AI (Artificial Intelligence) inaupeleka ulimwengu kwenye uharibifu mkuu, kwanini nawaza hivi?

AI (Artificial Intelligence) inaupeleka ulimwengu kwenye uharibifu mkuu, kwanini nawaza hivi?

Zilipo anza kuvumbuliwa mashine viwanda watu walikua na hii doubt lakini wakavuka

Zikaja kompyuta watu wakawa na hii shaka lakini tukavuka

Hata hili la AI tutaishi nalo na tutavuka

Hakuna kitu kinaweza kuzidi na ku replace intelligence ya binadamu
 
AI kuizidi akili ya binadamu ni aina fulani ya uongo ambao kiuhalisia hautatimia kamwe, to usidanganywe Wala kidanganya.
 
Tuseme kwa mfano; AI Gadget inayoweza kufanya kazi kwa replace ajira ya watu 100; uwekwe utaratibu kwa AI Gadget hiyo kuwalipa mshahara watu 100 wasiokuwa na kazi

Toafuiti na hvyo dunia inaenda kuwa distinct kama iliyowahi kutokea kule Rappanui au Easter Island

Tumekubali kuwa wavivu sana ,acha tu tukutane na yaliyopo..time will tell
 
Walitufanya kuacha kufikiri muda tu tukawa kila kitu tunakimbilia Google na tunaamini kila kilichoandikwa utasikia nime Google sasa wameona hii haitoshi wanaleta maangamizi mengine tuache kabisa kutumia akili wala kufikiri tutegemee AI wao nadhani karibu sana hata wachumba wa kuowa tutauliza AI.
Haya maneno Yako yanafaa kuwekwa kwenye mpangilio mzuri tu Ili jamiii kubwa ielewe..well Said
 
Kufanya Assassination itakua rahisi sana, dakika chache tu huna uhai tena, tena unauliwa na robot tena lako mwenyewe,

Ni kitendo cha haraka kama kutuma ujumbe wa sms.
 
TWIME TUBITE
Napenda kuufahamisha umaa na mhariri mkuu kwamba mjadala huu ulifaa uwe kwenye technology,Lakini mantiki yake inafaa kujadiliwa na kusomwa na watu wenye maulizo yasiyo ya kawaida.

-------------
Akili bandia, Kuna binadamu wenzetu wanawaza na kutenda kwa namna ya kipekee sana, ama kwa kuwa wanapenda vitu rahisi au wanataka kutafuta maana ya maisha ya mwanadamu hapa duniani. Yote mawili yanafikirisha.

Akili bandia Mimi naipa jina kama "silaha ya mwisho ya maangamizi kwa mwanadamu" hatuna muda mrefu sana ulimwengu huu utaingia kwenye shida kubwa ambayo itakuja kuichukua Dunia miaka 100 kuziba demage iliyotokea within 10-20yrs ya matumizi ya hii akili bandia.

Wataalam wa sayansi hii ya TEKINOLOJIA wanasema, mashine zinazozalishwa Sasa zinaenda kuwa na akili kubwa maradufu ya mwanadamu mwenye UHAI, hayo yapo na yanaendelea kuwepo Katika sekta nyingi za kiuchumi.

JIULIZE KAMA MIMI
Wamiliki wa TEKINOLOJIA hizi ni wafanyabiashara wakubwa duniani ambao hawana mfumo rafiki na MTU, serikali, au kikundi Cha watu, wao rafiki Yao ni faida, mahala penye faida UHAI wako Hauna thamani kwao. Je serikali za Afrika zimejiandaa kupeleka watu wao kwenye mfumo huu mpya wa lazima?

Akili bandia- mashine kama robot ikiwa na akili kubwa / uwezo mkubwa wa kufikiri na kutenda, Hawa wanadamu watafanya kazi Gani Ili kuendesha maisha yao? Maana msingi wa maisha yetu ni matumizi sahihi ya muda na nguvu Ili kujipatia mahitaji muhimu kwa wakati huo ambao UHAI upo upande wako. (Hili ni tatizo la kwanza)

Akili bandia - Katika ulinzi hapa ndipo unaweza kuona kwamba kwasababu hatuaminiani tutauana kama wadudu, maana kutakuwa na mashine ambayo inajua unachowaza, wapi ulipo, unafanya nini kwa lengo Gani ,pia mashine hizo zitatumwa popote bila MTU halisi kuwepo, are we good enough?? Ku-challange hii kitu, vikosi vyetu vya usalama vina developer's wetu, ambao siku za usoni wao ndiyo watakuwa bunduki wakiwa nyuma ya computer na keyboard zao.(Hili ni tatizo la pili)

Akili bandia-Katika kamari na michezo, kwa miaka ya hivi karibuni kamari na wamiliki wa mifumo ya kamari ndiyo watu wenye fedha nyingi kuliko mkulima. Takwimu zinasema nguvu nyingi ya akili bandia na wamiliki wao wameelekeza pia Katika kamari na michezo. Jamii kubwa imeachia kundi dogo la wazalishaji na kujiingiza Katika dimbwi la kusubili mashine zikosee Ili wao wapate utajiri..kizazi kimelemaa na kwa ulemavu huo ipo siku wahuni wataisimamisha Dunia na kutoa amri wanayotaka (Hili ni tatizo la Tatu)

Akili bandia- Elimu na utafiti, Leo Kuna chart GBT ambayo inafanya Kila kinachoitwa swali kwa ufanisi wa 60-90% hii ni hatari sana, mwalimu ana - anatumia mashine na mwanafunzi anatumia mashine..kamwe mashine haziwezi kuushinda UBONGO wa mwanadamu, Lakini kwakuwa tumeruhusu Elimu ya kizungu, tumeruhusu media ndiyo iamue aina ya Elimu tunayoitaka basi. Tukubaliane kwamba hakuna ugunduzi mpya utakuja kwa kizazi hiki, maana sote tunaamini mashine kuliko akili na Fikra za watu wetu...hatutaki kujiuliza kama robot inaenda kufanya kazi hiyo wewe ilipaswa ufanye..wewe unaenda kufanya nini?(Hili ni tatizo la nne)

Akili bandia- Usalama wa mataifa ya Afrika, Kuna kampuni kama tano hivi hizo ndizo maarufa kwa uzalishaji wa vihifadhi data (chip) makapuni hayo yote yapo Ulaya na Asia. Ili akili bandia ifanye kazi vema inahitaji vifaa hivyo kuwa imara na vyenye ufanisi mkubwa. JIULIZE huyo anayekuuzia saver Ulaya au Asia atakosa kujua taarifa zako? Usalama wako utakuwa wapi? Tupo prepared kushiriki hata kwenye mchakato wenyewe? (Hili ni tatizo la tano)

MWISHO- Binadamu anahitajika kuwa active ,atumike kwa faida ya wengine, ipo Radha ya maisha kama tunaruhusu akili zetu zitatue matatizo yetu kwa umoja na ushirikiano bila kuwa na haraka hivyooo. Maana end product ya mwanadamu in every second ni furaha.

Sipingi Wala sipo kinyume na technology,Lakini technology ambayo inataka kuondoa maana ya maisha na Radha yake, inapaswa kutazamwa upya na kuweka shinikizo Ili UTU wa MTU ubaki Katika HESHIMA yake ya awali.

Nafahamu, JUHUDI za kurahisisha maisha zinahitaji matakwa ya wengi na muunganiko wa mawazo wa jamii iliyokubwa, maana kiasi sote ni wamoja kwa mantiki ya sheria za Asili ambazo zinatuongoza sote kama viumbe hai tunao onekana na wale wasioonekana, hizo sheria ziko fear.

------+-++

IPE AKILI KAZIView attachment 3023206
Wakristo mlivyo na shida mnataka mpaka Ai iwatendee wema ndio muone ya kuwa inatenda haki,

Ai ni mwanzo sahihi wa kuitoa akili kwenye huu mwili uliojaa vikwazo vingi na kuiweka huru, halafu pia unaogopa vipi kitu ambacho hakina conscious? Hakioni, hakisikii, hakinusi, hakihisi,

Kwangu mimi tafsiri halisi ya Ai ni akili ya mwanadamu iliyohamishiwa kwenye mashine, kwahiyo kuiogopa Ai ni sawa na kuiangalia akili yako inavyofanya kazi nje ya mwili na kuamua kuiogopa...

Akili bandia ni mwanzo tuu katika hii safari ya kumuondoa organic being na kuleta super being ambaye hahitaji kutimiza mahitaji ya mwili kama tafsiri ya maisha.
 
TWIME TUBITE
Napenda kuufahamisha umaa na mhariri mkuu kwamba mjadala huu ulifaa uwe kwenye technology,Lakini mantiki yake inafaa kujadiliwa na kusomwa na watu wenye maulizo yasiyo ya kawaida.

-------------
Akili bandia, Kuna binadamu wenzetu wanawaza na kutenda kwa namna ya kipekee sana, ama kwa kuwa wanapenda vitu rahisi au wanataka kutafuta maana ya maisha ya mwanadamu hapa duniani. Yote mawili yanafikirisha.

Akili bandia Mimi naipa jina kama "silaha ya mwisho ya maangamizi kwa mwanadamu" hatuna muda mrefu sana ulimwengu huu utaingia kwenye shida kubwa ambayo itakuja kuichukua Dunia miaka 100 kuziba demage iliyotokea within 10-20yrs ya matumizi ya hii akili bandia.

Wataalam wa sayansi hii ya TEKINOLOJIA wanasema, mashine zinazozalishwa Sasa zinaenda kuwa na akili kubwa maradufu ya mwanadamu mwenye UHAI, hayo yapo na yanaendelea kuwepo Katika sekta nyingi za kiuchumi.

JIULIZE KAMA MIMI
Wamiliki wa TEKINOLOJIA hizi ni wafanyabiashara wakubwa duniani ambao hawana mfumo rafiki na MTU, serikali, au kikundi Cha watu, wao rafiki Yao ni faida, mahala penye faida UHAI wako Hauna thamani kwao. Je serikali za Afrika zimejiandaa kupeleka watu wao kwenye mfumo huu mpya wa lazima?

Akili bandia- mashine kama robot ikiwa na akili kubwa / uwezo mkubwa wa kufikiri na kutenda, Hawa wanadamu watafanya kazi Gani Ili kuendesha maisha yao? Maana msingi wa maisha yetu ni matumizi sahihi ya muda na nguvu Ili kujipatia mahitaji muhimu kwa wakati huo ambao UHAI upo upande wako. (Hili ni tatizo la kwanza)

Akili bandia - Katika ulinzi hapa ndipo unaweza kuona kwamba kwasababu hatuaminiani tutauana kama wadudu, maana kutakuwa na mashine ambayo inajua unachowaza, wapi ulipo, unafanya nini kwa lengo Gani ,pia mashine hizo zitatumwa popote bila MTU halisi kuwepo, are we good enough?? Ku-challange hii kitu, vikosi vyetu vya usalama vina developer's wetu, ambao siku za usoni wao ndiyo watakuwa bunduki wakiwa nyuma ya computer na keyboard zao.(Hili ni tatizo la pili)

Akili bandia-Katika kamari na michezo, kwa miaka ya hivi karibuni kamari na wamiliki wa mifumo ya kamari ndiyo watu wenye fedha nyingi kuliko mkulima. Takwimu zinasema nguvu nyingi ya akili bandia na wamiliki wao wameelekeza pia Katika kamari na michezo. Jamii kubwa imeachia kundi dogo la wazalishaji na kujiingiza Katika dimbwi la kusubili mashine zikosee Ili wao wapate utajiri..kizazi kimelemaa na kwa ulemavu huo ipo siku wahuni wataisimamisha Dunia na kutoa amri wanayotaka (Hili ni tatizo la Tatu)

Akili bandia- Elimu na utafiti, Leo Kuna chart GBT ambayo inafanya Kila kinachoitwa swali kwa ufanisi wa 60-90% hii ni hatari sana, mwalimu ana - anatumia mashine na mwanafunzi anatumia mashine..kamwe mashine haziwezi kuushinda UBONGO wa mwanadamu, Lakini kwakuwa tumeruhusu Elimu ya kizungu, tumeruhusu media ndiyo iamue aina ya Elimu tunayoitaka basi. Tukubaliane kwamba hakuna ugunduzi mpya utakuja kwa kizazi hiki, maana sote tunaamini mashine kuliko akili na Fikra za watu wetu...hatutaki kujiuliza kama robot inaenda kufanya kazi hiyo wewe ilipaswa ufanye..wewe unaenda kufanya nini?(Hili ni tatizo la nne)

Akili bandia- Usalama wa mataifa ya Afrika, Kuna kampuni kama tano hivi hizo ndizo maarufa kwa uzalishaji wa vihifadhi data (chip) makapuni hayo yote yapo Ulaya na Asia. Ili akili bandia ifanye kazi vema inahitaji vifaa hivyo kuwa imara na vyenye ufanisi mkubwa. JIULIZE huyo anayekuuzia saver Ulaya au Asia atakosa kujua taarifa zako? Usalama wako utakuwa wapi? Tupo prepared kushiriki hata kwenye mchakato wenyewe? (Hili ni tatizo la tano)

MWISHO- Binadamu anahitajika kuwa active ,atumike kwa faida ya wengine, ipo Radha ya maisha kama tunaruhusu akili zetu zitatue matatizo yetu kwa umoja na ushirikiano bila kuwa na haraka hivyooo. Maana end product ya mwanadamu in every second ni furaha.

Sipingi Wala sipo kinyume na technology,Lakini technology ambayo inataka kuondoa maana ya maisha na Radha yake, inapaswa kutazamwa upya na kuweka shinikizo Ili UTU wa MTU ubaki Katika HESHIMA yake ya awali.

Nafahamu, JUHUDI za kurahisisha maisha zinahitaji matakwa ya wengi na muunganiko wa mawazo wa jamii iliyokubwa, maana kiasi sote ni wamoja kwa mantiki ya sheria za Asili ambazo zinatuongoza sote kama viumbe hai tunao onekana na wale wasioonekana, hizo sheria ziko fear.

------+-++

IPE AKILI KAZIView attachment 3023206





View: https://youtu.be/sAbrXFK-l6U?t=197
 
Tumekubali kuwa wavivu sana ,acha tu tukutane na yaliyopo..time will tell
Huwezi ukalima kwa kutumia mikono au kijiti; ni lazima utumie jembe au nyezo nyingie ya juu kuliko jembe. Na ukilima kwa kutumia jembe au mikono badala ya kijiti unakuwa umetumia Teknoloji.

Hapa swali langu linakuja kwako,j Je kutumia teknoloji ni uzembe?
 
Huwezi ukalima kwa kutumia mikono au kijiti; ni lazima utumie jembe au nyezo nyingie ya juu kuliko jembe. Na ukilima kwa kutumia jembe au mikono badala ya kijiti unakuwa umetumia Teknoloji.

Hapa swali langu linakuja kwako,j Je kutumia teknoloji ni uzembe?
Ndugu yangu umeweke maneno siyo NENO...Katika mantiki ya kawaida kabisa TEKINOLOJIA kama ilivyo Haina shida,Bali maarifa na taarifa ulizonazo juu ya hiyo TEKINOLOJIA ndiyo mjadala ...."what you don't understand will not be controlled"

Watu wengi tunavijua vitu vingi Lakini hatuvielewi,
 
Akili bandia Mimi naipa jina kama "silaha ya mwisho ya maangamizi kwa mwanadamu"
Hii imekuwa kawaida kila mabadiliko mapya ya teknolojia yanapofika, hofu inakuwa kuu kuliko faida ya hiyo teknolojia.

Hizi hofu zetu zitupe nafasi ya kujifunza jinsi teknolojia zinavyofanya kazi.
Sasa hivi kuna modules mbalimbali za AI ziko public kama chatgp, na zinafanya task mbalimbali.
 
Tuseme kwa mfano; AI Gadget inayoweza kufanya kazi kwa replace ajira ya watu 100; uwekwe utaratibu kwa AI Gadget hiyo kuwalipa mshahara watu 100 wasiokuwa na kazi
Why hiyo Gadget itumike kama inaleta hasara. Unalipwa kufanya kazi tu. Teknolojia mpya ikija jitahidi ujifunze kujua inafanyaje kazi na kuitumia vizuri, hapo haitakuReplace.
 
Una hofu tu Mkuu, robot inakuwa programmed tu kufanya task fulani na kuweza kuRepond na mazingira ya hiyo kazi.

Roboti halina hisia kama mwanadamu liweze kukudhuru, unless limekuwa programmed kufanya hivyo.
 
TWIME TUBITE
Napenda kuufahamisha umaa na mhariri mkuu kwamba mjadala huu ulifaa uwe kwenye technology,Lakini mantiki yake inafaa kujadiliwa na kusomwa na watu wenye maulizo yasiyo ya kawaida.

-------------
Akili bandia, Kuna binadamu wenzetu wanawaza na kutenda kwa namna ya kipekee sana, ama kwa kuwa wanapenda vitu rahisi au wanataka kutafuta maana ya maisha ya mwanadamu hapa duniani. Yote mawili yanafikirisha.

Akili bandia Mimi naipa jina kama "silaha ya mwisho ya maangamizi kwa mwanadamu" hatuna muda mrefu sana ulimwengu huu utaingia kwenye shida kubwa ambayo itakuja kuichukua Dunia miaka 100 kuziba demage iliyotokea within 10-20yrs ya matumizi ya hii akili bandia.

Wataalam wa sayansi hii ya TEKINOLOJIA wanasema, mashine zinazozalishwa Sasa zinaenda kuwa na akili kubwa maradufu ya mwanadamu mwenye UHAI, hayo yapo na yanaendelea kuwepo Katika sekta nyingi za kiuchumi.

JIULIZE KAMA MIMI
Wamiliki wa TEKINOLOJIA hizi ni wafanyabiashara wakubwa duniani ambao hawana mfumo rafiki na MTU, serikali, au kikundi Cha watu, wao rafiki Yao ni faida, mahala penye faida UHAI wako Hauna thamani kwao. Je serikali za Afrika zimejiandaa kupeleka watu wao kwenye mfumo huu mpya wa lazima?

Akili bandia- mashine kama robot ikiwa na akili kubwa / uwezo mkubwa wa kufikiri na kutenda, Hawa wanadamu watafanya kazi Gani Ili kuendesha maisha yao? Maana msingi wa maisha yetu ni matumizi sahihi ya muda na nguvu Ili kujipatia mahitaji muhimu kwa wakati huo ambao UHAI upo upande wako. (Hili ni tatizo la kwanza)

Akili bandia - Katika ulinzi hapa ndipo unaweza kuona kwamba kwasababu hatuaminiani tutauana kama wadudu, maana kutakuwa na mashine ambayo inajua unachowaza, wapi ulipo, unafanya nini kwa lengo Gani ,pia mashine hizo zitatumwa popote bila MTU halisi kuwepo, are we good enough?? Ku-challange hii kitu, vikosi vyetu vya usalama vina developer's wetu, ambao siku za usoni wao ndiyo watakuwa bunduki wakiwa nyuma ya computer na keyboard zao.(Hili ni tatizo la pili)

Akili bandia-Katika kamari na michezo, kwa miaka ya hivi karibuni kamari na wamiliki wa mifumo ya kamari ndiyo watu wenye fedha nyingi kuliko mkulima. Takwimu zinasema nguvu nyingi ya akili bandia na wamiliki wao wameelekeza pia Katika kamari na michezo. Jamii kubwa imeachia kundi dogo la wazalishaji na kujiingiza Katika dimbwi la kusubili mashine zikosee Ili wao wapate utajiri..kizazi kimelemaa na kwa ulemavu huo ipo siku wahuni wataisimamisha Dunia na kutoa amri wanayotaka (Hili ni tatizo la Tatu)

Akili bandia- Elimu na utafiti, Leo Kuna chart GBT ambayo inafanya Kila kinachoitwa swali kwa ufanisi wa 60-90% hii ni hatari sana, mwalimu ana - anatumia mashine na mwanafunzi anatumia mashine..kamwe mashine haziwezi kuushinda UBONGO wa mwanadamu, Lakini kwakuwa tumeruhusu Elimu ya kizungu, tumeruhusu media ndiyo iamue aina ya Elimu tunayoitaka basi. Tukubaliane kwamba hakuna ugunduzi mpya utakuja kwa kizazi hiki, maana sote tunaamini mashine kuliko akili na Fikra za watu wetu...hatutaki kujiuliza kama robot inaenda kufanya kazi hiyo wewe ilipaswa ufanye..wewe unaenda kufanya nini?(Hili ni tatizo la nne)

Akili bandia- Usalama wa mataifa ya Afrika, Kuna kampuni kama tano hivi hizo ndizo maarufa kwa uzalishaji wa vihifadhi data (chip) makapuni hayo yote yapo Ulaya na Asia. Ili akili bandia ifanye kazi vema inahitaji vifaa hivyo kuwa imara na vyenye ufanisi mkubwa. JIULIZE huyo anayekuuzia saver Ulaya au Asia atakosa kujua taarifa zako? Usalama wako utakuwa wapi? Tupo prepared kushiriki hata kwenye mchakato wenyewe? (Hili ni tatizo la tano)

MWISHO- Binadamu anahitajika kuwa active ,atumike kwa faida ya wengine, ipo Radha ya maisha kama tunaruhusu akili zetu zitatue matatizo yetu kwa umoja na ushirikiano bila kuwa na haraka hivyooo. Maana end product ya mwanadamu in every second ni furaha.

Sipingi Wala sipo kinyume na technology,Lakini technology ambayo inataka kuondoa maana ya maisha na Radha yake, inapaswa kutazamwa upya na kuweka shinikizo Ili UTU wa MTU ubaki Katika HESHIMA yake ya awali.

Nafahamu, JUHUDI za kurahisisha maisha zinahitaji matakwa ya wengi na muunganiko wa mawazo wa jamii iliyokubwa, maana kiasi sote ni wamoja kwa mantiki ya sheria za Asili ambazo zinatuongoza sote kama viumbe hai tunao onekana na wale wasioonekana, hizo sheria ziko fear.

------+-++

IPE AKILI KAZIView attachment 3023206
Ujumbe huu umechambua vizuri sana changamoto na wasiwasi kuhusu maendeleo ya akili bandia (AI). Ni kweli, teknolojia hii inakuja kwa kasi na inaweza kubadili jinsi tunavyoishi, kufanya kazi, na hata kufikiri. Hata hivyo, kuna maswali makubwa ya kimaadili na kiusalama ambayo lazima yajadiliwe kwa umakini, hususan kwa nchi zinazoendelea kama Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Tatizo la Ajira na Maisha ya Kawaida: Kama ulivyosema, akili bandia inaweza kuchukua nafasi za kazi nyingi, na kusababisha swali kubwa: binadamu watafanya kazi gani? Mashine zitakapoweza kufanya kazi nyingi za binadamu kwa ufanisi mkubwa, hatari ya ukosefu wa ajira itaongezeka. Lazima tuwe na mipango ya kujenga uwezo wa watu ili waweze kushirikiana na teknolojia badala ya kupoteza nafasi zao kwa mashine.

Usalama na Siasa: Katika upande wa ulinzi, AI inayo uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi na kutoa matokeo yenye athari kubwa bila binadamu kuwepo moja kwa moja. Hii ni hatari, kwani mashine zinaweza kutumiwa vibaya na wamiliki wenye nia mbaya. Kwa mfano, kama ulivyosema, je, vikosi vya ulinzi vya Afrika vipo tayari kushughulikia tishio hili la kiusalama?

Elimu na Fikra Huru: Kwa upande wa elimu, ni kweli kwamba mashine zinaweza kusaidia lakini hazipaswi kuchukua nafasi ya uwezo wa kibinadamu wa kufikiri kwa kina na kubuni. Tunahitaji kuhimiza kizazi kipya kutumia teknolojia kama zana za kuboresha maisha, lakini si kama suluhisho la kila jambo.

Usalama wa Taarifa: Kuhusu vihifadhi data, jambo hili linaogopesha. Nchi nyingi za Afrika bado zinategemea teknolojia kutoka nje bila kuwa na uwezo wa kudhibiti habari na data zao. Hii inatuweka katika hatari kubwa ya kushambuliwa au kudhibitiwa kwa urahisi.

Mwisho wa yote, lazima tutumie akili bandia kwa hekima. Tuiangalie si kama tishio bali kama chombo cha kuboresha maisha yetu bila kuacha misingi ya utu wetu na thamani ya maisha. Maendeleo ya kiteknolojia ni muhimu, lakini yanapaswa kuwa na mipaka ili yasituondolee utambulisho wetu kama binadamu.

Ujumbe huu umejaa hekima kubwa, na ni wito kwa jamii yetu kufikiri kwa kina kabla ya kukumbatia teknolojia mpya bila mipango ya kujilinda na kuboresha ustawi wa watu wetu.
 
Mtu mwenye akili hajawahi kutesa au kunyanyasa wenzake hata siku moja. Isipokuwa labda hao watu wanaomiliki hizo AI waamue kufanya uharibifu. Lakini kama mashine ina akili haiwezi kufanya uharibifu hata kama imepewa amri na mmiliki wake.

Lakini pia katika Sehemu ambayo kuna akili bandia, huwa kuna watu wanaofanya kazi pale na kila mmoja ana ndugu zake wanaoishi uraiani. Kwahiyo haitakuwa rahisi mmiliki wa hizo Akili bandia kufanya umafia peke yake bila kuhitaji msaada kutoka kwa watu wengine. Na hao watu hawawezi kukubali wote kufanya hicho kitu
 
Why hiyo Gadget itumike kama inaleta hasara. Unalipwa kufanya kazi tu. Teknolojia mpya ikija jitahidi ujifunze kujua inafanyaje kazi na kuitumia vizuri, hapo haitakuReplace.
We would better completely abondon the use of technology, kama argument kuhusu teknoloji na za watu wanaoijua teknnoloji ndiyo hizi
 
Ujumbe huu umechambua vizuri sana changamoto na wasiwasi kuhusu maendeleo ya akili bandia (AI). Ni kweli, teknolojia hii inakuja kwa kasi na inaweza kubadili jinsi tunavyoishi, kufanya kazi, na hata kufikiri. Hata hivyo, kuna maswali makubwa ya kimaadili na kiusalama ambayo lazima yajadiliwe kwa umakini, hususan kwa nchi zinazoendelea kama Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Tatizo la Ajira na Maisha ya Kawaida: Kama ulivyosema, akili bandia inaweza kuchukua nafasi za kazi nyingi, na kusababisha swali kubwa: binadamu watafanya kazi gani? Mashine zitakapoweza kufanya kazi nyingi za binadamu kwa ufanisi mkubwa, hatari ya ukosefu wa ajira itaongezeka. Lazima tuwe na mipango ya kujenga uwezo wa watu ili waweze kushirikiana na teknolojia badala ya kupoteza nafasi zao kwa mashine.

Usalama na Siasa: Katika upande wa ulinzi, AI inayo uwezo mkubwa wa kufanya uamuzi na kutoa matokeo yenye athari kubwa bila binadamu kuwepo moja kwa moja. Hii ni hatari, kwani mashine zinaweza kutumiwa vibaya na wamiliki wenye nia mbaya. Kwa mfano, kama ulivyosema, je, vikosi vya ulinzi vya Afrika vipo tayari kushughulikia tishio hili la kiusalama?

Elimu na Fikra Huru: Kwa upande wa elimu, ni kweli kwamba mashine zinaweza kusaidia lakini hazipaswi kuchukua nafasi ya uwezo wa kibinadamu wa kufikiri kwa kina na kubuni. Tunahitaji kuhimiza kizazi kipya kutumia teknolojia kama zana za kuboresha maisha, lakini si kama suluhisho la kila jambo.

Usalama wa Taarifa: Kuhusu vihifadhi data, jambo hili linaogopesha. Nchi nyingi za Afrika bado zinategemea teknolojia kutoka nje bila kuwa na uwezo wa kudhibiti habari na data zao. Hii inatuweka katika hatari kubwa ya kushambuliwa au kudhibitiwa kwa urahisi.

Mwisho wa yote, lazima tutumie akili bandia kwa hekima. Tuiangalie si kama tishio bali kama chombo cha kuboresha maisha yetu bila kuacha misingi ya utu wetu na thamani ya maisha. Maendeleo ya kiteknolojia ni muhimu, lakini yanapaswa kuwa na mipaka ili yasituondolee utambulisho wetu kama binadamu.

Ujumbe huu umejaa hekima kubwa, na ni wito kwa jamii yetu kufikiri kwa kina kabla ya kukumbatia teknolojia mpya bila mipango ya kujilinda na kuboresha ustawi wa watu wetu.
Dunia inahitaji aina ya binadamu kama wewe, Uinuliwe Katika mawimbi ya juu Ili uishi kama taa kwa wengine
 
Hii imekuwa kawaida kila mabadiliko mapya ya teknolojia yanapofika, hofu inakuwa kuu kuliko faida ya hiyo teknolojia.

Hizi hofu zetu zitupe nafasi ya kujifunza jinsi teknolojia zinavyofanya kazi.
Sasa hivi kuna modules mbalimbali za AI ziko public kama chatgp, na zinafanya task mbalimbali.
Ungefaa kuwa kampeni ya kitaifa maana Katika viwango sahihi vya maisha, "your business is my business " wanaopaswa kufanya maamuzi are silent....sisi tuendelee kusema
 
Mtu mwenye akili hajawahi kutesa au kunyanyasa wenzake hata siku moja. Isipokuwa labda hao watu wanaomiliki hizo AI waamue kufanya uharibifu. Lakini kama mashine ina akili haiwezi kufanya uharibifu hata kama imepewa amri na mmiliki wake.

Lakini pia katika Sehemu ambayo kuna akili bandia, huwa kuna watu wanaofanya kazi pale na kila mmoja ana ndugu zake wanaoishi uraiani. Kwahiyo haitakuwa rahisi mmiliki wa hizo Akili bandia kufanya umafia peke yake bila kuhitaji msaada kutoka kwa watu wengine. Na hao watu hawawezi kukubali wote kufanya hicho kitu
Your total wrong!!! But I do respect your opinion...

Wenye akili wanafanya biashara ya faida no matter inagharimu UHAI wa MTU, Fanya tafiti kwenye sekta zote nyeti.....UCHUMI,ulinzi ,afya,kilimo, elimu,dini....kote kupo corrupted
 
Dunia inahitaji aina ya binadamu kama wewe, Uinuliwe Katika mawimbi ya juu Ili uishi kama taa kwa wengine
Asante sana kwa maneno yako mazito na ya kutia moyo! 💯🙏 Maneno kama haya yanazidi kunipa nguvu ya kuendelea kuwa msaada na mwanga kwa wengine. Naamini sote tuna nafasi ya kufanya dunia kuwa mahali pazuri zaidi kwa kushirikiana na kusaidiana. Ubarikiwe sana na uendelee kuwa na mwanga huo huo kwa watu wanaokuzunguka! 🌟
 
Back
Top Bottom