Aibu ya Taifa:Watanzania milioni 60 hakuna anayeweza kuchonga sanamu

Hakuna anayejua au hawakupewa "mchongo" wasanii wa ndani......

Watu wanawachonga tembo na Simba kweli washindwe kumchonga Nyerere kweli....
 
Unajuaje wameishia la saba?

Ujue, kabla hata ya mzungu kujua kufanya surgery na tiba zingine, Waafrika tulikuwa tukifanya hivyo.

Wacha dhihaka na dharau.
Kuwa specific, waafrika wa pande zip walikuwa wakifanya surgery nipe source nikubaliane na weww.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…