Aibu kwa Mahakama baada ya kuthibitika kuwa ilikuwa ikitoa hukumu kwa kuwaonea akina Mbowe

Aibu kwa Mahakama baada ya kuthibitika kuwa ilikuwa ikitoa hukumu kwa kuwaonea akina Mbowe

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Siku ya leo, Jaji wa mahakama kuu, Irvin Mgeta, ameandika historia, baada ya kubatilisha hukumu iliyokuwa imetolewa na Hakimu, Thomas Simba, wa mahakama ya Kisutu, hapo mwezi March, 2020, ambapo aliwatia hatiani viongozi hao wa Chadema, kwa Makosa 10 Kati ya 11, waliokuwa wameshitakiwa nayo.

Najiuliza hivi huyo Hakimu Thomas Simba, aliwezaje kuwahukumu akina Mbowe, kulipa faini au kwenda jela miezi 5 wakati walikuwa hawana hatia, kama ambavyo amebaini Jaji wa mahakama kuu, Irvin Mgeta?

Watanzania tunautegemea mhimili wa mahakama ututendee haki bila ukiangalia itikadi zetu za kisiasa, kwa kuwa inafahamika wazi, ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, ibara ya 3, kuwa nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi

Kwa kutotenda haki kwa mhimili huo , kwa kuwaonea waziwazi wapinzani wa nchi hii, imeleta doa kubwa Sana kuwa mhimili huo wa kutoa haki na wananchi wataanza kukosa imani kuwa mhimili huo unatoa hukumu zake kwa kuwaonea wapinzani.

Imenenwa katika Biblia, katika kitabu cha Mithali sura ya 14:34 kuwa "Haki huinua Taifa, bali dhambi ni aibu ya watu wote"

Hakimu Simba aliwezsje kuwatia hatiani viongozi hao wa Chadema kwa ajili tu ya kufanya maandamano, ambayo ni halali kwa mujibu wa Katiba yetu, wakimlalamikia Mkurugenzi wa wilaya hiyo ya Kinondoni kwa kutoa viapo vya mawakala wa CCM huku akiwanyima wale wa Chadema?
 
Mahakama tunaionea, kuna mtu alikuwa ameshika remote.
Mahakama ni mhimili ulio huru na unaopaswa kutenda kazi zake kwa haki na weledi wa hali ya juu

Kwa kusingizia kuwa walikuwa wakitoa hukumu kwa kufuata maelekezo toka juu, walikuwa VERY WRONG
 
Mleta uzi ulihitaji PhD kujua kuwa Bladifakenii enzi zake aliweka mihimili yote mfukoni mwake?

87659087.jpg
 
Ilihitaji zaidi ya akili ya “kinyonge “ kung’amua hilo
Rejea viguvugu la katiba. Nape aliuliza wanuonge wanataka katiba au maji, nadhani jibu la wanyonge unalo😂😂
 
Ila tusiishie hapa lazima Kuna watu wanapaswa kuwajibika.
 
Inabidi tutoe fundisho ili kima yeyote asije akachezea taifa hili tena watu Kama ndugai na hiyo Simba they must be taught a lesson.
 
Siku ya leo, Jaji wa mahakama kuu, Irvin Mgeta, ameandika historia, baada ya kubatilisha hukumu iliyokuwa imetolewa na Hakimu, Thomas Simba, wa mahakama ya Kisutu, hapo mwezi March, 2020, ambapo aliwatia hatiani viongozi hao wa Chadema, kwa Makosa 10 Kati ya 11, waliokuwa wameshitakiwa nayo.

Najiuliza hivi huyo Hakimu Thomas Simba, aliwezaje kuwahukumu akina Mbowe, kulipa faini au kwenda jela miezi 5 wakati walikuwa hawana hatia, kama ambavyo amebaini Jaji wa mahakama kuu, Irvin Mgeta?

Watanzania tunautegemea mhimili wa mahakama ututendee haki bila ukiangalia itikadi zetu za kisiasa, kwa kuwa inafahamika wazi, ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, ibara ya 3, kuwa nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi

Kwa kutotenda haki kwa mhimili huo , kwa kuwaonea waziwazi wapinzani wa nchi hii, imeleta doa kubwa Sana kuwa mhimili huo wa kutoa haki na wananchi wataanza kukosa imani kuwa mhimili huo unatoa hukumu zake kwa kuwaonea wapinzani.

Imenenwa katika Biblia, katika kitabu cha Mithali sura ya 14:34 kuwa "Haki huinua Taifa, bali dhambi ni aibu ya watu wote"

Hakimu Simba aliwezsje kuwatia hatiani viongozi hao wa Chadema kwa ajili tu ya kufanya maandamano, ambayo ni halali kwa mujibu wa Katiba yetu, wakimlalamikia Mkurugenzi wa wilaya hiyo ya Kinondoni kwa kutoa viapo vya mawakala wa CCM huku akiwanyima wale wa Chadema?
Wilbard Mashauri alipowafutia dhamana Mbowe na Esther Matiku akapewa RUSHWA ya kuwa JAJI na Mwendazake. Kisha akamuachia Thomas Simba kesi ile.
Naye Simba kwanza akaongezewa miaka ya kustaafu 2, na kisha akaahidiwa UJAJI. Bahati mbaya kwake Mwendazake amekufa kabla hajampa hicho cheo.

Kati ya hawa akina Mashauri na Simba kulikuwa Jaji Kiongozi Eleazar Feleshi ndiye alikuwa anaandika zile hukumu. Hawa kazi yao ilikuwa kusikikikiza ushahidi na kusoma hukumu siku ya hukumu. Ndiyo maana hakuna correlation kati ya Court Proceedings na Ruling
 
Mahakama ni mhimili ulio huru na unaopaswa kutenda kazi zake kwa haki na weledi wa hali ya juu

Kwa kusingizia kuwa walikuwa wakitoa hukumu kwa kufuata maelekezo toka juu, walikuwa VERY WRONG
Kinachowawehusha mahakimu wengi na kufikia kutoa hukumu za kuwafurahisha wanasiasa. Ni kupigania uteuzi . Kumbuka hakimu aliyekuwa na hiyo kesi kabla hakimu Simba alilamba uteuzi (judge) somebody Mashauri. Ni kwa njia hiyo maadili ya mahakama huru huathiriwa .

Pili na kubwa kabisa . Katiba ya 1977 ina mapungufu mengi ikiwa ni pamoja na kumrundikia Rais madaraka yaliopitiliza
 
Ni Watanzania wangapi waliothubutu kumwambia bwana mkubwa kuwa hili si sahihi? Wengiu waliofanya hivyo walificha identity zao,. Tusiwalaumu sana mahakimu
 
Siku ya leo, Jaji wa mahakama kuu, Irvin Mgeta, ameandika historia, baada ya kubatilisha hukumu iliyokuwa imetolewa na Hakimu, Thomas Simba, wa mahakama ya Kisutu, hapo mwezi March, 2020, ambapo aliwatia hatiani viongozi hao wa Chadema, kwa Makosa 10 Kati ya 11, waliokuwa wameshitakiwa nayo.

Najiuliza hivi huyo Hakimu Thomas Simba, aliwezaje kuwahukumu akina Mbowe, kulipa faini au kwenda jela miezi 5 wakati walikuwa hawana hatia, kama ambavyo amebaini Jaji wa mahakama kuu, Irvin Mgeta?

Watanzania tunautegemea mhimili wa mahakama ututendee haki bila ukiangalia itikadi zetu za kisiasa, kwa kuwa inafahamika wazi, ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, ibara ya 3, kuwa nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi

Kwa kutotenda haki kwa mhimili huo , kwa kuwaonea waziwazi wapinzani wa nchi hii, imeleta doa kubwa Sana kuwa mhimili huo wa kutoa haki na wananchi wataanza kukosa imani kuwa mhimili huo unatoa hukumu zake kwa kuwaonea wapinzani.

Imenenwa katika Biblia, katika kitabu cha Mithali sura ya 14:34 kuwa "Haki huinua Taifa, bali dhambi ni aibu ya watu wote"

Hakimu Simba aliwezsje kuwatia hatiani viongozi hao wa Chadema kwa ajili tu ya kufanya maandamano, ambayo ni halali kwa mujibu wa Katiba yetu, wakimlalamikia Mkurugenzi wa wilaya hiyo ya Kinondoni kwa kutoa viapo vya mawakala wa CCM huku akiwanyima wale wa Chadema?
Hukumu hiyo haikutolewa na mahakama bali serikali (executive) ilitoa hukumu kupitia mahakama.
 
Kama mahakama inaweza kuburuzwa hivyo kuna haja gani ya kuwepo ?
katiba inarihusu muhimili mmoja kujichimbia chini zaidi, hivyo kuwachagua ama ku'influence upatikanaji wa wakuu wa mihimili mingine..

sasa umkute mkuu wa muhimili uliojichimbia chini zaidi ni mtata na ameshika remote, nani ataongea mkuu kama anajipenda au hapendi kazi yake?
 
Wilbard Mashauri alipowafutia dhamana Mbowe na Esther Matiku akapewa RUSHWA ya kuwa JAJI na Mwendazake. Kisha akamuachia Thomas Simba kesi ile.
Naye Simba kwanza akaongezewa miaka ya kustaafu 2, na kisha akaahidiwa UJAJI. Bahati mbaya kwake Mwendazake amekufa kabla hajampa hicho cheo.

Kati ya hawa akina Mashauri na Simba kulikuwa Jaji Kiongozi Eleazar Feleshi ndiye alikuwa anaandika zile hukumu. Hawa kazi yao ilikuwa kusikikikiza ushahidi na kusoma hukumu siku ya hukumu. Ndiyo maana hakuna correlation kati ya Court Proceedings na Ruling
This is incredible. Mbowe na Esther walifutiwa dhamana kwa kutotii masharti ya dhamana. Uamuzi wa Jaji ni uamuzi mahala hapo wakati huo, ndiyo maana kuna mahakama za rufaa. Jaji Simba ana haki ana wajibu ya kuamua anavyoona, na alitoa sababu zake, akasema wanaweza kukata rufaa. Jaji huyu mwingine naye katoa hukumu yake kadiri alivyoona na katoa sababu zake. Serkali ikikata rufaa pia itakuwta sawa, huko nako Jaji atakayekutwa ataamuabjinsoi atakavyoona na atatoa sababu zake. Hiyo ndiyo njia yankutafutabhaki, kuna kudhindwa na kudhinda,adiyerifhika hukata rufaa ya juu, bado ndiyo democracy.

Serkali ikikata rufaa bila shaka itashinda, uamuzi wa huyu Jaji umeacha kujibu hoja halisi. Waliandamana, yes, kinatakiwa kibali. Walipewa ilani na Polisi, hii ni sheria, hawakutii. Mbowe alihamasisha tubebe majeneza, hii tulisik8a wote, wameponaje? Kama kweli majaji wetu wanajipendejeza kwacraus, basi huyu mwebxetu kaona mbali kamuona rais tundulissu
 
Back
Top Bottom