Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,348
- 3,038
Kweli lakini Mamndenyi aibuu [emoji85][emoji85][emoji85] basi tu tunajikaza kiume japo ni wanawakeeti mzee mdee
HAYA SASA NGOMA JUMATATU INATOLEWA MAAMUZI, HAPA YA MZEE MDEE NA MATAPELI WENZAKE 18 ITAVUUUTWA HADI 20125 KUTOKANA NA MAAMUZI KUTOKA JUU ETI WENYEWE WANAJISIFU NI POLITICAL SCIENCEMwezi ujao wanalimaliza. Unasifia mambo ambayo bado hayajafanyika. Vipi kama ikifika siku iliyotajwa halafu washindwe kuimaliza?
wamekubali kuuza utu wao atleast waheshimishe basi taaluma yao, level yao ya chini mnoooNimesoma komenti hakika kama jaji wa Tanzania amepitia hapa basi baadhi yao wanasikitika na kuugulia mawazo huko walipo kwa hizo komenti.
Juzi hapo bimkubwa kaawambia anasubiri awape promo la kwenda nje ya nchi kwenye seminar na mikutano ili wajifunze, wakirudi wawe na wapya.wamekubali kuuza utu wao atleast waheshimishe basi taaluma yao, level yao ya chini mnooo
Na mtoa uzi jina lake hilo hilo Nja kali hatari!😀Ndio maana kila siku nasema wasomi wa Tanzania ndio wanatuangusha,eti jaji mzima unajua sheria vizur lkn anatokea mtu mwenye kadegree anakupangia nin cha kufanya wakati taaluma inakataa,njaa njaa njaa njaaaaaa.......
INAWEZEKANA KESI ya Halima na Genge lake inahitaji USHAHIDI MKUBWA SANAkesi kubwaa sana ambayo kwa kweli sidhani kama kuna jaji wa tanzania mwenye level ya kuielewa achilia mbali kutolea maamuzi soon inaanza kunguruma hapo kenya maamuzi yake yanatarajiwa kutolewa mwezi ujao mwanzoni
Ni kesi kubwa kila upande unavutia kwake, hawa wanasema kuna wizi wa kura leo chebukati anakuambia alitembelewa saa tisa usiku na kina Amos wako wa BARAZA LA USALAMA LA TAIFA wakamuambia ahakikishe uchaguzi unarudiwa ,Rutto asitangazwe hiyo ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 15 siku aliyomtangaza WSR akakataa hadi commisioners wenzake wawepo na walifika kweli..kikao kikaisha bila yeye kukubali kufata matakwa ya DEEP STATE
Embu fkiria mfumo wa mahakama yetu ulivyochezewa na kuharibiwa hadi kisaikolojia umeharibika kabisa ungeweza kesi ya aina hii?
KAMA KESI YA WATU WABUNGE FEKI COVID 19 WENGINE WALIKUWA JELA USIKU KESHO MBUNGE INAWASHINDA MNAIPIGA DANADANA YA KENYA MNGEWEZA?
KIWANGO CHA MAJAJI WETU NI DUNI KABISAA, WAMEKUBALI KUJIDHARAULISHA ILA MBAYA ZAIDI WANADHARAULISHA TAALUMA YAO
KENYA LI KESI LIKUUBWA MWEZI UJAO WANALIMALIZA HAPA YA MZEE MDEE HADI 2025 HUKU MKISUBIRIA MPEWE MAELEKEZO, SHAME SHAME SHAME