Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Zaidi ya Futuhi!Kwahiyo ni FUTUHI tu?
Dalali.Wenje ni nani wake na Mbowe?
Sana!Wenje janja janja tu 😄
Ova
Huyu namjuwa tokea yuko baclays bank kwenye siasa hajaingia...Sana!
Mjanja mjanja na mtu wa fursa.Huyu namjuwa tokea yuko baclays bank kwenye siasa hajaingia...
Siku zote huwa nawaambia watu ukishamjuwa mtu wala hupati tabu!😄
Any way huko kwenye siasa ndiyo
Kumemfaa zaidi lakini
Ova
Mimi nauliza, kwa nini Team Lissu waliokuwemo katika Kamati Kuu walikuwa wanakimbia nchi na kumuacha Mbowe?Katoa tuhuma za pesa za join the chain kwamba zilichangwa kwa ajili ya uasi.
Kaulizwa, iwaje pesa zilizoingia kwenye fuko la Chama rasmi zitumiwe na waasi?
Kaulizwa, kwa nini aulizwe Lema kuhusu hizo pesa ilhali mwenye maamuzi ya pesa ni SG wa Chama Mnyika?
Kaishia kujibu hata yeye haelewi.
😄 siasa ndiyo zilivyo lknMjanja mjanja na mtu wa fursa.
Ki fupi, hana tofauti na Tapeli.
kumbe walioshindwa uongozi chadema ndio wanaitwa viongozi waandamizi wa chadema na ndiyo wanao muunga mkono kibaraka?Katoa tuhuma za pesa za join the chain kwamba zilichangwa kwa ajili ya uasi.
Kaulizwa, iwaje pesa zilizoingia kwenye fuko la Chama rasmi zitumiwe na waasi?
Kaulizwa, kwa nini aulizwe Lema kuhusu hizo pesa ilhali mwenye maamuzi ya pesa ni SG wa Chama Mnyika?
Kaishia kujibu hata yeye haelewi.
Huwa analipwa ngapi kwa siku?Dalali.
Nasikia amekula pesa ndeefu ili atukoroge.Wenje ni km deiwaka ambaye amekula hela lakn kaz haijui
nilikua nae hapo bank nikiwa hapo alpha house karibu na makao makuu ya voda sasa hivi,,Huyu namjuwa tokea yuko baclays bank kwenye siasa hajaingia...
Siku zote huwa nawaambia watu ukishamjuwa mtu wala hupati tabu!😄
Any way huko kwenye siasa ndiyo
Kumemfaa zaidi lakini
Ova
Kuvuruga ynyw hawez, sijui pesa kapewa ya ninNasikia amekula pesa ndeefu ili atukoroge.