Melanny
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,247
- 2,234
Umenifunza kitu[emoji7][emoji7][emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio rahisi ni vile tu tumepigwa matukio ya kutosha since day 1 mpaka mioyo imeota sugu na tumejifunza kitu kupitia hayo. Kama ni vidole tushanyooshewa sana, kilichobaki ni kuwaonyesha ujasiri, raha ya mtu anaekukosoa ni kuona unasononeka, sasa husononeki unabeba msalaba wetu bila kusita wala aibu. Mwisho wa siku inakua sio habari tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app