AIBU: Kesi nzito Kenya maamuzi mwanzo mwezi ujao, hapa COVID 19 ni danadana

AIBU: Kesi nzito Kenya maamuzi mwanzo mwezi ujao, hapa COVID 19 ni danadana

Mwezi ujao wanalimaliza. Unasifia mambo ambayo bado hayajafanyika. Vipi kama ikifika siku iliyotajwa halafu washindwe kuimaliza?
HAYA SASA NGOMA JUMATATU INATOLEWA MAAMUZI, HAPA YA MZEE MDEE NA MATAPELI WENZAKE 18 ITAVUUUTWA HADI 20125 KUTOKANA NA MAAMUZI KUTOKA JUU ETI WENYEWE WANAJISIFU NI POLITICAL SCIENCE
MAJAJI WA KENYA NI LEVEL NYINGINE, JUDICIARY YAO NI LEVEL NYINGINE, ATLEAST WANAIHESHIMISHA SIYO KUITUKANISHA
 
Nimesoma komenti hakika kama jaji wa Tanzania amepitia hapa basi baadhi yao wanasikitika na kuugulia mawazo huko walipo kwa hizo komenti.
wamekubali kuuza utu wao atleast waheshimishe basi taaluma yao, level yao ya chini mnooo
 
MAJAJI WA TANZANIA NI MEMKWA WANAJIDHALILISHA SAAANA.
 
"Ondoa mapesa mengi kwenye siasa Ili kuzuia rushwa na ubadhirifu"
"Rasimu ya warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
 
wamekubali kuuza utu wao atleast waheshimishe basi taaluma yao, level yao ya chini mnooo
Juzi hapo bimkubwa kaawambia anasubiri awape promo la kwenda nje ya nchi kwenye seminar na mikutano ili wajifunze, wakirudi wawe na wapya.

Hao hao majaji, mahakimu wakienda na kurudi bado watakuwa waiga kufanya mahamuzi sababu wapo chini ya boss mwingine.

Vile jaji chande yupo Nairobi kuangalia mwenendo wa kesi ya uchaguzi, yaani unaweza nawaza sana!.
 
Yaani tunachaguliwa Mkiti wa mtaa,diwani,mbunge na raisi alafu unajilinganisha na wakenya acheni kuwadhalilisha wakenya jamaniiii.Leo hii eti mwigulu na nape ni mawaziri Alafu kuna watu mnajitoa ufahamu mnalinganisha tanzania na Kenya seriously!!?Ata wazanzibari tu wanatuzidi mbali saaana.kuna mtu nasikia amejiudhuru zanzibar.huku bara wahalifu wanapanda vyeo.
 
Jaji philomena wa kenya anakuambia weekend simu zao zilkuwa busy watu wanataka toa maelekezo
Lakini kwa kuwa majaji hao wana akili timamu wakasimamia taaluma yao
 
Nahisi mahakimu na majaji wetu wetu wanasoma vitu tofauti kabisa na wale wa nchi nyingine kama Kenya! hivyo huwezi kuwalinganisha kabisa.
 
Mkuu

Huelewi Nini sasa!

Kesi Hii inapigwa Dana dana ILI tupate uhalali kimataifa kuna demokrasia NCHINI ILI tupate
vi hela vile!!

Hayati na Tiss ya ccm walilikoroga wakalinywa KWA staili ya covid-19!!

Koleza Moto wa KATIBA NDUGU;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA!!
 
Ndio maana kila siku nasema wasomi wa Tanzania ndio wanatuangusha,eti jaji mzima unajua sheria vizur lkn anatokea mtu mwenye kadegree anakupangia nin cha kufanya wakati taaluma inakataa,njaa njaa njaa njaaaaaa.......
Na mtoa uzi jina lake hilo hilo Nja kali hatari!😀
 
kesi kubwaa sana ambayo kwa kweli sidhani kama kuna jaji wa tanzania mwenye level ya kuielewa achilia mbali kutolea maamuzi soon inaanza kunguruma hapo kenya maamuzi yake yanatarajiwa kutolewa mwezi ujao mwanzoni

Ni kesi kubwa kila upande unavutia kwake, hawa wanasema kuna wizi wa kura leo chebukati anakuambia alitembelewa saa tisa usiku na kina Amos wako wa BARAZA LA USALAMA LA TAIFA wakamuambia ahakikishe uchaguzi unarudiwa ,Rutto asitangazwe hiyo ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 15 siku aliyomtangaza WSR akakataa hadi commisioners wenzake wawepo na walifika kweli..kikao kikaisha bila yeye kukubali kufata matakwa ya DEEP STATE

Embu fkiria mfumo wa mahakama yetu ulivyochezewa na kuharibiwa hadi kisaikolojia umeharibika kabisa ungeweza kesi ya aina hii?

KAMA KESI YA WATU WABUNGE FEKI COVID 19 WENGINE WALIKUWA JELA USIKU KESHO MBUNGE INAWASHINDA MNAIPIGA DANADANA YA KENYA MNGEWEZA?

KIWANGO CHA MAJAJI WETU NI DUNI KABISAA, WAMEKUBALI KUJIDHARAULISHA ILA MBAYA ZAIDI WANADHARAULISHA TAALUMA YAO

KENYA LI KESI LIKUUBWA MWEZI UJAO WANALIMALIZA HAPA YA MZEE MDEE HADI 2025 HUKU MKISUBIRIA MPEWE MAELEKEZO, SHAME SHAME SHAME
INAWEZEKANA KESI ya Halima na Genge lake inahitaji USHAHIDI MKUBWA SANA
 
Back
Top Bottom