BoManganese
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 980
- 2,679
Habari zenu wanaJF.
Leo imetokea nimekumbuka tukio fulani hivi lililonitia aibu kubwa ugenini kila nikifikiria nachekea na kuhuzunika at the same time.
Ili kuwa ni hivi kipindi hicho nimepata safari ya kwenda kwa ma mkubwa baada ya likizo nakumbuka ilikuwa form 5 kwenda 6. Nilifika ugegeni na kupokelewa vizuri sana na kupewa sifa kedekede kwamba mimi ni kijana mpole na mstaarabu sana.
Pale palikuwa na madogo wengine wa sekondari wawili wa kiume wote sasa baada siku mbili tatu kuzoea mazingira pale nilikuwa sio mtu wa kuzurura kwasababu sikuwa nimeizoea mitaa ya kule.
Sasa siku nikopale mida ya alasiri nikajikuta niko mwenyewe mule ndani nikaona ngoja nicheki CD nione kuna movie gani niangalie nilikuta CD nyingi nikawa nabadili kwa kuwa movie zenyewe zilikuwa za zamani.
Sasa katika kuchekicheki nilikuta CD mbili zimebananishwa katika kasha moja CD moja ilikuwa ni ya movies lakini ile nyingine ilikuwa nyeupe tuu haina jina. Nikaweka hiyo CD nyeupe nijue ina nini aisee kumbe ilikuwa ni porn.
Wakati ile CD inaendelea kuplay sijui ni shetani gani liliniingia nikajikuta nimeduwaa tuu naiangalia. Ujinga nilioufanya ni pale niliposema ngoja nikimbie mara moja jikoni nikanywe maji ili nirudi chap kucheki uhondo.
Niliacha CD inaendelea kuplay pale mi nienda jikoni kwenye fidge sasa wakati nahangaika kumimina fasta fasta mara nasikia sauti kama za watu sebleni. Aisee moyo ulilipuka paaaah nikawa naomba wasiwe watu kweli.
Nikaenda fasta moja kwa moja sebleni ile nimesimama malangoni kutokea jikoni nakutana macho kwa macho na wageni watatu pamoja na ma mkubwa aisee mpaka leo najiuliza wale watu waliingiaje mule ndani bila ya mimi kusikia.
Ma mkumbwa akaenda kuzima ile tv maana bado ilikuwa inaplay watu wanakulana mzigo. Mimi niliwasalimia nikanyoosha moja kwa moja nje nikiwa na aibu kubwa mno pamoja na uoga.
Nilikaa nje mpaka usiku nikifanya mipango ya nauli nisepe maana ilikuwa ni bagamoyo mimi kwetu ilikuwa ni DSM. Kweli nilifanikisha kupata nauli nilipoingia ndani nikamwambia ma mkumbwa mi naomba niende nyumbani nisamehe sana kwa nilicho kifanya nilimwelekeza kuwa zile CD nilizikuta kule kule, japo alinihasa nisiondoke amenisamehe lakini niliforce mpaka nikasepa.
Vipi kwenu wadau tukio gani lilikuaibisha sana ugenini mpaka ukashindwa kukaa huko.
Leo imetokea nimekumbuka tukio fulani hivi lililonitia aibu kubwa ugenini kila nikifikiria nachekea na kuhuzunika at the same time.
Ili kuwa ni hivi kipindi hicho nimepata safari ya kwenda kwa ma mkubwa baada ya likizo nakumbuka ilikuwa form 5 kwenda 6. Nilifika ugegeni na kupokelewa vizuri sana na kupewa sifa kedekede kwamba mimi ni kijana mpole na mstaarabu sana.
Pale palikuwa na madogo wengine wa sekondari wawili wa kiume wote sasa baada siku mbili tatu kuzoea mazingira pale nilikuwa sio mtu wa kuzurura kwasababu sikuwa nimeizoea mitaa ya kule.
Sasa siku nikopale mida ya alasiri nikajikuta niko mwenyewe mule ndani nikaona ngoja nicheki CD nione kuna movie gani niangalie nilikuta CD nyingi nikawa nabadili kwa kuwa movie zenyewe zilikuwa za zamani.
Sasa katika kuchekicheki nilikuta CD mbili zimebananishwa katika kasha moja CD moja ilikuwa ni ya movies lakini ile nyingine ilikuwa nyeupe tuu haina jina. Nikaweka hiyo CD nyeupe nijue ina nini aisee kumbe ilikuwa ni porn.
Wakati ile CD inaendelea kuplay sijui ni shetani gani liliniingia nikajikuta nimeduwaa tuu naiangalia. Ujinga nilioufanya ni pale niliposema ngoja nikimbie mara moja jikoni nikanywe maji ili nirudi chap kucheki uhondo.
Niliacha CD inaendelea kuplay pale mi nienda jikoni kwenye fidge sasa wakati nahangaika kumimina fasta fasta mara nasikia sauti kama za watu sebleni. Aisee moyo ulilipuka paaaah nikawa naomba wasiwe watu kweli.
Nikaenda fasta moja kwa moja sebleni ile nimesimama malangoni kutokea jikoni nakutana macho kwa macho na wageni watatu pamoja na ma mkubwa aisee mpaka leo najiuliza wale watu waliingiaje mule ndani bila ya mimi kusikia.
Ma mkumbwa akaenda kuzima ile tv maana bado ilikuwa inaplay watu wanakulana mzigo. Mimi niliwasalimia nikanyoosha moja kwa moja nje nikiwa na aibu kubwa mno pamoja na uoga.
Nilikaa nje mpaka usiku nikifanya mipango ya nauli nisepe maana ilikuwa ni bagamoyo mimi kwetu ilikuwa ni DSM. Kweli nilifanikisha kupata nauli nilipoingia ndani nikamwambia ma mkumbwa mi naomba niende nyumbani nisamehe sana kwa nilicho kifanya nilimwelekeza kuwa zile CD nilizikuta kule kule, japo alinihasa nisiondoke amenisamehe lakini niliforce mpaka nikasepa.
Vipi kwenu wadau tukio gani lilikuaibisha sana ugenini mpaka ukashindwa kukaa huko.