AIBU: Kesi nzito Kenya maamuzi mwanzo mwezi ujao, hapa COVID 19 ni danadana

AIBU: Kesi nzito Kenya maamuzi mwanzo mwezi ujao, hapa COVID 19 ni danadana

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
kesi kubwaa sana ambayo kwa kweli sidhani kama kuna jaji wa tanzania mwenye level ya kuielewa achilia mbali kutolea maamuzi soon inaanza kunguruma hapo kenya maamuzi yake yanatarajiwa kutolewa mwezi ujao mwanzoni

Ni kesi kubwa kila upande unavutia kwake, hawa wanasema kuna wizi wa kura leo chebukati anakuambia alitembelewa saa tisa usiku na kina Amos wako wa BARAZA LA USALAMA LA TAIFA wakamuambia ahakikishe uchaguzi unarudiwa ,Rutto asitangazwe hiyo ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 15 siku aliyomtangaza WSR akakataa hadi commisioners wenzake wawepo na walifika kweli..kikao kikaisha bila yeye kukubali kufata matakwa ya DEEP STATE

Embu fkiria mfumo wa mahakama yetu ulivyochezewa na kuharibiwa hadi kisaikolojia umeharibika kabisa ungeweza kesi ya aina hii?

KAMA KESI YA WATU WABUNGE FEKI COVID 19 WENGINE WALIKUWA JELA USIKU KESHO MBUNGE INAWASHINDA MNAIPIGA DANADANA YA KENYA MNGEWEZA?

KIWANGO CHA MAJAJI WETU NI DUNI KABISAA, WAMEKUBALI KUJIDHARAULISHA ILA MBAYA ZAIDI WANADHARAULISHA TAALUMA YAO

KENYA LI KESI LIKUUBWA MWEZI UJAO WANALIMALIZA HAPA YA MZEE MDEE HADI 2025 HUKU MKISUBIRIA MPEWE MAELEKEZO, SHAME SHAME SHAME
 
kesi kubwaa sana ambayo kwa kweli sidhani kama kuna jaji wa tanzania mwenye level ya kuielewa achilia mbali kutolea maamuzi soon inaanza kunguruma hapo kenya maamuzi yake yanatarajiwa kutolewa mwezi ujao mwanzoni

Ni kesi kubwa kila upande unavutia kwake, hawa wanasema kuna wizi wa kura leo chebukati anakuambia alitembelewa saa tisa usiku na kina Amos wako wa BARAZA LA USALAMA LA TAIFA wakamuambia ahakikishe uchaguzi unarudiwa ,Rutto asitangazwe hiyo ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 15 siku aliyomtangaza WSR akakataa hadi commisioners wenzake wawepo na walifika kweli..kikao kikaisha bila yeye kukubali kufata matakwa ya DEEP STATE

Embu fkiria mfumo wa mahakama yetu ulivyochezewa na kuharibiwa hadi kisaikolojia umeharibika kabisa ungeweza kesi ya aina hii?

KAMA KESI YA WATU WABUNGE FEKI COVID 19 WENGINE WALIKUWA JELA USIKU KESHO MBUNGE INAWASHINDA MNAIPIGA DANADANA YA KENYA MNGEWEZA?

KIWANGO CHA MAJAJI WETU NI DUNI KABISAA, WAMEKUBALI KUJIDHARAULISHA ILA MBAYA ZAIDI WANADHARAULISHA TAALUMA YAO

KENYA LI KESI LIKUUBWA MWEZI UJAO WANALIMALIZA HAPA YA MZEE MDEE HADI 2025 HUKU MKISUBIRIA MPEWE MAELEKEZO, SHAME SHAME SHAME
Allaniwe Juma
 
Tuendelee kufatilia ya kenya ndugu zetu hawa jamaa transparecy yao iko level nyingine
wako.JPG
 
Kenya au Kenyatta?
Hivi nani alishinda uchaguzi kihalali? Maana namba hazitally Ruto 50.49% na Odinga 49.49%
 
Ndio maana kila siku nasema wasomi wa Tanzania ndio wanatuangusha,eti jaji mzima unajua sheria vizur lkn anatokea mtu mwenye kadegree anakupangia nin cha kufanya wakati taaluma inakataa,njaa njaa njaa njaaaaaa.......
MAJAJI WENYEWE HAMNA KITU wakipewa kesi hapo kenya hata ya fumanizi itawatoa jasho
 
Mwezi ujao wanalimaliza. Unasifia mambo ambayo bado hayajafanyika. Vipi kama ikifika siku iliyotajwa halafu washindwe kuimaliza?
hata kama uchaguzi wao tu wamejitahidi sana tarehe 12 august pdf forms 46,000 zilikuwa na bado zipo kwenye portal kwa yeyote kudownload na kujumlisha...hapa miaka 2 kuna forms tume ya mahera ilitakiwa iziweke online baada ya uchafuzi mkuu hadi leo wanakataa..2 years and nobody is held accountable..SIYO WAZIMU HUO?waweke hizo forms online tulinganishe hesabu zao
 
Kwa ujinga walioonyesha bado unawasifu? Utakuwa una matatizo ya akili wewe!!

Huwezi kufananisha mfumo wa mahakama ya Kenya kiutendaji na huu uchafu wa hapa. Hapa kwetu hatuna mahakama, bali tuna majengo ya mahakama yanayoendeshwa na Makada wa CCM. Ukiona majaji wetu wanavyoongea kwa woga na majizi ya kura ya CCM, hata ni aibu kabisa.
 
hata kama uchaguzi wao tu wamejitahidi sana tarehe 12 august pdf forms 46,000 zilikuwa na bado zipo kwenye portal kwa yeyote kudownload na kujumlisha...hapa miaka 2 kuna forms tume ya mahera ilitakiwa iziweke online baada ya uchafuzi mkuu hadi leo wanakataa..2 years and nobody is held accountable..SIYO WAZIMU HUO?waweke hizo forms online tulinganishe hesabu zao

Bado wanapika matokeo, maana hata wao wanaona aibu kuweka kwenye tovuti.
 
Back
Top Bottom