Nilikuwa sijawahi muona Cosmas akipigana... Jana nimemuona...kiukweli uwezo wake ni mdogo sana...huwezi linganisha na alivyokuwa kaka yake enzi zile....yaani siku akikutana na bondia kama Mfaume....hakatizi hata raundi mbili.... bondia gani amelegea Kama binti...anarusha ngumi za kike kabisa eti ndio punch.... kujilinda hajui kabisa kila wakati yuko kwenye kamba.....kama anahitaji kuendelea na ngumi nashauri arudi gym kwanza....akatengeneze nguvu...hana nguvu kabisa...yaani kalegea....ndio maana watu wanashangaa utashindaje kwa ulegevu ule.