana msingi wa maisha yetu ni matumizi sahihi ya muda na nguvu Ili kujipatia mahitaji muhimu kwa wakati huo ambao UHAI upo upande wako. (Hili ni tatizo la kwanza)

Akili bandia - Katika ulinzi hapa ndipo unaweza kuona kwamba kwasababu hatuaminiani tutauana kama wadudu, maana kutakuwa na mashine ambayo inajua unachowaza, wapi ulipo, unafanya nini kwa lengo Gani ,pia mashine hizo zitatumwa popote bila MTU halisi kuwepo, are we good enough?? Ku-challange hii kitu, vikosi vyetu vya usalama vina developer's wetu, ambao siku za usoni wao ndiyo watakuwa bunduki wakiwa nyuma ya computer na keyboard zao.(Hili ni tatizo la pili)

Akili bandia-Katika kamari na michezo, kwa miaka ya hivi karibuni kamari na wamiliki wa mifumo ya kamari ndiyo watu wenye fedha nyingi kuliko mkulima. Takwimu zinasema nguvu nyingi ya akili bandia na wamiliki wao wameelekeza pia Katika kamari na michezo. Jamii kubwa imeachia kundi dogo la wazalishaji na kujiingiza Katika dimbwi la kusubili mashine zikosee Ili wao wapate utajiri..kizazi kimelemaa na kwa ulemavu huo ipo siku wahuni wataisimamisha Dunia na kutoa amri wanayotaka (Hili ni tatizo la Tatu)

Akili bandia- Elimu na utafiti, Leo Kuna chart GBT ambayo inafanya Kila kinachoitwa swali kwa ufanisi wa 60-90% hii ni hatari sana, mwalimu ana - anatumia mashine na mwanafunzi anatumia mashine..kamwe mashine haziwezi kuushinda UBONGO wa mwanadamu, Lakini kwakuwa tumeruhusu Elimu ya kizungu, tumeruhusu media ndiyo iamue aina ya Elimu tunayoitaka basi. Tukubaliane kwamba hakuna ugunduzi mpya utakuja kwa kizazi hiki, maana sote tunaamini mashine kuliko akili na Fikra za watu wetu...hatutaki kujiuliza kama robot inaenda kufanya kazi hiyo wewe ilipaswa ufanye..wewe unaenda kufanya nini?(Hili ni tatizo la nne)

Akili bandia- Usalama wa mataifa ya Afrika, Kuna kampuni kama tano hivi hizo ndizo maarufa kwa uzalishaji wa vihifadhi data (chip) makapuni hayo yote yapo Ulaya na Asia. Ili akili bandia ifanye kazi vema inahitaji vifaa hivyo kuwa imara na vyenye ufanisi mkubwa. JIULIZE huyo anayekuuzia saver Ulaya au Asia atakosa kujua taarifa zako? Usalama wako utakuwa wapi? Tupo prepared kushiriki hata kwenye mchakato wenyewe? (Hili ni tatizo la tano)

MWISHO- Binadamu anahitajika kuwa active ,atumike kwa faida ya wengine, ipo Radha ya maisha kama tunaruhusu akili zetu zitatue matatizo yetu kwa umoja na ushirikiano bila kuwa na haraka hivyooo. Maana end product ya mwanadamu in every second ni furaha.

Sipingi Wala sipo kinyume na technology,Lakini technology ambayo inataka kuondoa maana ya maisha na Radha yake, inapaswa kutazamwa upya na kuweka shinikizo Ili UTU wa MTU ubaki Katika HESHIMA yake ya awali.

Nafahamu, JUHUDI za kurahisisha maisha zinahitaji matakwa ya wengi na muunganiko wa mawazo wa jamii iliyokubwa, maana kiasi sote ni wamoja kwa mantiki ya sheria za Asili ambazo zinatuongoza sote kama viumbe hai tunao onekana na wale wasioonekana, hizo sheria ziko fear.

------+-++

IPE AKILI KAZIView attachment 3023206
Tuseme kwa mfano; AI Gadget inayoweza kufanya kazi kwa replace ajira ya watu 100; uwekwe utaratibu kwa AI Gadget hiyo kuwalipa mshahara watu 100 wasiokuwa na kazi

Toafuiti na hvyo dunia inaenda kuwa distinct kama iliyowahi kutokea kule Rappanui au Easter Island

 
Back
Top Bottom