Aibu ya Taifa:Watanzania milioni 60 hakuna anayeweza kuchonga sanamu

Aibu ya Taifa:Watanzania milioni 60 hakuna anayeweza kuchonga sanamu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ukienda Italy,Belgium,France ,Spain na nchi nyingi za ulaya utastaajabu na wasanii wa tasnia ya kuchonga masanamu walivyo mahiri.

Wanaweza kuchonga jiwe gumu mpaka ikatokea taswira ya mtu wanae mtaka au kiumbe chochote.

Kwenye round about,makumbusho nje ta viwanja vya mpira na park kumejaa masanamu.

Njoo Tanzania sasa,ni kituko,babu zangu wa kimakonde wanajua kuchonga vinyago tu,sanamu ya Nyerere mpaka leo hakuna aliyeweza kuichonga

Aibu ya Taifa
 
Ukiena Italy,Belgium,France na nchi nyingi za ulaya utastaajabu na wasanii wa tasnia ya kuchonga masanamu walivyo mahiri.

Wanaweza kuchonga jiwegumu mpaka ikatokea taswira ya mtu wanaemtaka au kiumbe chichote.

Kwenye round about,makumbusho nje ta viwanja vya mpira na park kumejaa masanamu.

Njoo Tanzania sasa,ni kitungo,babu zanfu wa kimakonde wanajua kuchonga vinyago tu,sanamu yanyerere mpaka leo hakuna aliyeweza kuichonga

Aibu ya Taifa
Wapo watu tatizo wanapeleka kwa wanaowajua, na cha juu.
 
Watu talented wapo wengi sana. Ile sananmu mpya ya Mwalimu wala haina makosa, wame potray uhalisia, Sanamu inaonesha mwalimu amesikitika hii ina reflect hali ya nchi kuwa mbaya mpaka mwalimu mwenyewe hafurahii, Pia inaonesha mwalimu amekonda sana hii ina potray kuwa mwalimu ana stress sana na haya mambo ya utekaji.
Nichukue fursa hii kumpongeza aliyetengeneza sanamu hii.
 
Ukiena Italy,Belgium,France na nchi nyingi za ulaya utastaajabu na wasanii wa tasnia ya kuchonga masanamu walivyo mahiri.

Wanaweza kuchonga jiwegumu mpaka ikatokea taswira ya mtu wanaemtaka au kiumbe chichote.

Kwenye round about,makumbusho nje ta viwanja vya mpira na park kumejaa masanamu.

Njoo Tanzania sasa,ni kitungo,babu zanfu wa kimakonde wanajua kuchonga vinyago tu,sanamu yanyerere mpaka leo hakuna aliyeweza kuichonga

Aibu ya Taifa
Makongoro Nyerere, tuambie hii picha inafana na picha ya baba Yako.
 

Attachments

  • nyerere.jpeg
    nyerere.jpeg
    117.2 KB · Views: 3
Sasa wachongaji wetu wameishia lasaba, hawajui kwamba uchongaji unahitaji ngazi kubwa ya elimu maana mwili wa binadamu una uhusiano wa ki Geometria. Hiyo ni elimu kubwa sana.

Hao uliowataja wachongaji wa kiitaliano au ubelgiji, spain na french huwa wanasoma mpaka shaada za juu kabisa ili kujifunza hizo jeometria za nature miili ya wanyama, wanadamu, ili wawe wachongaji na wachoraji wazuri

Angalia tu ma God Fathers wao akina Leonardo Da Vince yale ma Geometri walikuwa wanayapiga karne ya 15 huko.

Huku kwetu mtu anajiita mchongaji unamkuta tu kijiweni anachonga zake kinyago kwa mkono haendi hata kwa vipimo, anaenda kama anachora katuni. Hapo lazima atoe kituko
 
Ukiena Italy,Belgium,France na nchi nyingi za ulaya utastaajabu na wasanii wa tasnia ya kuchonga masanamu walivyo mahiri.

Wanaweza kuchonga jiwegumu mpaka ikatokea taswira ya mtu wanaemtaka au kiumbe chichote.

Kwenye round about,makumbusho nje ta viwanja vya mpira na park kumejaa masanamu.

Njoo Tanzania sasa,ni kitungo,babu zanfu wa kimakonde wanajua kuchonga vinyago tu,sanamu yanyerere mpaka leo hakuna aliyeweza kuichonga

Aibu ya Taifa
Ukosee ufanyiwe kama yule dogo wa Picha ya No.1?,joke.
Wapo wengi tuu mkuu..
Iwekwe challenge ya picha za viongozi wote wa nchi waliopita na wa sasa na mshindi apate zawadi nono uone
Kuna mwamba anatengeneza watu na wanyama kwa kuunga unga vipande vya chuma ni hatari.
I wish ningekua na kazi yake hata 1 muione.
 
Ulaya zile ishu zina thaminiwa sana tofaut na huku, hata hivyo thaman ya michongo inapelekea watu wabobee kwenye hiyo ishu. Bongo usishangae kandaras ya kibonzo hiko na yenyewe imepiga kwenye nondo na cement
 
Sasa wachongaji wetu wameishia lasaba, hawajui kwamba uchongaji unahitaji ngazi kubwa ya elimu maana mwili wa binadamu una uhusiano wa ki Geometria. Hiyo ni elimu kubwa sana.

Hao uliowataja wachongaji wa kiitaliano au ubelgiji, spain na french huwa wanasoma mpaka shaada za juu kabisa ili kujifunza hizo jeometria za nature miili ya wanyama, wanadamu, ili wawe wachongaji na wachoraji wazuri

Angalia tu ma God Fathers wao akina Leonardo Da Vince yale ma Geometri walikuwa wanayapiga karne ya 15 huko.

Huku kwetu mtu anajiita mchongaji unamkuta tu kijiweni anachonga zake kinyago kwa mkono haendi hata kwa vipimo, anaenda kama anachora katuni. Hapo lazima atoe kituko
Nimejifunza kitu toka kwako,tatizo leru huwa hatuheshimu taaluma,
Mtu akiwa na kipaji hataki kukiendekeza darasani
 
Ulaya zile ishu zina thaminiwa sana tofaut na huku, hata hivyo thaman ya michongo inapelekea watu wabobee kwenye hiyo ishu. Bongo usishangae kandaras ya kibonzo hiko na yenyewe imepiga kwenye nondo na cement
Masanamu ya ukaya yana thamani sana,yaaani likiibiwa ni msako mpaka lipatikane
 
Yani nlijua ni mi mwenyewe nimeona hii aibu. Hata kama basi hatuna hiyo talent wangeleta muitaliano mtaalamu amsculpt baba wa taifa hadi ukipita hapo unaogopa kabisa kama yeye kweli.

It’s a shame. Alafu hii rangi ya ngozi yake 🤦🏽‍♀️ He looks ashy yani mi hata sielewi jamani
 
Haya ni matusi makubwa kwa Watanzania.

Nawasii Watanzania wenzangu, muwaweke hawa wanaotutukana katika kurunzi.
 
Sasa wachongaji wetu wameishia lasaba, hawajui kwamba uchongaji unahitaji ngazi kubwa ya elimu maana mwili wa binadamu una uhusiano wa ki Geometria. Hiyo ni elimu kubwa sana.
Unajuaje wameishia la saba?

Ujue, kabla hata ya mzungu kujua kufanya surgery na tiba zingine, Waafrika tulikuwa tukifanya hivyo.

Wacha dhihaka na dharau.
 
Back
Top Bottom