AIBU: Wachungaji KKKT wampinga Dk Shoo

Kitendo cha KKKT kufanya uchaguz kama zile za SSM ..kumtafuta mbu.nge wa kuwakilisha jimbo ni chanzo kizuri mno cha migogoro katika kanisa hili watu hutoa hadi rushwa ili achaguliwe ...
 
KKKT mnakopi na kupesti migogoro kutoka Anglikana. Anglikana ndio baba wa migogoro kwa makanisa yote duniani.

Wametulia kwa muda subiri waliamshe dude.
 
KKKT mnakopi na kupesti migogoro kutoka Anglikana. Anglikana ndio baba wa migogoro kwa makanisa yote duniani.

Wametulia kwa muda subiri waliamshe dude.
umesahau moravian kwa kina anayejiita askofu wa chadema mwamakula (asiye hata na kanisa wala waumini wa maana), kuna kikanisa pale kimara kila wakati polisi huwa wanaenda kuamulia ugomvi waumini na wachungaji wameshikana mashati wanapigana ngumi. kila mtu mbabe kuanzia waumini, wazee wa kanisa hadi wachungaji.
 
Kitendo cha KKKT kufanya uchaguz kama zile za SSM ..kumtafuta mbu.nge wa kuwakilisha jimbo ni chanzo kizuri mno cha migogoro katika kanisa hili watu hutoa hadi rushwa ili achaguliwe ...
Hakuna rushwa ili awe Askofu,mchakato wake sikama unavyochukulia.
Pili hakuna kugombea.
Kwani huyo Mwaikali ni msafwa?.
Akiwa msaidizi alichemka.
Wakadhani amebadilika akiwa ya mfumo.Sasa anawakimbiza hadi anahamisha kiti cha kikuhani wakati hakukiweka mimbarani.Moja ya watu waliopaswa kuwa wanyenyekevu kihuduma ni huyu.Sasa kafungua mafaili yote
 
Moravian angalau kidogo. Anglikana ndio baba lao.
 
Nina washikaj zangu wanne Ni wachungaji wa Lutheran.
Kila wkend Kuanzia ijumaa hua tunakula bia mwanzo mwisho na wanapenda bebez Ni hatari .
Jumapili tupo church
 
Suluhisho la migogoro ya madhehebu ni kugawanyika tu. Kkkt inashindwa nini kugawanyika vipandevipande kama wale wengine waliogawanyika mpaka wakatokea wenye ministry a.k.a mitume na manabii, na wanajaza watu kwenye ministry zao kwa amani na maisha yanaendelea
 
Inakuwaje mtu anakiuka utaratibu ili hali kuna utaratibu wa kumahuglikia
 
Hah hah Askofu Shoo alidhani KKKT Dayosisi ya Konde ni sawa na Chadema kule Kilimanjaro, sasa nyumba yake mwenyewe inateketea kwa kukosa maarifa,askofu Shoo wakati mwingi anatumia na kupoteza muda kuongelea na kukashifu uongozi wa serikali kwa kuwa ana mahaba na mchaga mwenzake, na anasahau majukumu yake hadi anadhauriwa na waumini wake, nadhani angetumia busara kutatua hilo tatizo la Dayosisi ya Konde kwani kama alikuwa hajui sasa ndio atajua Wanyakyusa ni watu wabishi na wenye msimamo wakisema HAPANA basi jua ni HAPANA ,hawapepesi macho wala kumwangalia sijui huyu ni nani, Wanyakyusa ni masikini jeuri wakiamua ,wameamua.
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Hiyo ilikua polite reminder tu kwamba ukinyooshea mtu kidole kimoja kuna vidole 3 vinakunyookea wewe. Tusijihesabie haki. Wote tumeoza, ni wadhambi. Na dhehebu halimpeleki mtu mbinguni bali matendo yake. Good night Princess
Hamna noma nmekusoma Kuhani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…