Aibu, Ghana ilijenga Pokuase flyover kwa dola 94M wakati Tanzania imejenga daraja la Kijazi kwa dola 100M. Wote walitumia mikopo. Fananisha picha

Aibu, Ghana ilijenga Pokuase flyover kwa dola 94M wakati Tanzania imejenga daraja la Kijazi kwa dola 100M. Wote walitumia mikopo. Fananisha picha

Siku za karibuni nilisoma kwenye gazeti moja kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeingia ubia na Taasisi moja ya Serikali ya Finland katika ukusanyaji kodi. Nikauliza kwa nini wasiingie ubia na utumiaji wa hizo hela baada ya kukusanywa pia? Tatizo la nvhi yetu sio kipato bali ni utuamiaji wa hicho kipato!
Yani serikali ya kiislam inaingia mkataba na serikali ya kilutheri hapa naomba yule mzee anaetetea dini ya mnyazi jukwaa la historia aje !
 
Ghana wako vingine kwa nafasi ya uaminifu kuna mtu aliwaua kwa risasi mafisadi wa Ghana alipoona wanasumbua! lakini kingine inawezeka ikawa gharama zikaongezeka kutokana na bomoabomoa pia iliyopisha hilo daraja lijengwe pia gharama za malighafi kwetu zinaweza kuwa kubwa mfano kokoto hazitoki Dar gharama zingine pia kwetu zinaweza kuwa juu ukilinganisha na Ghana!
 
Back
Top Bottom