pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Inaonekana umeanza kuangalia ngumi hivi karibuni.Leo kuna pambano kati ya antony Joshua na andy Luiz, sasa kwenye Yale mapambano ya utangulizi wamepigana watanzania wawili,Mohammed na said wote wamepigwa ila kipigo cha huyu said ilikua balaa,kapigwa right jeb moja hatari sana,ilibidi madaktari wamuwai,pambano lilikua la round nne, dogo rounds ya kwanza tu kala jeb moja matata sana... Cha kusikitisha dgo aliemchapa anamiaka 19 tu wakati jamaa ana 32
Mtu kupigwa round ya kwanza ni kitu cha kawaida sana katika ngumi
Wanaomjua MIKE TYSON wanaelewa.