Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Yani serikali ya kiislam inaingia mkataba na serikali ya kilutheri hapa naomba yule mzee anaetetea dini ya mnyazi jukwaa la historia aje !Siku za karibuni nilisoma kwenye gazeti moja kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeingia ubia na Taasisi moja ya Serikali ya Finland katika ukusanyaji kodi. Nikauliza kwa nini wasiingie ubia na utumiaji wa hizo hela baada ya kukusanywa pia? Tatizo la nvhi yetu sio kipato bali ni utuamiaji wa hicho kipato!