sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ni dhahiri kabisa Rais Biden afya yake ya akili imezorota sana.
Akiwa anatoa hotuba kasema kuna dozi za ziada bilioni 100 (badala ya kusema milioni 100) na zitakuwa kwajili ya wamarekani 300 (badala ya kusema wamarekani milioni 300), hakuishia hapo alikazia hiki alichokisema kwa kurudia kukisema.
Ila cha ajabu media inafanya kazi overtime kumsahisha, sipati picha ingekuwa ni raisi republican.
Holy cow !! america is being led by a senile
Akiwa anatoa hotuba kasema kuna dozi za ziada bilioni 100 (badala ya kusema milioni 100) na zitakuwa kwajili ya wamarekani 300 (badala ya kusema wamarekani milioni 300), hakuishia hapo alikazia hiki alichokisema kwa kurudia kukisema.
Ila cha ajabu media inafanya kazi overtime kumsahisha, sipati picha ingekuwa ni raisi republican.
Holy cow !! america is being led by a senile