Aibu! Boda ya Rusumo Mgeni haingii nchini bila rushwa

Aibu! Boda ya Rusumo Mgeni haingii nchini bila rushwa

Mkuu, nimepanga Decemba kupita border ya Rusumo, Destination yangu ni Goma DRC.
Vipi barabara kutoka Nyakanazi hadi Rusumo iliisha karabatiwa?
Vipi kuhusu chanjo za corona, kwa kuingia Rwanda ni lazima uchanjwe au wanafanya test za corona?
Kama una taarifa nyepesi nyepesi naomba tupeane maujanja.... Asante

Mama anaifungua nchi hadi pesa za Corona kapewa. Miundo mbinu mingi haiwezi kuwa hohehahe tena kama ilivyokuwa wakati tukijinadi kutumia pesa za ndani.

Ninakazia (kwa mujibu wa mada) chanjo na dodoso kuhusiana na Corona leo, ni kama waingia Tanzania wala si kama unatoka.

Hivyo basi, jiandae kuwa na uthibitisho wa chanjo au chanjo mbadala utapokuwa unarejea nchini kama uozo huu utakuwa ungalipo.

Sina hakika kama wenye ile dhamana hasa hasa wamekuwa siku zote hawaujui huu ulaji kwa mujibu wa urefu wa kamba hizi au ni - "maji ga nyanja" - JKN.

Habari ndiyo hiyo.
 
Mama anaifungua nchi hadi pesa za Corona kapewa. Miundo mbinu mingi haiwezi kuwa hohehahe tena kama ilivyokuwa wakati tukijinadi kutumia pesa za ndani.

Ninakazia (kwa mujibu wa mada) chanjo na dodoso kuhusiana na Corona leo, ni kama waingia Tanzania wala si kama unatoka.

Hivyo basi, jiandae kuwa na uthibitisho wa chanjo au chanjo mbadala utapokuwa unarejea nchini kama uozo huu utakuwa ungalipo.

Sina hakika kama wenye ile dhamana hasa hasa wamekuwa siku zote hawaujui huu ulaji kwa mujibu wa urefu wa kamba hizi au ni - "maji ga nyanja" - JKN.

Habari ndiyo hiyo.
Sijakuelewa .... hizi ni codes au? 😳
 
Back
Top Bottom