Aibu kubwa kwa BBC swahili kupitia chaneli ya Star TV kutoonyesha habari ya mkutano wa FOCAC huko China

Mkunazi Njiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2023
Posts
8,538
Reaction score
7,559
Kweli watu wana ajenda zao....

Channel hii anayofanyia kazi ndugu ODEMBA imeamua kutuonyesha habari ya" vijana wa GenZ "wa Kenya na kuipa mgongo habari kubwa duniani ya mkutano wa baraza hili la kimaendeleo kati ya AFRIKA na CHINA....

Hivi kweli unaweza kutuonyesha MKUTANO WA MAMBO YA KILIMO huko Rwanda na kuiacha habari hii ya jukwaa la FOCAC ?!!!

Nimeamini hawa BBC ,AL JAZEERA wana AJENDA ZAO....

#Vijana Afrika Tutie Akili

#Huko Nje hatuna wajomba bali wadau wa maendeleo[emoji2956]

#Nchi Kwanza[emoji2956]
 
Wanakomaa na FUTUHI
 
Nani aonyeshe upuuz wa watekaji watu.
 
Ni aibu kwa star tv ya akina Odemba, raia wa Kenya aliyetumwa kama mamluki wa kusababisha vurugu Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…