AIBU: Google yawapa mitaji minono vijana wa Kenya, Rwanda, Uganda huku vijana wa Tanzania wakijadili Simba / Yanga, tunda na k vant

AIBU: Google yawapa mitaji minono vijana wa Kenya, Rwanda, Uganda huku vijana wa Tanzania wakijadili Simba / Yanga, tunda na k vant

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1662660821081.png


Google wametoa misaada kupitia black founders programme kwa nchi za Africa kwa mitaji ya milioni 116 na milioni 230 kulingana na uhitaji wa biashara lengo likiwa ni kuzisapoti biashara zinazochipukia ili kutengeneza ajira na kuleta maendeleo.

Wanufauka ni

Nigeria - nafasi 23
Kenya - Nafasi 12
Rwanda - Nafasi 6
Afrika kusini - Nafasi 5
Uganda - Nafasi 4

Ni tangu april zilipotangazw hizi fursa lakini kwa hapa kuwa ajenda yetu ya taifa huwa ni Simba / Yanga, Connection, Udaku, n.k ilikuwa ngumu watu kufatilia haya mambo.

Muda huo watanzania ywapo bize na

-Whatsapp, FB, INSTA
ukraine / urusi
-K-Vant
-Simba, Yanga
-Mfikicho
-Diamond, Konde, Kiba
-Kubeti
-Vicoba, Kijora
-Vumbi la Kongo

SOURCE
 
Hizo nchi kuna program zilianzishwa from US za watu wanaojua programming. ..ukienda Rwanda shule za msingi wana lab za computer tena laptop ...they do assembling of equipment in country kwakua wanaletewa vifaa tu ..kwahio sishangai unachosema. ..wenzetu wanawaza how to train current and future generations. ..na kwa sasa kila kitu ni automation so you need more programmer ndicho wenzetu wanavyofanya
 
View attachment 2350547

Google wametoa misaada kupitia black founders programme kwa nchi za Africa kwa mitaji ya milioni 116 na milioni 230 kulingana na uhitaji wa biashara lengo likiwa ni kuzisapoti biashara zinazochipukia ili kutengeneza ajira na kuleta maendeleo.

Wanufauka ni

Nigeria - nafasi 23
Kenya - Nafasi 12
Rwanda - Nafasi 6
Afrika kusini - Nafasi 5
Uganda - Nafasi 4

Ni tangu april zilipotangazw hizi fursa lakini kwa hapa kuwa ajenda yetu ya taifa huwa ni Simba / Yanga, Connection, Udaku, n.k ilikuwa ngumu watu kufatilia haya mambo.

Muda huo watanzania ywapo bize na

-Whatsapp, FB, INSTA
-K-Vant
-Simba, Yanga
-Mfikicho
-Diamond, Konde, Kiba
-Kubeti
-Vicoba, Kijora
-Vumbi la Kongo

SOURCE
Actually vijana wengi wa Tanzania hawajadili mambo ya muhimu
 
Hizo nchi kuna program zilianzishwa from US za watu wanaojua programming. ..ukienda Rwanda shule za msingi wana lab za computer tena laptop ...they do assembling of equipment in country kwakua wanaletewa vifaa tu ..kwahio sishangai unachosema. ..wenzetu wanawaza how to train current and future generations. ..na kwa sasa kila kitu ni automation so you need more programmer ndicho wenzetu wanavyofanya
Sie tuna viongozi wasomi mno ila usomi wao ni wa kishamba sana.
Ni sawa na mtu anayeweza kukuelezea jinsi baiskeli inavyoendeshwa au cherehani inavyofanya kazi ila wao hawajui na hawawezi kabisa kutekeleza maneno yao kwa vitendo hata kidogo.
 
Wakati huo sisi tunaanzishiana mathread ya ajabu ajabu na ya kipumbafu kabisa huku wenzetu wanaendelea sisi bado tupo nyuma, in short wengi wetu tumejawa na chuki na roho mbaya mara kukashifiana dini, ukabila, mara oh watu wa nje wahindi, waarabu wanaishi maisha mazuri na manyumba mazuri, mara oh hatuwataki waondoke,, aise ndio maana wenzetu wanapiga hatua kubwa mno.

Hongereni sana wanigeria, kenya n.k.
 
Sasa elimu yetu yenyewe tumeishia kupewa warning "Do not enter in the laboratory without permission" So, tupo nje tunasubiri turuhusiwe tuanze kufanya uchunguzi na sisi.
 
View attachment 2350547

Google wametoa misaada kupitia black founders programme kwa nchi za Africa kwa mitaji ya milioni 116 na milioni 230 kulingana na uhitaji wa biashara lengo likiwa ni kuzisapoti biashara zinazochipukia ili kutengeneza ajira na kuleta maendeleo.

Wanufauka ni

Nigeria - nafasi 23
Kenya - Nafasi 12
Rwanda - Nafasi 6
Afrika kusini - Nafasi 5
Uganda - Nafasi 4

Ni tangu april zilipotangazw hizi fursa lakini kwa hapa kuwa ajenda yetu ya taifa huwa ni Simba / Yanga, Connection, Udaku, n.k ilikuwa ngumu watu kufatilia haya mambo.

Muda huo watanzania ywapo bize na

-Whatsapp, FB, INSTA
-K-Vant
-Simba, Yanga
-Mfikicho
-Diamond, Konde, Kiba
-Kubeti
-Vicoba, Kijora
-Vumbi la Kongo

SOURCE
Bila shaka ulituwakilisha vyema kama nchi ya Tanzania
 
View attachment 2350547

Google wametoa misaada kupitia black founders programme kwa nchi za Africa kwa mitaji ya milioni 116 na milioni 230 kulingana na uhitaji wa biashara lengo likiwa ni kuzisapoti biashara zinazochipukia ili kutengeneza ajira na kuleta maendeleo.

Wanufauka ni

Nigeria - nafasi 23
Kenya - Nafasi 12
Rwanda - Nafasi 6
Afrika kusini - Nafasi 5
Uganda - Nafasi 4

Ni tangu april zilipotangazw hizi fursa lakini kwa hapa kuwa ajenda yetu ya taifa huwa ni Simba / Yanga, Connection, Udaku, n.k ilikuwa ngumu watu kufatilia haya mambo.

Muda huo watanzania ywapo bize na

-Whatsapp, FB, INSTA
-K-Vant
-Simba, Yanga
-Mfikicho
-Diamond, Konde, Kiba
-Kubeti
-Vicoba, Kijora
-Vumbi la Kongo

SOURCE
Acha kulalamikia vijana kupata hiyo chance ni ngumu and very competitively usizani watanzania hawaku apply ila ni vile tu maybe team ilikua weak
 
Back
Top Bottom