AIBU: Kesi nzito Kenya maamuzi mwanzo mwezi ujao, hapa COVID 19 ni danadana

AIBU: Kesi nzito Kenya maamuzi mwanzo mwezi ujao, hapa COVID 19 ni danadana

kesi kubwaa sana ambayo kwa kweli sidhani kama kuna jaji wa tanzania mwenye level ya kuielewa achilia mbali kutolea maamuzi soon inaanza kunguruma hapo kenya maamuzi yake yanatarajiwa kutolewa mwezi ujao mwanzoni

Ni kesi kubwa kila upande unavutia kwake, hawa wanasema kuna wizi wa kura leo chebukati anakuambia alitembelewa saa tisa usiku na kina Amos wako wa BARAZA LA USALAMA LA TAIFA wakamuambia ahakikishe uchaguzi unarudiwa ,Rutto asitangazwe hiyo ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 15 siku aliyomtangaza WSR akakataa hadi commisioners wenzake wawepo na walifika kweli..kikao kikaisha bila yeye kukubali kufata matakwa ya DEEP STATE

Embu fkiria mfumo wa mahakama yetu ulivyochezewa na kuharibiwa hadi kisaikolojia umeharibika kabisa ungeweza kesi ya aina hii?

KAMA KESI YA WATU WABUNGE FEKI COVID 19 WENGINE WALIKUWA JELA USIKU KESHO MBUNGE INAWASHINDA MNAIPIGA DANADANA YA KENYA MNGEWEZA?

KIWANGO CHA MAJAJI WETU NI DUNI KABISAA, WAMEKUBALI KUJIDHARAULISHA ILA MBAYA ZAIDI WANADHARAULISHA TAALUMA YAO

KENYA LI KESI LIKUUBWA MWEZI UJAO WANALIMALIZA HAPA YA MZEE MDEE HADI 2025 HUKU MKISUBIRIA MPEWE MAELEKEZO, SHAME SHAME SHAME

Tanzania Kuna shida Sana. Mahakama na Bunge zote zipo mikononi mwa CCM. Unategemea Nini. Mwaka 2015 watu walishangaa kumuona jaji mkuu Augustino anachukua fomu ya urais CCM . Au Mwenyekiti wa ZEC Jecha anachukua fomu ya CCM . Hakuna jipya zaidi ya kulipa tozo.
 
Mwezi ujao wanalimaliza. Unasifia mambo ambayo bado hayajafanyika. Vipi kama ikifika siku iliyotajwa halafu washindwe kuimaliza?

Wameshaweka timeline mkuu. Na miaka you wanafanya hivyo. Ndani ya siku tano kesi imeisha na wanatoa maamuzi kesho yake, sababu za hukumu hutolewa baadae.
 
Mkuu omba uraia wa Kenya ili ukapate haki huko.

Kwa Nini aspate haki kwenye nchi yake mpaka ahame?. Waweke kwanza fomu za NEC kwenye portal. Mnatumia billioni Mia nne kufanya uchaguzi Kama sio laana Ni Nini?.
 
Kwani hapa Tanzania kuna Mahakama???

“Majaji na mahakimu hakikisheni mnafanya maamuzi kulingana na muelekeo wa serikali unavyoenda” Jaji Mkuu Ibrahim Juma
 
Tunaishi binadamu tunaojitambua sana hatufuati upepo tu eti kwa sababu Kenya wanafanya hivi na sisi tufuate tu bila kuangalia jamii yetu inapenda kitu gani. Mkuu wahi uraia wa Kenya ukaanze kuishi mabandani. Napajua sana Kenya nimeishi na kufanyakazi huko. Hapafai kabisaaa.

Nchi ya Tozo na mikopo. Unatoza watu kwenye kila kitu halafu huwezi kupunguza gharama za Maisha. Mafutabya ptrol huku kwetu yanakaribia shilingi elfu nne kwa Lita. Halafu bado mfumuko wa Bei upo juu Nani alipende liserikali la hivi? .
 
Tunaishi binadamu tunaojitambua sana hatufuati upepo tu eti kwa sababu Kenya wanafanya hivi na sisi tufuate tu bila kuangalia jamii yetu inapenda kitu gani. Mkuu wahi uraia wa Kenya ukaanze kuishi mabandani. Napajua sana Kenya nimeishi na kufanyakazi huko. Hapafai kabisaaa.

CCM imeiletea laana hi nchi. Uchumi mbovu, mfumuko wa Bei juu halafu Sasa ukifika wakati wa uchaguzi ni majanga. Yani tupo vibaya kiuchumi na kisiasa. Laana juu ya laana.
 
Kwani kuwa na slavery mentality lazima wawe wazungu!!??

Wewe una slave mentality ya CCM . Umeridhika?. Miaka 60 ya Uhuru bado mnawaibia wananchi pesa zao kwenye akaunti ya benki. Serikali ya kijinga.
 
wakati mtu unakubali kudhalilisha utu wako kuwa na huruma basi na taaluma yako jamani,hivi hawa majaji wetu wakipewa kesi ya kina odinga si watachanganyikiwa?
Majaji wa Tanzania hawana kitu wanadhalilisha taaluma zao.Mimi sijawahi sikia majaji wa hovyo kama wa Tz hata kanchi kama Malawi hakana majaji wa hovyo vile
 
Jambo moja nililojifunza kutoka kwetu. Watanzania tupo tayari kusifia upuuzi wa mgeni na kukandia hata mazuri yetu machache.
Kesi unayoisifia ya [emoji1139] inawabana majaji kuhusu idadi ya siku kikatiba na kisheria.
Hakuna kizuri cha kujisifia ikiwa mnaliingiza Taifa kwenye mkorogano wa namna ile kisa tu biashara ya kisiasa ya watu wachache ambao hata kwa idadi tu 500 hawafiki, waamue amani ya mamilioni ya wakenya

Mbona kipindi kilichopita walifuta uchaguzi wa urais na Mambo yalienda. Kenya wamejua kutatua shida yao ya machafuko kipindi Cha uchaguzi. Sasa hivi ni amani tu. Sio huku siku ya kupiga kura internet inazimwa nchi nzima kwa mwezi mzima ili wizi wa kura ufanyike vizuri. Mpaka Leo mahera hajaweka fomu za kura za urais kwenye portal anaogopa kuaibika.
 
You are not informed mkuu. Wapo wengi sana tu wanaforge docs ili wawe raia wa nchi hii kwa sababu kuna opportunities nyingi sana kwa kuwa kuna watz kama nyinyi msiojitambua kila siku kuponda tu Utanzania wako then unafikiri una akili sana ni sana na kuponda nyumbani kwenu na familia yako.

Oppotlrtunities zipi?. Wakati vijanna hawana ajira? Acha uongo, Tanzania kinachotubeba Ni amani ambayo inalindwa na wananchi na sio serikali ya Tozo na mikopo.
 
Pole sana kwa kuwa na njaa kali hatari. TZ ni nchi nzuri sana ndio maana Wakenya, Wahindi wengi tu wanataka uraia wa nchi hii. Ila kuna Watz kama wewe hamthamini nchi yenu simply because you have been brain washed!!

Serikali mbovu huaribu image ya nchi. Tozonia na sio Tanzania.
 
ujinga ni kuruhusu matokeo kuwa disputed mahakamani? kwamba hata kama una malalamiko inatakiwa unyamaze AU UENDE MSITUNI KUANZISHA UASI? LI NCHI LA WANAFIKI LA KICHAWI SANA HILI
Mzazi wako akifanya mambo ya hovyo unaomba kuzaliwa na mzazi mwingine au unabadiri jina?
 
kesi kubwaa sana ambayo kwa kweli sidhani kama kuna jaji wa tanzania mwenye level ya kuielewa achilia mbali kutolea maamuzi soon inaanza kunguruma hapo kenya maamuzi yake yanatarajiwa kutolewa mwezi ujao mwanzoni

Ni kesi kubwa kila upande unavutia kwake, hawa wanasema kuna wizi wa kura leo chebukati anakuambia alitembelewa saa tisa usiku na kina Amos wako wa BARAZA LA USALAMA LA TAIFA wakamuambia ahakikishe uchaguzi unarudiwa ,Rutto asitangazwe hiyo ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 15 siku aliyomtangaza WSR akakataa hadi commisioners wenzake wawepo na walifika kweli..kikao kikaisha bila yeye kukubali kufata matakwa ya DEEP STATE

Embu fkiria mfumo wa mahakama yetu ulivyochezewa na kuharibiwa hadi kisaikolojia umeharibika kabisa ungeweza kesi ya aina hii?

KAMA KESI YA WATU WABUNGE FEKI COVID 19 WENGINE WALIKUWA JELA USIKU KESHO MBUNGE INAWASHINDA MNAIPIGA DANADANA YA KENYA MNGEWEZA?

KIWANGO CHA MAJAJI WETU NI DUNI KABISAA, WAMEKUBALI KUJIDHARAULISHA ILA MBAYA ZAIDI WANADHARAULISHA TAALUMA YAO

KENYA LI KESI LIKUUBWA MWEZI UJAO WANALIMALIZA HAPA YA MZEE MDEE HADI 2025 HUKU MKISUBIRIA MPEWE MAELEKEZO, SHAME SHAME SHAME
Mahakama ya Tanzania imenajisiwa sana

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Waajili police wasomi na majaji wasomi tunaweza fika duniani.
 
Nimesoma komenti hakika kama jaji wa Tanzania amepitia hapa basi baadhi yao wanasikitika na kuugulia mawazo huko walipo kwa hizo komenti.
 
Back
Top Bottom