nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Jaji Mkuu wa awamu ya tano, you will go down as the worst Chief Justice in history.
Mwenzako IGP jeshi lake linadhalilishwa hadi na vijikatibu kata vya Ccm wanatoa amri kwa mapolisi.
Huko Handeni Godwin Gondwe na yeye anavaa sare ya JWTZ, ma doctor nao wanakaripiwa na kufukuzwa kazi na makatibu wa shina wa CCM . Ni tafrani tupu, sasa jionee maajabu ya video hapa.
Ama kwa hakika tumepatikana, misingi ya nchi inavunjwa vunjwa mbele yetu tukiona ukilalamika unasikia eti hauoni ndege and fly-overs?
Kama ni hivyo kina Mandela wangekausha tu maana makaburu yalinunua ndege na kujenga miundombinu zaidi ya Chattleville.
Walahi hawa vifutu wanaojimwambafai walishajua baba yao anapenda watu wa aina gani.
Huu ni ujinga sasa nchi imekuwa ya kipuuzi kwelikweli.
Mwenzako IGP jeshi lake linadhalilishwa hadi na vijikatibu kata vya Ccm wanatoa amri kwa mapolisi.
Huko Handeni Godwin Gondwe na yeye anavaa sare ya JWTZ, ma doctor nao wanakaripiwa na kufukuzwa kazi na makatibu wa shina wa CCM . Ni tafrani tupu, sasa jionee maajabu ya video hapa.
Ama kwa hakika tumepatikana, misingi ya nchi inavunjwa vunjwa mbele yetu tukiona ukilalamika unasikia eti hauoni ndege and fly-overs?
Kama ni hivyo kina Mandela wangekausha tu maana makaburu yalinunua ndege na kujenga miundombinu zaidi ya Chattleville.
Walahi hawa vifutu wanaojimwambafai walishajua baba yao anapenda watu wa aina gani.
Huu ni ujinga sasa nchi imekuwa ya kipuuzi kwelikweli.