Aibu: Hivi tumekosa kabisa uwezo wa kujenga Marinas za kuegesha Boti zetu?

Aibu: Hivi tumekosa kabisa uwezo wa kujenga Marinas za kuegesha Boti zetu?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Nimeona picha za Mhe. Rais kuzindua Boti za Wavuvi huko Tanga.

Cha kusikitisha pamoja na nchi yetu kuzalisha Ma engineer tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mradi huo wa Boti za Uvuvi unazinduliwa kwenye Pwani ya Bahari ambayo haina hata eneo maalum la kisasa la kuegesha na kupaki boti hizo (Marina).

Cha kusikitisha zaidi pamoja na kuzalisha ma engineer hao miaka na miaka na kuwa na mamlaka za uvuvi na Bandari, bila kusahau vitengo vya PPP, Nchi yetu hatujawa bado na miradi ya ujenzi wa maeneo mazuri na nadhifu ya kupaki boti na meli kwenye bahari zetu na maziwa yetu ( Ukiondoa marina moja tu ambayo niliiona Masaki zinapopaki Boti za kukodi)

Rai yangu.
Naomba Ma engineer wa Tanzania na mliopo kwenye Mamlaka za Uvuvi na Bandari jitahidini sana kupata exposure nje ya nchi na kuja kuzifanyia kazi hapo nyumbani Tanzania. Ni aibu nchi yetu kuzindua mradi wa boti tena unazinduliwa na Rais alafu Boti hizo hazina eneo la kisasa za kuengeshwa!

Pia kupitia PPP waalikeni wawekezaji wenye uwezo watengeneze marina kwenye maeneo yetu ya maziwa na Bahari. Hili sio tu litafanya tuwe na fukwe nzuri ila linachochea uwekezaji na utalii katika uchumi wa bluu.

Kama hamuwezi ziambieni halmashauri zilizopo kwenye maeneo yenye maziwa na bahari kuwa na miradi ya namna hii maana hizi Marina zinaweza pia kutumika kama vyanzo vya mapato kupitia parking fee!


Kuweni na akili basi. Kama vipi tupeni kazi hiyo ya kuitengeneza na kuiboresha nchi yetu. Tena tutafanya bure bila kulipwa maana naona CCM wamewafanya mkose akili.
FB_IMG_1740556925579.jpg

FB_IMG_1740556923152.jpg

Mfano wa Maeneo maalum ya kisasa ya kuegesha Boti (Marinas) huu hapa 👇

FB_IMG_1740557057279.jpg


FB_IMG_1740557064632.jpg
 
Nimeona picha za Mhe. Rais kuzindua Boti za Wavuvi huko Tanga.

Cha kusikitisha pamoja na nchi yetu kuzalisha Ma engineer tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mradi huo wa Boti za Uvuvi unazinduliwa kwenye Pwani ya Bahari ambayo haina hata eneo maalum la kisasa la kuegesha na kupaki boti hizo (Marina).

Cha kusikitisha zaidi pamoja na kuzalisha ma engineer hao miaka na miaka na kuwa na mamlaka za uvuvi na Bandari, bila kusahau vitengo vya PPP, Nchi yetu hatujawa bado na miradi ya ujenzi wa maeneo mazuri na nadhifu ya kupaki boti na meli kwenye bahari zetu na maziwa yetu ( Ukiondoa marina moja tu ambayo niliiona Masaki zinapopaki Boti za kukodi)

Rai yangu.
Naomba Ma engineer wa Tanzania na mliopo kwenye Mamlaka za Uvuvi na Bandari jitahidini sana kupata exposure nje ya nchi na kuja kuzifanyia kazi hapo nyumbani Tanzania. Ni aibu nchi yetu kuzindua mradi wa boti tena unazinduliwa na Rais alafu Boti hizo hazina eneo la kisasa za kuengeshwa!

Pia kupitia PPP waalikeni wawekezaji wenye uwezo watengeneze marina kwenye maeneo yetu ya maziwa na Bahari. Hili sio tu litafanya tuwe na fukwe nzuri ila linachochea uwekezaji na utalii katika uchumi wa bluu.


Kuweni na akili basi. Kama vipi tupeni kazi hiyo ya kuitengeneza na kuiboresha nchi yetu. Tena tutafanya bure bila kulipwa maana naona CCM wamewafanya mkose akili.
View attachment 3250194
Mfano wa Maeneo maalum ya kisasa ya kuegesha Boti (Marinas) huu hapa 👇

View attachment 3250197View attachment 3250198

"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Nimeona picha za Mhe. Rais kuzindua Boti za Wavuvi huko Tanga.

Cha kusikitisha pamoja na nchi yetu kuzalisha Ma engineer tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mradi huo wa Boti za Uvuvi unazinduliwa kwenye Pwani ya Bahari ambayo haina hata eneo maalum la kisasa la kuegesha na kupaki boti hizo (Marina).

Cha kusikitisha zaidi pamoja na kuzalisha ma engineer hao miaka na miaka na kuwa na mamlaka za uvuvi na Bandari, bila kusahau vitengo vya PPP, Nchi yetu hatujawa bado na miradi ya ujenzi wa maeneo mazuri na nadhifu ya kupaki boti na meli kwenye bahari zetu na maziwa yetu ( Ukiondoa marina moja tu ambayo niliiona Masaki zinapopaki Boti za kukodi)

Rai yangu.
Naomba Ma engineer wa Tanzania na mliopo kwenye Mamlaka za Uvuvi na Bandari jitahidini sana kupata exposure nje ya nchi na kuja kuzifanyia kazi hapo nyumbani Tanzania. Ni aibu nchi yetu kuzindua mradi wa boti tena unazinduliwa na Rais alafu Boti hizo hazina eneo la kisasa za kuengeshwa!

Pia kupitia PPP waalikeni wawekezaji wenye uwezo watengeneze marina kwenye maeneo yetu ya maziwa na Bahari. Hili sio tu litafanya tuwe na fukwe nzuri ila linachochea uwekezaji na utalii katika uchumi wa bluu.

Kama hamuwezi ziambieni halmashauri zilizopo kwenye maeneo yenye maziwa na bahari kuwa na miradi ya namna hii maana hizi Marina zinaweza pia kutumika kama vyanzo vya mapato kupitia parking fee!


Kuweni na akili basi. Kama vipi tupeni kazi hiyo ya kuitengeneza na kuiboresha nchi yetu. Tena tutafanya bure bila kulipwa maana naona CCM wamewafanya mkose akili.
View attachment 3250194
Mfano wa Maeneo maalum ya kisasa ya kuegesha Boti (Marinas) huu hapa 👇

View attachment 3250197View attachment 3250198
Kwa kweli Wataalam wetu wamejaa UHARO kichwani,yaani mambo ni holelaholela tu,kitu kidogo kama hicho wanashindwa kufanyia kazi,lakini mipimbi kama Lucas Mwashambwa. kila siku kusifia uharo tu
 
Kwa kweli Wataalam wetu wamejaa UHARO kichwani,yaani mambo ni holelaholela tu,kitu kidogo kama hicho wanashindwa kufanyia kazi,lakini mipimbi kama Lucas Mwashambwa. kila siku kusifia uharo tu
Naskia huko Tanzania ni Wanasiasa ndo wanaamua kufanya kazi na Watendaji gani?

Mngekuwa na mifumo ya watu kupata vyeo kwa uwezo wao na akili zao na sio uchawa au kujuana tusingefika hapa.
 
Hakuna mwenye akili hii..hakuna nakuambia...
Kama huko Serikalini na CCM hakuna wenye akili hii si watoke watuache tunaoweza kuifanya nchi yetu kuwa bora kimaendeleo na ya kisasa?
 
Back
Top Bottom