imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Inakuwa ni kumhadaa Raisi wetu mpendwa.Kesho utamsikia huyo mtembelea vx wa nyamagana kwamba tozo katika wilaya yake imejenga madarasa 1000 na zahanati 500
Huku akimshukuru rais kwa kuwajali wanuka jasho
Dah maskini hii nchi ina potential ya kuwa nchi nzuri sana bahati mbaya ina watawala wa hovyoo kupita kiasi ma propaganda ya kitoto kila siku
Maisha yenyewe yamekuwa magumu sana kutokana na Covid19, na kupanda kwa Mafuta, huu sio muda muafaka wa kubebesha Wazazi mzigo wa ziada.
Kwanini wasisubiri tutoke kwenye huu "mkwamo"wa kiuchumi?.
Mimi huwa namwelewa sana Mama Samia Suluhu wasimuangushe bhana.
Mungu mjaalie Rais wetu mpendwa.