Aibu: Wenje ashindwa kujibu maswali kuntu aishia kujibu blah-blah

Ila kwenye siasa huko kumemfaa πŸ˜„
Anyway siasa ndizo zilivyo

Ova
 
Ila kwenye siasa huko kumemfaa πŸ˜„
Anyway siasa ndizo zilivyo

Ova
hata bank alikua mzuri mno kichwani,
stephen masele alikua na aibu sana kazini, sikujuaga aliondokaje baclays but nae aliendaga kushinda uchaguzi shinyanga
 
Jamaa ana uwezo mdogo Sana wa KUJENGA hojaa na hata mwanza ubunge nyamagana enzi zile LAWRENCE MASHA

WENJE Alimshinda Masha sababu Wana nyamagana walikua wamemchoka.....na Masha alikua na kiburi,dharau, ubabe, Majibu ya OVYO/kunya...kwenye kampeni za Masha kulikua na karandinga ukimuuliza swali mfano aliulizwa BARABARA FULANI MBONA HAITENGENEZWI/ KUJENGWA

MASHA ANAMJIBU MPIGAKURA"" HAUNA HATA GARI WALA PIKIPIKI UNATAKA BARABARA YA NINI? WENGINE WALILAZWA LOCK UP SO IKAPELEKEA VIJANA KUANZISHA VUGUVUGU LA KUMUONDOSHA

Ila WENJE hanaga hoja mjaluo yule na hata dogo PAMBALU alifanyiwa figisu na PESA za mama abduli mpaka akajitoa kugombea uenyekiti wa Kanda ya Victoria
 
Sasa ulichoandika na video hakuna hata kimoja kinachowiana. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Zamani walikuwa wanalipwa buku saba kushinda na kukesha humu JF kusema uongo, kuzusha, kupindisha ukweli na kuishambulia CHADEMA.

Hivi siku hizi Team Lumumba wanalipwa shilingi ngapi kwa siku?
 
Wenje alishapaniki, Muda umewakataa yeye na huyo Sultani Mbowe
 
Kuna njia tatu za kujibu swali/ maswali ukiulizwa..

1. Njia ya swali kwa swali...yaani unaulizwa swali na wewe unauliza swali.

2. Njia Swali kwa mkato..yaani unaulizwa swali wewe unajibu kwa kifupi/ mkato/ shortcuts

3. Njia ya swali kwa maelezo yaani unaulizwa swali Unatoa maelezo/ maelezo yaani yanaweza kueleweka au kuto elewekaa

WENJE maswali MAGUMU MAGUMU aliyo ulizwa kaishia kutoa maelezo out of point πŸ‘‰ kajivua nguo gulioni.
 
kuanzisha chama sawa,kukisajiri miaka mitano na usajiri wa muda ukizingua unafutiwa
 
Jamaa alikuwa kama comedy kwenye press yake, bahati nzuri kulikuwa na wahandishi wa habari smart sana maswali kashindwa kujibu yote.
 
Timely cutout...
 
Acheni kupotosha. Amesema lengo la Join the Chain ilikuwa ni kuandaa Mkutano Mkuu. Lengo la Mkutano Mkuu ilikuwa kupata Mwenyekiti mpya kwa sababu hawakuwa na imani Mbowe angeshinda kesi yake. Hilo la kuchagua Mwenyekiti mpya ndio aliona ni uasi. Amesema Mwenyekiti wa Join the Chain alikuwa Lema. SG ni accounting officer lakini uamuzi wa matumizi ya pesa unafanywa na Mwenyekiti baada ya kuwasiliana na Kamati Kuu. Kwa vile wakati huo Makamu Mwenyekiti alikuwa ana kaimu ofisi ya Mwenyekiti angeweza kuidhinisha matumizi yake hasa ukizingatia "waasi" walikuwa sehemu ya Kamati Kuu.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…