Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Me nishaachaga kufatilia mchezo huo kwa hapa nyumbani.Hakika sijawahi kuona upendeleo kama huu kwenye mchezo huu wa ndondi popote, nimeangalia hili pambano nimeona aibu sana kwa matokeo ya uongo kama haya.
Kwa haya yanayofanyika, nchi hii haitoendelea kwenye michezo.
Mchezo wa ngumi, mtu akiwa kwao hapigwi!!!