amadala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,265
- 12,268
Ila Labani wewe si ndio umetokea kuanzisha Uzi wa PISI nyembamba kweli hutaki ila wenzio tunataka bwanaBongo sio nchi masikini.....hatuitaji hyo misaada ya Google
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Labani wewe si ndio umetokea kuanzisha Uzi wa PISI nyembamba kweli hutaki ila wenzio tunataka bwanaBongo sio nchi masikini.....hatuitaji hyo misaada ya Google
OPPORTUNITY: Create jobs, drive trade and investment, advance innovation and technology, and improve the business environment in Africa with grants ranging from $150,000 to $5 million! Find out about catalytic grants available in partnership with the Usaid Africa Trade and Investment Program at Live Grant Opportunities — USAID Africa Trade & Investment ProgramView attachment 2350547
Google wametoa misaada kupitia black founders programme kwa nchi za Africa kwa mitaji ya milioni 116 na milioni 230 kulingana na uhitaji wa biashara lengo likiwa ni kuzisapoti biashara zinazochipukia ili kutengeneza ajira na kuleta maendeleo.
Wanufauka ni
Nigeria - nafasi 23
Kenya - Nafasi 12
Rwanda - Nafasi 6
Afrika kusini - Nafasi 5
Uganda - Nafasi 4
Ni tangu april zilipotangazw hizi fursa lakini kwa hapa kuwa ajenda yetu ya taifa huwa ni Simba / Yanga, Connection, Udaku, n.k ilikuwa ngumu watu kufatilia haya mambo.
Muda huo watanzania ywapo bize na
-Whatsapp, FB, INSTA
-K-Vant
-Simba, Yanga
-Mfikicho
-Diamond, Konde, Kiba
-Kubeti
-Vicoba, Kijora
-Vumbi la Kongo
SOURCE
Umeiona Zambia hapo? Au Ethiopia?View attachment 2350547
Google wametoa misaada kupitia black founders programme kwa nchi za Africa kwa mitaji ya milioni 116 na milioni 230 kulingana na uhitaji wa biashara lengo likiwa ni kuzisapoti biashara zinazochipukia ili kutengeneza ajira na kuleta maendeleo.
Wanufauka ni
Nigeria - nafasi 23
Kenya - Nafasi 12
Rwanda - Nafasi 6
Afrika kusini - Nafasi 5
Uganda - Nafasi 4
Ni tangu april zilipotangazw hizi fursa lakini kwa hapa kuwa ajenda yetu ya taifa huwa ni Simba / Yanga, Connection, Udaku, n.k ilikuwa ngumu watu kufatilia haya mambo.
Muda huo watanzania ywapo bize na
-Whatsapp, FB, INSTA
-K-Vant
-Simba, Yanga
-Mfikicho
-Diamond, Konde, Kiba
-Kubeti
-Vicoba, Kijora
-Vumbi la Kongo
SOURCE
Mtoa mada Ni Mzambia au Muethiopia?Umeiona Zambia hapo? Au Ethiopia?
Kwahiyo ni Mnaijeria, Mkenya, mRwanda au Mganda?Mtoa mada Ni Mzambia au Muethiopia?
Ni muendesha mtumbwi wenye vibwengo.Kwahiyo ni Mnaijeria, Mkenya, mRwanda au Mganda?
Umekosea hapo ni Ukraine mkuuGaykraine
Mlete mzungu , MayeleView attachment 2350547
Google wametoa misaada kupitia black founders programme kwa nchi za Africa kwa mitaji ya milioni 116 na milioni 230 kulingana na uhitaji wa biashara lengo likiwa ni kuzisapoti biashara zinazochipukia ili kutengeneza ajira na kuleta maendeleo.
Wanufauka ni
Nigeria - nafasi 23
Kenya - Nafasi 12
Rwanda - Nafasi 6
Afrika kusini - Nafasi 5
Uganda - Nafasi 4
Ni tangu april zilipotangazw hizi fursa lakini kwa hapa kuwa ajenda yetu ya taifa huwa ni Simba / Yanga, Connection, Udaku, n.k ilikuwa ngumu watu kufatilia haya mambo.
Muda huo watanzania ywapo bize na
-Whatsapp, FB, INSTA
-K-Vant
-Simba, Yanga
-Mfikicho
-Diamond, Konde, Kiba
-Kubeti
-Vicoba, Kijora
-Vumbi la Kongo
SOURCE
U listed from the highest to the lowest uko makini mkuu[emoji848]Vijana wa tanzania si wale wale Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye na Makamba.
Ndani ya Kenya, Rwanda au Uganda?Ni muendesha mtumbwi wenye vibwengo.View attachment 2350705
Ajabu ni kuwa hata wewe unayetushangaa wapenda udaku na uliijua hii fursa, haujapewa mtaji.View attachment 2350547
Google wametoa misaada kupitia black founders programme kwa nchi za Africa kwa mitaji ya milioni 116 na milioni 230 kulingana na uhitaji wa biashara lengo likiwa ni kuzisapoti biashara zinazochipukia ili kutengeneza ajira na kuleta maendeleo.
Wanufauka ni
Nigeria - nafasi 23
Kenya - Nafasi 12
Rwanda - Nafasi 6
Afrika kusini - Nafasi 5
Uganda - Nafasi 4
Ni tangu april zilipotangazw hizi fursa lakini kwa hapa kuwa ajenda yetu ya taifa huwa ni Simba / Yanga, Connection, Udaku, n.k ilikuwa ngumu watu kufatilia haya mambo.
Muda huo watanzania ywapo bize na
-Whatsapp, FB, INSTA
ukraine / urusi
-K-Vant
-Simba, Yanga
-Mfikicho
-Diamond, Konde, Kiba
-Kubeti
-Vicoba, Kijora
-Vumbi la Kongo
SOURCE