Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,976
*Unaenda UKWENI...asubuhi unakaribishwa chai unaandaliwa wa kwanza wewe mezani unakuta kuna sahani ina chapati 3 na wewe unazila zote...*
*...wakati unamalizia kula ile chapati ya 3, baba mkwe naye anakuja kukaa mezani halafu anafoka mbona hamjaleta chapati...[emoji35]*
*...mama mkwe anajibu kwa nguvu zimeshaletwa hapo mezani kila mtu chapati moja moja...*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
*Hapo ndio utaelewa kwanini wimbo wa Taifa tangu 1962 ni audio tu hauna video*
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
*...wakati unamalizia kula ile chapati ya 3, baba mkwe naye anakuja kukaa mezani halafu anafoka mbona hamjaleta chapati...[emoji35]*
*...mama mkwe anajibu kwa nguvu zimeshaletwa hapo mezani kila mtu chapati moja moja...*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
*Hapo ndio utaelewa kwanini wimbo wa Taifa tangu 1962 ni audio tu hauna video*
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app