Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
- Thread starter
- #81
Kama wachungaji wana roho za kishetani utakuja kusaidia nini Kondoo.Ulitaka hiyo migogoro iwe kwenye nini labda?
Tamaa ya mali na madaraka imaliharibu hili kanisa limekuwa pango la wanyanganyi, muwe na aibu hata kidogo sasa mnamwakilisha Mungu yupi sasa, Wamafarakano hopeless kabisa halafu anajitoka mtu kama huyu anatetea ujinga jinga kabisa.