Sio rahisi ni vile tu tumepigwa matukio ya kutosha since day 1 mpaka mioyo imeota sugu na tumejifunza kitu kupitia hayo. Kama ni vidole tushanyooshewa sana, kilichobaki ni kuwaonyesha ujasiri, raha ya mtu anaekukosoa ni kuona unasononeka, sasa husononeki unabeba msalaba wetu bila kusita wala aibu. Mwisho wa siku inakua sio habari tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh ni Kweli ila mie naona kumsema inatosha maana kutaka kumpiga Mzazi ni Laana tu hata akiwa mkosaji vipikuna maudhi ww yanakuuma mno halafu anayarudia rudia inakukuta hasira kubwa..
kudeal na mtu mwenye maudhi inataka moyo na utulivu mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
hasemeki[emoji3] unampiga ngumi 1 tu inamuweka kwenye mstariDuh ni Kweli ila mie naona kumsema inatosha maana kutaka kumpiga Mzazi ni Laana tu hata akiwa mkosaji vipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka nilipokuwa mdogo chini ya miaka 10 People used to tell me that i look like a girl. I was not handsome, I was beautiful, nilivyoongea nilivyotembea na kila kitu. Nilipigana sana kuwaprove watu wrong by doing manly stuffs that were above my age lakini that was not enough and therefore nothing stopped. All eyes and fingers were pointing towards me each day.
I had to survive this shame and pain to build up the guy i am today, sijali maneno au vidole so long as i get something that massages my interest. They built up this beast in me and now they are facing their own ghosts. I simply don't give a F***K
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama furaha Yake baadae italeta aibu unamzuia tu...Asipopewa bia/kilevi kamwe hatofurahia harusi ya bint yake maana atakuwa kama mgonjwa, amenyong'onyae muda wote.
Ikiwezekana atajitokea zake ukumbini kwenda mtaani kutafuta kitoko huku akiwaachia sherehe yenu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenifurahisha hiyo aibu ya mwaka ukumbini
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza Kumpiga ngumi moja au kumfinya ndio kwanza akaishia kukujazia watu[emoji23][emoji23][emoji23]
Wapo, mwengine jirani yetu tushamzoea maana hata asipokunywa yupo kama kanywa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nilijua tuko peke etu
afu ukimwambia mzee umelewa unauwasha moto mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah itakuwa inakera maana hata huyu jirani yetu kuna muda wanae wanampiga lakini hawa ni waindia
Dah! Ukirithi hizo tabia za mzee wako utapendeza sana kwanza utakuwa maarufuwatampa[emoji3] mwezi wa11 nilienda nae kwa sherehe kila saa namuangalia akiagiza bia asije kuzingua, kila akienda kucheza namuangalia kama maji yashazidi unga au bado
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Ukirithi hizo tabia za mzee wako utapendeza sana kwanza utakuwa maarufu
begi linafanana na sketi ya shuleHio ni sahihi mzazi ni mzazi tuu mkuu...[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
umenichekesha una match hadi begi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daah itakuwa inakera maana hata huyu jirani yetu kuna muda wanae wanampiga lakini hawa ni waindia
Sent using Jamii Forums mobile app
wetu asipokunywa anakua kama amehukumiwa kifo ana nyongea anajikunjaWapo, mwengine jirani yetu tushamzoea maana hata asipokunywa yupo kama kanywa
Sent using Jamii Forums mobile app
Em tuwekee kapicha tukuone ulivyo handsome sikuizi.....Stoey
Story yako inataka kufanana na Mimi kidogo nilipokua mtoto nimefanya vitu vingi ku prove sipo vile wanavyowaza wao, nilikua na sura ya kike so nilikua mgomvi balaa mtu akinichokoza alikua lazima apate kipondo. Nyumbani daily kesi haziishi nimempiga huyu,nimempiga Yule n.k haipiti week majirani wanalete kesi home kuhusu vibinti vyao maana nilikua napita nao hatari.
Yehova anisamehe maana utotoni nimefanya upuuzi mwingi kuwaonyesha watu nina sura ya kike na si matendo. Series yote ya matukio utotoni mwangu yalinifanya nijifunze karate katika umri mdogo nilikua mbabe sana, ubabe usiokua na faida.
Yote kwa yote sitasahau walikuja walimu wa field kutoka butimba TTC pale shuleni kwetu
Nipo class nimekaa backbench kama kaida yangu madam ndio mgeni anafundisha, sijui aliwaza nini but alinifata nyuma akaniuliza "wewe ni wakike au wa kiume"
nilichokifanya nilisimama bila kumjibu hili aone nimevaa suruari.
namshukuru sana Yule madam maana alitokea kunizoea sana na kunipenda pia nilimla sana.
Sijui huko wapi madam janeth nadhani akipitia hapa atakumbuka.