BBC, Al jezeera zote ni channel za ubeberu. BBC ni ubeberu wa magharibi na Al jazeera kuacha suala la palestine ni chanel ya ubeberu wa magharibi na kiarabu. BBc utawaona wakikazia mambo ya njaa maafa, magonjwa na dhki afrika na pia mambo ya ovyo kama kueneza ushoga eti na haki za binadamu. Zikija habari njema au kuhimiza mambo ya uhuru na maendeleo ya kwelikiuchumi afrika huwaoni au uhusiana na nchi za china na urusi ambazo hazitafuti kulinyonya bara la afrika utaona wanajifanya kama hawana macho.