Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
wote mpo fungu moja wala msichekane, mnatakiwa kuokoka mnapoteza sana muda na hayo makatekisimo yenu. mnaabudu dini, mnatakiwa muokoke mmmwabudu Mungu katika Roho na kweli.Haki KKKT wanaongoza kwa mihogoro ya hapa na pale jamani, huku kwetu washapiganaga na fyombo fya Dola fikaja.
[emoji849][emoji120]Nasadiki kwa kanisa moja Katoliki Takatifu la Mitume, Naungama na ubatizo mmoja wa maondoleo ya Dhambi.
Nangojea na ufufuko wa wafu na uzima wa milele ijayo!.
Sent from
Amewakosea sana waumini wote wa Mbeya.Kitendo tu msaidizi wake kutokukubali huo uhuni alipaswa kujiuliza.Mwaikali amewachokoza wanyakyusa hilo bifu haliishi hadi atumbuliwe au ajiuzulu.
Ameingia chakike.
Hiii we nini [emoji2]wote mpo fungu moja wala msichekane, mnatakiwa kuokoka mnapoteza sana muda na hayo makatekisimo yenu. mnaabudu dini, mnatakiwa muokoke mmmwabudu Mungu katika Roho na kweli.
Shoo mwenyewe si mchungaji wa chadema, chama cha wachaga?Kanisa likijaa wachaga jua kifuatacho ITV ni upigani na maslahi kwenda mbele..wachaga dini yao kuu ni Pesa.
#MaendeleoHayanaChama
Kanisa likijaa wachaga jua kifuatacho ITV ni upigani na maslahi kwenda mbele..wachaga dini yao kuu ni Pesa.
#MaendeleoHayanaChama
Muundo wa utawala ni yeye Mwaikali kakiuka.Hawa Maaskofu kipindi wakiwa ktk daraja la Uchungaji wanakuwa watumishi na viongozi wa kiroho kwa baadhi balaa huanza baada ya kupanda na kupata daraja la Uaskofu, hugeuka na kuwa watawala na si watumishi tena na maamuzi na mipango yao hujaa siasa siasa.
Sasa kama huyu Askofu sijasikia kama aliomba radhi kwa wakristo na watenda kazi wenzake kwa usumbufu aliouleta kwa kung'ang'ania kuhama, hasa baada ya viongozi wake wa juu kubatilisha maamuzi yake. Biblia inahimiza watu kutafuta amani na utakatifu, hawa viongozi wakubwa kabisa ktk makanisa ndio vinara wa kuanzisha migogoro, chuki, watu wanaongoza zaidi kwa maneno na si kwa matendo. Ndio maana viongozi wa dini wenye ujasiri wa kukemea mambo yasiyofaa yanayofanywa na viongozi wa serikali na kada nyingine wako wachache.
Mungu atuhurumie.
kwani, si muachane na hilo kanisa mwende makanisa mengine, lazima msali hapo? au dhehebu litawapeleka mbinguni.Muundo wa utawala ni yeye Mwaikali kakiuka.
Jibu ni;
Jina la Dayosisi KKKT-KONDE.
Makao makuu TUKUYU.
Kiti cha kiuaskofu- TUKUYU CATHEDRAL.
Umiliki wa kiwanja cha Makao makuu-Tukuyu.
Umiliki wa kilipo kiti cha Uaskofu ni ni Tukuyu.
Anaposimikwa alikabidhiwa hiyo katiba inayomwelekeza makao yalipo,akapewa na HATI MAALUM.
Ni hekima tu kaitumia mkuu wa kanisa kusema hivi.
"KITI CHA UASKOFU WA MWAIKALI KIRUDI TUKUYU"
Maana yake kama hataki anatakiwa kujiuzuru au kubaki mbeya mjini kusiko na
KITI CHA UASKOFU usiokuwa na hati.
KITI CHA UASKOFU wa hati maalumu wa Mwaikali kipo TUKUYU.
Kauli ya mkuu wa kanisa asipoitii waumini wanahaki yakumshitaki kwa uhaini.Pia amekosa sifa yakuwa mdhamini wa Dayosisi..
RC waumini wake ni ndio mzee, kwahiyo kukuta migogoro hadharani ni nadra sanaHaki KKKT wanaongoza kwa mihogoro ya hapa na pale jamani, huku kwetu washapiganaga na fyombo fya Dola fikaja.
[emoji849][emoji120]Nasadiki kwa kanisa moja Katoliki Takatifu la Mitume, Naungama na ubatizo mmoja wa maondoleo ya Dhambi.
Nangojea na ufufuko wa wafu na uzima wa milele ijayo!.
Sent from
Njombe ...Haki KKKT wanaongoza kwa mihogoro ya hapa na pale jamani, huku kwetu washapiganaga na fyombo fya Dola fikaja.
[emoji849][emoji120]Nasadiki kwa kanisa moja Katoliki Takatifu la Mitume, Naungama na ubatizo mmoja wa maondoleo ya Dhambi.
Nangojea na ufufuko wa wafu na uzima wa milele ijayo!.
Sent from
Kanisa ni la Mungukwani, si muachane na hilo kanisa mwende makanisa mengine, lazima msali hapo? au dhehebu litawapeleka mbinguni.
nimesema ninyi nyote mmepotea, bado mnaabudu dini kuliko Mungu,okokeni mmwabudu Mungu katika Roho na kweli. huko RC si juzi hapa wametaka kuchoma kanisa songea? ninyi huwa mnahukumu watu hapahapa duniani, asiyehudhuria vizuri kanisani hamumziki kabisa kabisa ndio maana mapadre kwenu ninyi ni miungu watu kwasabbu huwa mnaogopwa mtazikwa na nani na wao wamewashika masikio hapo mnawaabudu. msiwacheke wenzenu.RC waumini wake ni ndio mzee, kwahiyo kukuta migogoro hadharani ni nadra sana
Sawa mwamposawote mpo fungu moja wala msichekane, mnatakiwa kuokoka mnapoteza sana muda na hayo makatekisimo yenu. mnaabudu dini, mnatakiwa muokoke mmmwabudu Mungu katika Roho na kweli.
siwezi kuwa mwamposa hata siku moja, imani za mafuta yake siziamini na siamini kama ni za Mungu. hebu futa kauli.Sawa mwamposa
Umeyakandia makanisa (RC na KKKT) Huja toa uelekeo twende kanisa gani mkuusiwezi kuwa mwamposa hata siku moja, imani za mafuta yake siziamini na siamini kama ni za Mungu. hebu futa kauli.
Mwaikali amewachokoza wanyakyusa hilo bifu haliishi hadi atumbuliwe au ajiuzulu.
Ameingia chakike.