mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ila kwenye siasa huko kumemfaa 😄nilikua nae hapo bank nikiwa hapo alpha house karibu na makao makuu ya voda sasa hivi,,
for sure aliacha kazi waziwazi kwa kujiamini sana na akaaga kwenda kugombea ubunge nyamagana na akapata.
jamaa hadi kuvaa alikua bado hajui,
uthubutu ni jambo muhimu sana kuelekea mafanikio
amejibu vizuri sana kuhusu viongozi waandamizi wa chadema wanaomuunga mkono kibaraka![]()
Anyway siasa ndizo zilivyo
Ova
