AIBU: Wachungaji KKKT wampinga Dk Shoo

AIBU: Wachungaji KKKT wampinga Dk Shoo

Haki KKKT wanaongoza kwa mihogoro ya hapa na pale jamani, huku kwetu washapiganaga na fyombo fya Dola fikaja.

[emoji849][emoji120]Nasadiki kwa kanisa moja Katoliki Takatifu la Mitume, Naungama na ubatizo mmoja wa maondoleo ya Dhambi.
Nangojea na ufufuko wa wafu na uzima wa milele ijayo!.


Sent from
wote mpo fungu moja wala msichekane, mnatakiwa kuokoka mnapoteza sana muda na hayo makatekisimo yenu. mnaabudu dini, mnatakiwa muokoke mmmwabudu Mungu katika Roho na kweli.
 
Mwaikali amewachokoza wanyakyusa hilo bifu haliishi hadi atumbuliwe au ajiuzulu.
Ameingia chakike.
Amewakosea sana waumini wote wa Mbeya.Kitendo tu msaidizi wake kutokukubali huo uhuni alipaswa kujiuliza.
 
Kanisa likijaa wachaga jua kifuatacho ITV ni upigani na maslahi kwenda mbele..wachaga dini yao kuu ni Pesa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hawa Maaskofu kipindi wakiwa ktk daraja la Uchungaji wanakuwa watumishi na viongozi wa kiroho kwa baadhi balaa huanza baada ya kupanda na kupata daraja la Uaskofu, hugeuka na kuwa watawala na si watumishi tena na maamuzi na mipango yao hujaa siasa siasa.

Sasa kama huyu Askofu sijasikia kama aliomba radhi kwa wakristo na watenda kazi wenzake kwa usumbufu aliouleta kwa kung'ang'ania kuhama, hasa baada ya viongozi wake wa juu kubatilisha maamuzi yake. Biblia inahimiza watu kutafuta amani na utakatifu, hawa viongozi wakubwa kabisa ktk makanisa ndio vinara wa kuanzisha migogoro, chuki, watu wanaongoza zaidi kwa maneno na si kwa matendo. Ndio maana viongozi wa dini wenye ujasiri wa kukemea mambo yasiyofaa yanayofanywa na viongozi wa serikali na kada nyingine wako wachache.
Mungu atuhurumie.
Muundo wa utawala ni yeye Mwaikali kakiuka.
Jibu ni;
Jina la Dayosisi KKKT-KONDE.
Makao makuu TUKUYU.
Kiti cha kiuaskofu- TUKUYU CATHEDRAL.
Umiliki wa kiwanja cha Makao makuu-Tukuyu.
Umiliki wa kilipo kiti cha Uaskofu ni ni Tukuyu.

Anaposimikwa alikabidhiwa hiyo katiba inayomwelekeza makao yalipo,akapewa na HATI MAALUM.

Ni hekima tu kaitumia mkuu wa kanisa kusema hivi.
"KITI CHA UASKOFU WA MWAIKALI KIRUDI TUKUYU"
Maana yake kama hataki anatakiwa kujiuzuru au kubaki mbeya mjini kusiko na
KITI CHA UASKOFU usiokuwa na hati.
KITI CHA UASKOFU wa hati maalumu wa Mwaikali kipo TUKUYU.
Kauli ya mkuu wa kanisa asipoitii waumini wanahaki yakumshitaki kwa uhaini.Pia amekosa sifa yakuwa mdhamini wa Dayosisi..
 
Muundo wa utawala ni yeye Mwaikali kakiuka.
Jibu ni;
Jina la Dayosisi KKKT-KONDE.
Makao makuu TUKUYU.
Kiti cha kiuaskofu- TUKUYU CATHEDRAL.
Umiliki wa kiwanja cha Makao makuu-Tukuyu.
Umiliki wa kilipo kiti cha Uaskofu ni ni Tukuyu.

Anaposimikwa alikabidhiwa hiyo katiba inayomwelekeza makao yalipo,akapewa na HATI MAALUM.

Ni hekima tu kaitumia mkuu wa kanisa kusema hivi.
"KITI CHA UASKOFU WA MWAIKALI KIRUDI TUKUYU"
Maana yake kama hataki anatakiwa kujiuzuru au kubaki mbeya mjini kusiko na
KITI CHA UASKOFU usiokuwa na hati.
KITI CHA UASKOFU wa hati maalumu wa Mwaikali kipo TUKUYU.
Kauli ya mkuu wa kanisa asipoitii waumini wanahaki yakumshitaki kwa uhaini.Pia amekosa sifa yakuwa mdhamini wa Dayosisi..
kwani, si muachane na hilo kanisa mwende makanisa mengine, lazima msali hapo? au dhehebu litawapeleka mbinguni.
 
Haki KKKT wanaongoza kwa mihogoro ya hapa na pale jamani, huku kwetu washapiganaga na fyombo fya Dola fikaja.

[emoji849][emoji120]Nasadiki kwa kanisa moja Katoliki Takatifu la Mitume, Naungama na ubatizo mmoja wa maondoleo ya Dhambi.
Nangojea na ufufuko wa wafu na uzima wa milele ijayo!.


Sent from
RC waumini wake ni ndio mzee, kwahiyo kukuta migogoro hadharani ni nadra sana
 
Haki KKKT wanaongoza kwa mihogoro ya hapa na pale jamani, huku kwetu washapiganaga na fyombo fya Dola fikaja.

[emoji849][emoji120]Nasadiki kwa kanisa moja Katoliki Takatifu la Mitume, Naungama na ubatizo mmoja wa maondoleo ya Dhambi.
Nangojea na ufufuko wa wafu na uzima wa milele ijayo!.


Sent from
Njombe ...
 
kwani, si muachane na hilo kanisa mwende makanisa mengine, lazima msali hapo? au dhehebu litawapeleka mbinguni.
Kanisa ni la Mungu
Dini ni za wanadamu
Wanatetea kanisa la Mungu,ndio maana ya
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania.K.K.K.T

Askofu hana umiliki
 
RC waumini wake ni ndio mzee, kwahiyo kukuta migogoro hadharani ni nadra sana
nimesema ninyi nyote mmepotea, bado mnaabudu dini kuliko Mungu,okokeni mmwabudu Mungu katika Roho na kweli. huko RC si juzi hapa wametaka kuchoma kanisa songea? ninyi huwa mnahukumu watu hapahapa duniani, asiyehudhuria vizuri kanisani hamumziki kabisa kabisa ndio maana mapadre kwenu ninyi ni miungu watu kwasabbu huwa mnaogopwa mtazikwa na nani na wao wamewashika masikio hapo mnawaabudu. msiwacheke wenzenu.
 
Ni aibu sana Kanisani kuwa na mambo haya ya kugombana na kubishana
 
Kanisa limevamiwa na watu wasiomjua wala kumwogopa Mungu. Roho Mtakatifu aliishaondoka kwao.
 
Back
Top Bottom