Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Mtu upo chuo kikuu unashindwa kutambua kuwa haki za kimsingi zimeanishwa wazi kabisa kuanzia ibara ya 13 - 29 ya katiba ya JMT
Unabaki kubwabwaja hovyo kama unahara.
Sio kila kinachofanywa na serikali hakitakiwi kupingwa inategemea. Ndio maana ibara ya 18 ya katiba ya JMT inatoa haki ya kujieleza na kutafuta maoni.
Tahliso acheni utaahira
Unabaki kubwabwaja hovyo kama unahara.
Sio kila kinachofanywa na serikali hakitakiwi kupingwa inategemea. Ndio maana ibara ya 18 ya katiba ya JMT inatoa haki ya kujieleza na kutafuta maoni.
Tahliso acheni utaahira