Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Kweli watu wana ajenda zao....
Channel hii anayofanyia kazi ndugu ODEMBA imeamua kutuonyesha habari ya" vijana wa GenZ "wa Kenya na kuipa mgongo habari kubwa duniani ya mkutano wa baraza hili la kimaendeleo kati ya AFRIKA na CHINA....
Hivi kweli unaweza kutuonyesha MKUTANO WA MAMBO YA KILIMO huko Rwanda na kuiacha habari hii ya jukwaa la FOCAC ?!!!
Nimeamini hawa BBC ,AL JAZEERA wana AJENDA ZAO....
#Vijana Afrika Tutie Akili
#Huko Nje hatuna wajomba bali wadau wa maendeleo[emoji2956]
#Nchi Kwanza[emoji2956]
Channel hii anayofanyia kazi ndugu ODEMBA imeamua kutuonyesha habari ya" vijana wa GenZ "wa Kenya na kuipa mgongo habari kubwa duniani ya mkutano wa baraza hili la kimaendeleo kati ya AFRIKA na CHINA....
Hivi kweli unaweza kutuonyesha MKUTANO WA MAMBO YA KILIMO huko Rwanda na kuiacha habari hii ya jukwaa la FOCAC ?!!!
Nimeamini hawa BBC ,AL JAZEERA wana AJENDA ZAO....
#Vijana Afrika Tutie Akili
#Huko Nje hatuna wajomba bali wadau wa maendeleo[emoji2956]
#Nchi Kwanza[emoji2956]