Aibu! Boda ya Rusumo Mgeni haingii nchini bila rushwa


Mama anaifungua nchi hadi pesa za Corona kapewa. Miundo mbinu mingi haiwezi kuwa hohehahe tena kama ilivyokuwa wakati tukijinadi kutumia pesa za ndani.

Ninakazia (kwa mujibu wa mada) chanjo na dodoso kuhusiana na Corona leo, ni kama waingia Tanzania wala si kama unatoka.

Hivyo basi, jiandae kuwa na uthibitisho wa chanjo au chanjo mbadala utapokuwa unarejea nchini kama uozo huu utakuwa ungalipo.

Sina hakika kama wenye ile dhamana hasa hasa wamekuwa siku zote hawaujui huu ulaji kwa mujibu wa urefu wa kamba hizi au ni - "maji ga nyanja" - JKN.

Habari ndiyo hiyo.
 
Sijakuelewa .... hizi ni codes au? 😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…