Aibu: Cosmas Cheka apigwa na Mmalawi lakini cha ajabu atangazwa kashinda

Hakika sijawahi kuona upendeleo kama huu kwenye mchezo huu wa ndondi popote, nimeangalia hili pambano nimeona aibu sana kwa matokeo ya uongo kama haya.

Kwa haya yanayofanyika, nchi hii haitoendelea kwenye michezo.
Me nishaachaga kufatilia mchezo huo kwa hapa nyumbani.
Mchezo wa ngumi, mtu akiwa kwao hapigwi!!!
 
Miguu ka jogoo anapepesuka ovyo kabisa aibu tupu
 
Nilikua naangalia na mwanangu nikamfukuza mana niliona aibu dingi mzima kuangalia ngumi kama zile kazidiwa mtz mpaka noma alipgwa chuma kimoja down nikamwambia kesho shule kwenda kumbonji wakat gem zngne zote tunamaliza wote niliona aibu Mimi. Joke
 
Mi ngachoka hoi kwa ushindi wa Cosmas aibu aibu kabisa kinyaa. Mbinu za kiushindi za chama zimehamia kwenye uhalisia/majukwaa ya michezo, bora kura zinahesabiwa chumbani ila sio uamuzi uamuzi wa wale majaji.
 
Mvimbe mpasuke lakini haya yote ni mafanikio ya awamu hii, michezo inachana mbuga.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Refa mnamuonea Tu

Marefa wa. Mezani ndiyo wanaoweka point na kuzikusanya na kumtangaza mshindi

Anayesimamia pambano ni kama robot tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…